Allah tujaalie mwisho mwema waja wako kwa hakika sisi ni wadhaifu mbele yako.
@jumakumala1337
3 жыл бұрын
Allah atuongoze sisi waja wake tulio wadhaifu na wingi wa kukosea na wenyewe kujisahau kila uchao Amiin
@khadejarajab8007
3 жыл бұрын
Zambi zote zinasameheka hata Mara 1000 ispokuwa shirki allah wajalie waja wako mwisho mwema
@tukaeamani7090
3 жыл бұрын
Mzee Yussufu mziki kaulaani mwenyewe leo amerudia kuimba hata mashabiki amepoteza, Mwenyezi Mungu SWT awajaalie mwisho mwema, Amina
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
Hana inshu kwa sasa
@rajabessa3675
3 жыл бұрын
Wasema kidogo 😂
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Hana ishu alikuwa mnafiki mzee kujiliza uongo
@mwanashazingas6684
3 жыл бұрын
Amiin
@mwambodzemwangongo3884
3 жыл бұрын
Mzee yuko sawa..ni xai twaenda na wakati 2
@aishaburundi7058
3 жыл бұрын
Subhana Allah 😭😭😭😭Ni uzun kwakwel
@fahadfahmy
3 жыл бұрын
Huzuni sana
@issayasin2290
3 жыл бұрын
Allah Akbar alhajj huyoo duuuuuuh wanaume wa dar kweli maskin hana msimamo
@rukiaiddyyahaya9506
3 жыл бұрын
Mmmh 🙌😏😏😏😏kubalini mda wenu umeisha
@rahmaramadhan9773
3 жыл бұрын
Naomba kwa Allah awajaalie mwisho mwema
@safiyasafiya5014
3 жыл бұрын
Amiin yarab
@mamawa3mamawa321
3 жыл бұрын
Amiin
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Namuomba allah atuongoze kwenye haki mana nyuso zenu zimechenji hazina nuru jee hayo ndio mafundisho mnayotaka kuwachia watoto wenu mzee ili mkifa wakukumbukeni hebu tumrejeeni allah bado hatujachelewa
@zainazaina9301
3 жыл бұрын
Miisisemi achatu nipite Allah anisamehe na awasamehe wakosefu wote yarabbiy awaponye wagonjwa na awaondolee Adhabu za kabri walio tutangulia 🙏
@khaulaismail9403
3 жыл бұрын
Aamin
@mohamedrhova1967
3 жыл бұрын
Ameen
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Amiin
@ghanimaali4507
3 жыл бұрын
hakika ww ndie uliejuwa kukoment amin hta mm sisemi lngu jixho tu
@hamisikisiwa721
3 жыл бұрын
Kabisa Amina inshaallah
@hassansalimsalim9456
3 жыл бұрын
mzee yusufu mungu sio wa kuchezea kama unavyo fikiria uliamua kurudi kwa mola wako na ukasema nyimbo zote zifutwe na ukahapaa kuwa autarudi tena kwa mziki mbona wachezea Allha mungu akuongoze baba kila mtu ataenda kuonyeshwa matendo yake alio yafanya katika hii dunia usione utakaa milele hapa duniani baba
@zariakhalufani9882
3 жыл бұрын
Mfanya madhambi huku akicheka ataingia motoni huku akilia,,M/mung ndie mtoaj huku lakn binadam tupo kwa kukumbushana Allah atujaalie mwsho mwema wallah
@mohamedibrahim7732
3 жыл бұрын
subhanallah
@AW-vt9pw
3 жыл бұрын
Mzee Yusuf hana wivu na Mkewe. Allah ampe uwezo aachane na muziki
@edwardguguyu7546
3 жыл бұрын
Nakukubali mzee baba chapa kazi achana na maneno ya walalahoi wasikukatixhe tamaa eti unachuma zambi ,zambi wapi piga kazi mzee baba kila m2 na imani yake kikubwa mpunga kwanza !!.
@aneymaalim704
3 жыл бұрын
mzee yussuf kurudia nyimbo kisa umaskini.....maisha magumu riziki tu
@binurusm8886
3 жыл бұрын
Nionavyo Mimi, Huyu Mzee Yusufu hakumdhihaki Mwenyezi Mungu, Bali haya maisha jamani hayatabiriwi na Sisi Wanaadamu, Yanatabiriwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe, Hivyo Tuombeane heri tu ili Mwenyezi Mungu atunusuru.
