Rozari ndo nini, mafreemason wanazitumia vizuri kuliko mnavyozitumia, matumizi ni Sawa
@esterelias8189
4 жыл бұрын
@@herielshedrack4730 hiyo Rozari kama ya kanisani katolikl
@husenathumanimrisho2740
3 жыл бұрын
Dah yani ana aya uyu charii
@cindymacho5282
5 жыл бұрын
wanaojuwa mambo ya Rohoni gongeni like hapa watoto Wa YESU. wateule mpo karibuni. afanyiwe Maombi mama Ney endelea kumuombea mwanao siku moja Mbele za Mungu ni sawa na siku elfu.
@emmarizer6096
3 жыл бұрын
Mhh
@kingkhanjunior4930
5 жыл бұрын
kam umesikia neno “mwenyez mungu kanijalia" gonga like tujuwane.....
@charlesbarnabas1956
4 жыл бұрын
Nimeipata iyooo...hahaha ..MUNGU huwezi kumtnga hata siku moja ...,kama unamuamini MUNGU YUPO ...LIKE TUSOMANE.
@josephattarimo999
4 жыл бұрын
Mimi namuelewa yeye hamini katika dini, ila ana anacho kiamini pia anaweza kuamini chochote lakini anaimani yake ambayo imemfikisha alipo. Chochote kinachoweza kukuwezesha unaweza kukiamini ila Mungu huwa ana nafasiyake ipo tu Ndio maana ndani yamaneno yake Bado kuna Mungu katajwa. Pia Sisi ni binadamu hatujui Kama anakosea sababu ni swala la imani kwaiyo tusiukumu.
@joshuakimaro8376
4 жыл бұрын
San
@felisteredward6319
4 жыл бұрын
Atakuwa ni Mungu wake anayemwabudu
@felisteredward6319
4 жыл бұрын
@@josephattarimo999 Soma neno utajifunza jinsi ya kumkiri kriso kwa haki na kweli!
@nadyahassan7924
5 жыл бұрын
subhannallah yan waropok km hujaumbwa hay subir fimbo ya mungu ww dunia mapito2 usimtaje mungu hali ya kuwa dini zake zote huzitak
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
Eeee Mwenyezi Mungu Ulie Umba mbigu na Dunia na vilivyomo ndani yake ikiwepo na Miti Anayeisema Mja wako.Nakuomba Umsamehe Mja wako Uliyemuumba Anaye jiita 'Ney' Umsamehe Ajui Alitendalo.Nashukuru Amekutaja "Mwenyezi Mungu "Amejuwa Umuhimu wako. In sha Allah Allah Atufanyie Wepesi sote. Na Tuwe na Mwisho Mwema In sha Allah.
@marobamkeya2399
5 жыл бұрын
Kuanzia leo mimi sio fans wako tena siwez shabikia mtu anaeabudu shetani
@adamyohana5749
5 жыл бұрын
Maroba Mke umuache na wcb mbna wamo
@marobamkeya2399
5 жыл бұрын
@@adamyohana5749 SASA YEYE ANASEMA LIVE JAMANI DUUUH
@jasnafclassic8559
4 жыл бұрын
Maroba Mkeya acha!! Ssi bado tupo
@dikimanyeroc5467
4 жыл бұрын
Be
@dikimanyeroc5467
4 жыл бұрын
Maroba
@shaabanramadhan6770
5 жыл бұрын
Dah hilijamaa ni jishetani sjui likifa litazikwaje coz halina dini chochote linaabudu duh😦
@anwaryabdallah7782
5 жыл бұрын
Anatofauti gani namyama
@youngigtz255
5 жыл бұрын
Hahaha
@shabankumalija1929
4 жыл бұрын
Pumbavu sana mjinga namba 1.pesa ni kitu gani kwa mwenyezi mungu?. Wangapi walikuwa na pesa leo zinamilikiwa na watu wengine na wake zao wanawapa raha watu wengine na watoto wao wanawaita baba watu wengine. Na kwa wewe hauwezi kumfikia umarufu maico Jackson. Lakini leo Jackson yuko wapi?. ALLAH KAMNYAMAZISHA KIMYA
@salehabdalla7773
4 жыл бұрын
Hyu cku yke mja tu allh atakapombna pumzi bc ndo atajua km mngu yupo au hypo au allh ni nani
@Gamba177
4 жыл бұрын
Hili hata likifa lichomwe moto kuanzia mkunduni kwake.
@mainguboy3386
5 жыл бұрын
Pumzi isikudanganye bwan kaka apa duniani tunapita tu ata awo unaowaabudu hawatoixh milele apa dunian muda bado unawo mludie muumba wako !!!!
