Kuruhusu mafundi kutoka nje ni ukosefu wa kujisimamia hata kwa SERIKALI. Uzalendo unaoimbwa sana nchini ni upi?
@selemanimmeswa3556
21 сағат бұрын
Mafundi wa baraka wabembe awayajua kujenga nyumba zakisasa;kilanyumba wanayo karabati wala kuhezeka zina vuja manjanja kuchomoka.wachiye wa geni ambao wanatoka mjini.
@OmboAmisi
19 сағат бұрын
Shiso amonine wa búle na anashika m'membe w'inyakye!
@selemanimmeswa3556
22 сағат бұрын
Mafundi wa baraka awaya juwa nyumba za kisasa .
@BAELOMONADUNIA
15 сағат бұрын
Wewe unayesema Kama mafundi wa baraka awajui kuezeka, unasema usichofahamu, Awa mafundi ambao tunazungumzia hapa kule wa natoka awatokee injini wanatoka ndo vijijini, kuna wengine baazi Yao wanajiweka kuwa wafundi lakini kule walipotoka awako wafundi. Kwa sababu ninyi wananchi mumewapa umarufu wa ufundi na ndo maana wanajipandisha. Kama Burundi kuna nyumba za kifaari hizo zimejengwa wa wafundi kutoka DRC. Kama uko baraka, sijui Kama unajua nyumba ya ancien Ministre provincial Amango, ilikarabatiwa na wafundi kutoka Goma ikaanza vuja sana, ilibidi kubumoa paa yote, walioipigilia na kuitengeneza ni wafundi wa hapa baraka. Na wewe nipe mfano wa nyumba iliopigiliwa na wabembe kiisha ikabomolewa juu ya kuvuja.
Пікірлер: 5