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
Ss binadamu tunajisahau nakukimbilia kuhukumu tu bila kufikiria
@hawaamkubwa2020
3 жыл бұрын
musihukumu cna kuna watu wanafanya mabaya zaidi ya hili Allah atunusuru sote inshaallah atujaalie mwisho mwema
@michybbz190
3 жыл бұрын
Ndio lkn swali ni mtu anastahili kufanya ibada ya hajj mara ngapi?
@Fondo0
3 жыл бұрын
Kwani alifanya nini uyu Rashid?
@faumamakwaia5095
3 жыл бұрын
Kweli ndugu yangu watu wanafanya makubwa zaidi ya haya kiukweli ni kuomba tu uwe mwisho mwema tu
@hamadkhamis6572
3 жыл бұрын
Kweli Allah anasamehe kosa la mwenye kujutia na kuacha ila kutubia kurudia kutubia kurudia bado hajajutia na kuleta toba ya kweli.
@mohamedhaji2200
3 жыл бұрын
Ni kweli wanafanya ila sio hadharani na kudhihaki
@allymuhammad8956
3 жыл бұрын
Ikiwa ni mja wa kustahiki kunyooka Mungu akunyooshe na ukiwa hustahiki Mungu akakuchome tuu kuliko mkaaa ila nakuombea Mungu akuongoe inshallah
@mwambodzemwangongo3884
3 жыл бұрын
Tuna kukubali mzee yusufu ww nmfalume wa taarabu
@rajabuhondo4973
2 жыл бұрын
mflume Ni Allah peke yakee Hakuna mwengine tulijue tuu hiro mungu utu swah mehe kwani ss Ni waja wako amin
@saumuhamisimwandekwa5064
3 жыл бұрын
SIJUI ALIKUA AKIMDHIHAKI MOLA WALA NIVIPI COZ MPAKA SAHII SIJA MUELEWA MZEE YUSUFU ALIPO INGIA KWENYE DINI ALITANGAZA WATU WASISIKIZE NYIMBO ZAKE BAADA YAMDA KARUDI KWENYE MZIKI JAMANI MOLA AKUSAMEHE NA AKUONGOZE KWENYE MEMA NA ATUSAMEE SOTE WAJA WAKE KWANI SISI NIVIUMBE DHAIFU BT KIVYENGINE ALIKUA AJARIBU KUJITOA KWENYE KUABUDU MAJINI BT ALISHINDWA WATHEZEA PESA ZA SHETWANI WW AUDHUBILLAHI MINDHAALIK
@ramadhanimkude5744
3 жыл бұрын
Allah hatapeliki nayeyendie haongoae amtakae na umuangamiza amtakae.
@ayubkakore8581
3 жыл бұрын
May Allah guide him because he knows the world we are passing through
@kisomekiguwa3706
2 жыл бұрын
Laana zipo nyingi lakini hii pia ni laana kati ya hizo laana tena laana yenye kulaaniwa Mwenyezi Mungu atuepushe na laana hii na amzingue kiumbe chake kwa upotovu huu.
@kombogambare3574
3 жыл бұрын
From Al Haj to Taraab Master😢😢😢 Dunia imemvaa mzee Yusuf
@ghanimaali4507
3 жыл бұрын
huyu hajafa wala hayuko hai
@khamismussa6308
3 жыл бұрын
Allah akuongoze njia ilionyooka
@mwajabulugendo7611
3 жыл бұрын
Dini ni imani jamanii,inawezekana alishawishiwa huyuu.wakati imani yake bado ilikuwa ni ndogo,alahuyaalamu mungu ndo mjuzi zaidi.
@RekhaRekha-es8br
3 жыл бұрын
Duniya imeisha Subhana Allah munaharibu niña lahijabu na abaya
@athmanmuhammed7333
3 жыл бұрын
WAMAN YAATAKILLAH YAJ'ALLULLAH MAKHRAJA WAYARZUKU MIN HAITHU LA YAKHTASIB
@habibujhabib3914
3 жыл бұрын
Nyinyi wazee angalieni angalie mnako kwenda kama ni ujana mmeshatumia sana
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
Dunia namna inavyohadaa banaa acha tuu, laiti mtu angejua kua ukifa watu hukusahau kwa haraka sana,usingethubutu kuwaridhisha watu,allah pekee ndo anaetoshaa kuridhishwa,imaamu shaafi alisemaa; kuwaridhisha watu ni kilele kisichofikiwa" we mzee wewee rudi kwa Allah kipindi ambacho nguvu unazo sasaa,kama mkeo ndo ilikua sbbu ya kukufanya urudi ktk hiloo, basi jua ukifaa,watu watammiliki mkeo,na utakua umekula khasara,allah atuongoze
@bokiahalima8064
3 жыл бұрын
Hakuna mkamilifu muacheni mzee yusuf azengee rizki yake waja mna tabu nyie
@ajikanyenje1017
3 жыл бұрын
Mwenye uwezo wa kuhukumu ni Allah pekee ila mulichokosea ni kujitangaza kwamba mumeacha muziki munaswali. Ni bora musingejitangaza ingependeza.
@mwanamutwa
3 жыл бұрын
Love from Alabama.Its the movement for me.The King and Queen you guys are the best.
@rajabuhondo4973
2 жыл бұрын
Daah kutoka utajili mpaka Umaskin yote uyapangae Ni Allah madeni shida tabu zick niyeye Hakuna mwengineo Mana liziki tunazo zipata c kwa nguvu zetu niakilizetutu ndogotu ila Ni Allah ndie mtowaji vyote jamani ewee yaraab , Japo Utuswah mehee morawetu kwani hatujui tulitendalo yaa Allah sisi Ni wazahifu kwako 😭😭😭
@jumakumala1337
3 жыл бұрын
Siku zote ALLAH jallajallallu umuongoza amtakaye na kumpoteza amtakaye kwa anaejikurubisha kwake yeye Allah na kumuomba usiku na mchana na kumlilia yeye , wote ni wake yeye mpotovu na muongokaji , kwake yeye ndiye mlipaji , kwa wema na waovu , kwn kina kitu kiko wazi kwa mujibu wa QUR'AN na SUNNAH , pamoja na waonyaji aliowatuma ALLAH ambao ni maNabii wake
@rukiamkokoye647
3 жыл бұрын
Tupe maraaa babu
@swalehkhamis508
3 жыл бұрын
Upuzi mtupu, kweli hio ni nyimbo ama kelele nyingi tuu. Wameishiwa hao.
@sfiaalanazi5479
2 жыл бұрын
😅😅😅😅Wameishiwa kweli wanaimba kama walikufa wakafufuliwa🙄🙄
@zubeirsalum128
3 жыл бұрын
Mungu ndio anajua khatma ya mja wake Iakini bado naendelea kumuomba atupe khatma njema waumini wa kiislam sote ishallah
@hafidhrashid7721
3 жыл бұрын
Nyimbo hovyo kweli wameishiwa mziki aliusemea laana unaendelea kua laana hauna utamu tena hahahas
Huyo hana hofu tena mtu kaenda kutubia mpk makka alafu karudia kwa maneno ya zarau na kejeli unazani ana hofu tena ya mungu
@judykavai19
3 жыл бұрын
Shida yenu Nini? Mwaona mmekamilika saanaaa?kwani akifa atahukumiwa na wewe??nyooo fata lako achana na mzee Yusuf !hakimu Ni Allah peke yake! Nikuskie tena
@khadijaabdullah6328
3 жыл бұрын
@@judykavai19 heee ututishe ivo ww nani looh ovyo kama mboo isosimama koma kutufokea kenge ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@judykavai19
3 жыл бұрын
In short wewe ndo utamletea mauti!ama wewe Ni ndo mkamilifu? Style up you're just a mere clay like him correct your self before correcting them
@khadijaabdullah6328
3 жыл бұрын
@@judykavai19 komaaaa weee mauti analeta mungu na ata ww shetani wa mguu mmoja unopenda maovu kazi unayo mbuzi ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanambarakmbarak8759
3 жыл бұрын
Mzee Yusuf doooh waajikamua afadhali ungekuwa wasoma Quran
@sophialarsen1285
2 жыл бұрын
We unaweza Soma quran bila kula? Mtumie basi pesa ya kula kabla hujamuhukumu. Kwanza wewe Una dhambi maana kuhukumu sio jukumu lako.
@faridaiddi104
3 жыл бұрын
Mii nampenda huyu Dada reyla nikimuona nafarijika wallh
@hikmajeyz5072
3 жыл бұрын
M mungu awaongoze na awanusuru (lost souls)
@bimkubwaali1605
3 жыл бұрын
Hahahaha kwisha mungu wacha aiywe mungu hata mashabiki hana tena kwa laana ptue wallahi nilishasahaugi kama yupo huyu bwana
Usikute mwanamke kamshawishi mumewe kwapengine ilikuwa mzee yussu hataki kuimba 😂😂wanawake sie tunavishawishi vingi
@mussamayawa817
3 жыл бұрын
Kausheni 2 siyo kila kitu mnakifanya mnakijuwa
@ambrosiamlinga8402
3 жыл бұрын
Yaani wewe umetawaliwa na fikira kuwa sisi wanawake ni wabaya kuliko wanaume, mfumo dume umekudhuru. Mzee yusuph ni mtu mzima na ana maamuzi yake iweje umlaumu laila
@ukhtyashachannel5505
3 жыл бұрын
😛
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Nashukuru umebaini hilo
@مريم-ه2ز9ق
3 жыл бұрын
Allah akbar miogoni mwa wanafiki
@mwasamiladldm7557
3 жыл бұрын
Jililie nafsi yako acha kuhukumu wenzako
@safiyasafiya5014
3 жыл бұрын
Ogopa mola wako usihukum haujui mwisho wako hii ni ibtilaa au mtihani waombee hidaya mungu ni mwenye huruma na msamehevu nakutukana pia nikosa au hujui unazijua nyoyo zao zimebeba nini Ila wewe umenena chuki Allah atustiri yaarab
@@rohitroshan1805 wepesi wa kuhukumu wenzao,kila nafsi itajililia were hangaika na yako.
@khamishaji9508
3 жыл бұрын
mungu hamfichi mnafiki
@pelagiaanathory4752
3 жыл бұрын
Nawapenda sn😍
@RekhaRekha-es8br
2 жыл бұрын
Ina sikitisha sana mungu awape munalolitaka awasamehe
@aliamirbakar5580
3 жыл бұрын
Mzee umeishiwa una imba pumbaa karibuni inakuja......
@rajabessa3675
3 жыл бұрын
Ata mashabiki amekosa
@salomecaroly5534
3 жыл бұрын
Ila nyie waislamu mnaomhukumu mzee Yusuph hamjawahi tenda dhambi ,halafu hiyo Mamlaka ya kuhukumu mmeitoa wapi acheni hizo
@saidirashidi6522
2 жыл бұрын
Kitu Kama ujakielewa funga Domo usilopoke
@saadietajo4419
3 жыл бұрын
Ww bba acha kufur mungu si wa kuchezewa unamkosea sana rud kwa mola wako huon shid umekosa ata haiba rud kwa mola wako
@zuenajuma6484
3 жыл бұрын
Daaipo powaaa
@hajiabdalla5772
3 жыл бұрын
Huyu jamaa na huyu janajike ndio anaempotosha unaambiwa ukikosea kuowa mwanamke asiye ijuwa dini na elimu ni mtihani
@sadabkari5532
3 жыл бұрын
Unacheza na adhabu za mungu
@ahmedtalal5998
3 жыл бұрын
Kelele tupu mpiga ndoma sauti za nguma iko hatusikii kitu mzee Yusuf hapo bado
@rsautoservice984
3 жыл бұрын
Kila kitu na wakati wake.. daaah Yusuf na lela
@solomonadams6337
3 жыл бұрын
Hili jamaa senge...
@rayanaabdallah6580
3 жыл бұрын
🤣 umaskini ndo watufanya twaumbuka💔
@salaha2318
3 жыл бұрын
Tunaitaka iyooooo
@umpump8472
3 жыл бұрын
Na huyu mwanamke anaharibu jina la mavazi za kislamu. Audhubillahi mindhalik
@HusseinRj
3 жыл бұрын
HAKUNA MKAMILIFU CHINI YA JUA, KILA MTU APAMBANE KUINUSURU NAFSI YAKE,MZEE ASIWE TOPIC KWAKUJIONA WW NDIO BORA KULIKO YEYE,JE WW MSAFI KWA KIWANGO GANI?
@hamisabdalai1775
3 жыл бұрын
kwahiyo kama sio mkamilifu ndio asiambiwe kama anakosea! Sass kunahaja gani yakuweka magereza nakuwafunga watu!!!? Mtu akizini au mlevi asiambiwe kisa eti si mkamikifu. Jamani sasa moto wa jahanamu kazi yake nini??? Wewe kama ni mshabiki wa taarabu wewe endelea ila lazima akemewe yusufu jina kubwa hilo sio kukuacha eti akuna mkamikifu.
@abeidmrengaofficial1792
2 жыл бұрын
Badili mke huenda ukarejea kwa Allah.
@hamadhamad3502
3 жыл бұрын
Mazinge maneno kashayamaliza, "huyu ndie Alhaji wa mwanzo kuimba kwaya'' . Lkn mimi namuomba Allah amuongoze njia iliyonyooka. Mm naamini mzee yusuf unaamini kuwa kuna siku tutafufuliwa na kulipwa kwa mujibu wa matendo, badilika basi fanya mema na acha maovu.
@khadijahomankweliyamjahaya7421
3 жыл бұрын
Mzeee mekuwa chibonge😂😂😂
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
Mambo ya mjini,, mjini kuna mabiriani kijijini angeyapata wapi,
@mathematification105
3 жыл бұрын
Huyu jamaa alipoacha mziki alikua maskini anaona haya hata kuangalia camera utafkiri mwana mwali.Leo amerudi na bibi watengeze hela tena alafu watubie! Eh Bwana wee kwani mungu ni Mkapa?
@khamysamursally5932
2 жыл бұрын
Tusimuhukumu kila mtu anamapungufu yake na hakim ni Allah tumuachie yy
@saidsaid-if8wv
3 жыл бұрын
Alhajiii😂😂😂😂
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
Mtihani Duniani ahla maesabu
@hawaissa4705
3 жыл бұрын
Wacha wee❤️
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
Unategemea mzee atabadilika nn wakati mke Yuko duniani zaidi mke angekuwa na MSIMAMO mzee asingerudi
@fridahussein2143
3 жыл бұрын
Nikwamba nyie mmekamilika?
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
@@fridahussein2143 aliyekwambia kuwa sie wakamilifu nani 😂yaan ufanye vitu vya zambi na unajua kabisa unakosea halafu usema hujakamilika 😂kifo kutakuwa kinakusubili ww mpaka ukamilike wakati Muda umepewe wa kutubu
@adamunyeme7372
3 жыл бұрын
😂😂😃
@issamashurinyo9609
3 жыл бұрын
Kashaanza kutoa tako nn mbona anatuoneshea
@user-pf9cd6zj1g
3 жыл бұрын
Mzee yusuf unachu kiza wachie vijana ovyoo
@mamaibra2402
3 жыл бұрын
Mziki ulikuwa zamani mzee alivuma kuliko mwamba lkn leo naona anazogo tu shabiki hata mmoja hana
@ashasvlog9246
3 жыл бұрын
Mzee Yusuf na Lela rashidi ni kama Lulu Hassan na Rashid Abdallah 🥰🥰🥰🥰
@mwanaishakhamis8069
3 жыл бұрын
Hawaendi ela wafananao🤪🇰🇪Tabia zimelingana
@rashidhassansheikhmazingea8739
3 жыл бұрын
Alhaji anaona aibu kweli hatari
@lambiihamisi978
3 жыл бұрын
Ibilisi kazini
@mbwanajuma2143
3 жыл бұрын
I really love Leila Rashid
@hikmajeyz5072
3 жыл бұрын
Mmmh msiwalaumu sana coz njaa ndio chanzo cha yote hayo😅😅
@Fondo0
3 жыл бұрын
Scrolling down the comments, kwani Mzee Yusuf alifanya nini yenye wengine wanamsema vibaya?
@ablashaffy2860
3 жыл бұрын
Alienda kuhiji
@احمدالحراصي-ط7ت
3 жыл бұрын
Ah haji huyo mumeona anakata machezo na bibie..
@issamaleft3419
3 жыл бұрын
Hahaha duh
@hamadhamad3502
3 жыл бұрын
Zimekuja aya takribani zaidi ya nne ndani ya qur'an allah anakataza miziki na nyimbo. Nyimbo ni haram na kusikiliza nyimbo ni haram. Ikiwa mtu amekatazwa ovu na bado anaendelea nalo hiyo dalili ya kibri na atakaekufa ana chembe ya kibri haingii peponi. Allah atuepushe na kibri.
@ناجمهحسن
3 жыл бұрын
mashallah lela
@sabilibrahim2457
3 жыл бұрын
Haijulikani anaimba nini sasa
@bahatiali5086
3 жыл бұрын
Alhaji wa kwanza Kukata viuno
@sadakhamis1261
3 жыл бұрын
😂😂😂
@mishyhussein8929
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Subuhana allah
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Na wale wanaokata vitandani, sio maalhaji?
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Inahuzunusha ila tumuombee!!
@farajali812
3 жыл бұрын
@@mishyhussein8929 hakuna isichoezekana kwa Allah ela kue na nia inshaallah ..dalili ya mvua ..
@mbuyancholla2852
3 жыл бұрын
Kashindwa kujizuia hajui wanawake wanavitimbi pole Sana kwakweli kwani ungesimama imara kama mwanaume huyo Mkeo asingekubali kufata amri yamume uliacha kuimba yeye akasema haachi achi😳
@asrymohd6690
3 жыл бұрын
Uyo mke ndo shetani mume alifika kutembea hija mkebado anaimba unategemea nn
@ummyzee6247
3 жыл бұрын
Innallilahi wainaileihi rajiun
@mutomubaya
3 жыл бұрын
Je huyo ni mkewe Au?
@madamboss348
3 жыл бұрын
Yes
@sanisani5266
3 жыл бұрын
Kila mtu ataukumiwa kivyake mnamsema mnajuwa hatima zenu wangapi wameenda hija nawanafanya machafu zaidi nawanajificha wanaenda hija kila mwaka kwa vile huyu mnamjuwa ndio mumuhukumu mwachieni Allah msimuhkumu bwana
@khatibuhijja459
3 жыл бұрын
Huyo anefanya dhambi kajificha ni yy Mungu wake, na kufanya dhambi hadharani wala si jambo jema, yule anaefanya dhambi halafu akaistiri dhambi yake ni rahisi zaid akiomba toba yake kupokelew harak kuliko anaefanya dhambi hadharani au anaefanya dhambi halafu akaenda kuihadithia ile dhambi yake
@shamimhayat7637
3 жыл бұрын
Beautiful wife mashaaalah
@mohamedhaji2200
3 жыл бұрын
Beautifull ??????
@sabihaibrahim3393
3 жыл бұрын
Nafsi zinawasuta maskini kuimba na mabaibui juu shida kweli mtihani ningekuwa na pesa ningekulipia deni
@ahmedanwar1210
3 жыл бұрын
Wamepaukaa chezeaaaa MUNGU nyie mziki haukutakii tenaa rudini mutubu milango ya tauba bado ipo wazi
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Warudi haraka
@ahmedanwar1210
3 жыл бұрын
@@sabraabdilnasir8826 umeona ALLAH awajaalie waongokee INSHA'ALLAH
@mohammedmbarouk7711
3 жыл бұрын
Kule makka alikokwenda ameenda kufanya nn sasa?ama ameenda kutembea tuu!!!??ama kweli umasikin ni kitu chengine naamin unaweza kuuza hata utu wako na imani yko pia kama hautakua makini,na wake wengine si wake wazuri,ningetegemea kua mke pia angeongoka pia lakn waap!!!kamrejesha kule kule kwenye moto mume wake pengin hat kwa mawazo yake mwenye huyo mke,namuomba Allah anipe mwisho mwema
Пікірлер: 214