@emmahbishoo7303
5 жыл бұрын
Kweli bro
@husseinnyomi6120
5 жыл бұрын
Acha bangi za choni
@happyjumanne5203
4 жыл бұрын
Kiburi cha uzima kinamsumbua
@rayanjoseck4458
5 жыл бұрын
Mungu akuongoze inshaAllah ...Mungu ndie Mfalme wa Mbigu na Ardhi...kitu unahitaji ni kumuamini ...inshaAllah Allahu yaa'alam
@ramadhanimwanyumba2955
4 жыл бұрын
Hamjamuelewa Ney, amesema haamini dini si kwamba haamini Mungu. Ebu kuweni makini mnavyo judge vitu msikurupuke.
@kibwanasalim18
4 жыл бұрын
Sasa unaamini mungu kisha huamini dini yake..bila dini hamna mungu..maana dini ni mwelekeo wa maisha jinsi gani mungu anataka uishi..ndio maana ya dini.
@jasperjackson8871
4 жыл бұрын
Huyu jamaa kiki anazo tafuta zitamcost! Sisi yetu macho tu.
@nevelymungaya2574
4 жыл бұрын
Mi nimekuelewa Leo apo kuwa yy ana Imani na dini yyt Ila anamwamini Mwenyezi Mungu ...kunavitu vinafanyika kwenye baazi ya dini zetu ndo maana ney ana Imani n dini yyt Ila ana Imani na Mwenyezi Mungu
@abuubakarkichimbo9957
4 жыл бұрын
Hakuna kuwa unamuamin Mwenyezi mungu halafu ukamin dini sio kuwa ya Mwenyezi mungu huko ni kujidanganya katika hii dunia, wakati yeye mwenyewe Allah amesema dini ya haki ni Uislamu tuu.
Umemuelewa vizuri kama nilivyomuelewa anaweza akawa ni mteule wa mungu ambae baadae akawaokoa wengi kwa maana ata bibilia imeandikkwa bisheni nanyi mmtafunguliwa ibu siku mungu atajidhihilisha kwake na sio kumtukana zaidi nikuombea kwa mungu wako
@erickrakitic411
4 жыл бұрын
Huyu jamaa naona anautani na Mwenyezi mungu. Mpumbavu sana
@issasaid8058
5 жыл бұрын
Wanaoamin kwamba jamaa syo iluminut weka like hpa.......
@fidsimba2769
5 жыл бұрын
ili jamaa kumbe pimbi yani hlimjui hata mungu. minipo tayar kumshabikia mamangu mana wewe pimbi
@mussahamisi1191
5 жыл бұрын
Duh kwaiyo ata alo kuumba kumbe humuitaji sawa amekusikia
@marwawilliam3648
5 жыл бұрын
mussa hamisi ana masikio?
@habibaiddy3166
5 жыл бұрын
Ulo nilusenge
@abbasboniphace5444
4 жыл бұрын
Ww umezaliwa hujaumbwa.
@dgt6303
4 жыл бұрын
Hahaha eti "....mwenyezi MUNGU kanijaalia....."
@hafsamohd7931
4 жыл бұрын
Sass we huamini mungu halafu unasema m mungu akikujalia
@robertmwanyama6745
5 жыл бұрын
Aliyeona nay kavaa rosary 😂😂😂
@lissamsalu2179
5 жыл бұрын
Robert Mwanyama hhahahhahaah
@magynzioka1122
5 жыл бұрын
😂😂😂Kasema ahabudu chochote yeye ni pangan mahan ata kwa ao wabudu mashetani uwezi ingia pale kama auna dini yeyote wao wanapeda weny misimamo ya dini mahan ni rahisi kuamini wacho kifanaya kwa freemason
@merdaniely4775
5 жыл бұрын
Si kila rozary ni dini ya kikristo! Inawezekana hiyo ndo ile ya anachokiamini na si rozary ya kawaida tunayoijua sisi wakatoliki.
@tumafrances542
4 жыл бұрын
Huyu jamaa noma mbn anayo rozali
@nandafaraja7501
3 жыл бұрын
Kuvaa rodhali sio wokovu lodhari ni ushetani
@richardngendakumana2871
5 жыл бұрын
Daaa kuwamakini bro Wengi wamepata pesa kupitia njia mbaya mwisho wamejutiya
@josephbubinza9822
5 жыл бұрын
Stupid ney
@dfinalvillageking4864
4 жыл бұрын
Mwanadamu akiwa mzima kiafya hua anakiburi sana mpakakufikia hatua ya kufanya kufuru akiwa mdhaifu aidha mgomjwa ambao anajua madocta hawawezi atamtafuta mwenyenzi mungu makanisayote mimi naamini umaskini nimbaya sana mpakamtu unaamua kutafuta kiki kwa kwa kuvunja imani za mabilioni ya watu!!!!!!!??!!!!
@iddyseif7640
4 жыл бұрын
Duuuu neyyyy kwel abud unachoamin big up
@jisujames4896
4 жыл бұрын
Du Nay nilikuwa nakukibari sana ila kwahili aaaaaah umepotea sana bloo Okopasana manenoyako Mungu yupo naipo siku utamtambuwa2 welingia hiyo pimzi ameyo kuazima
@thumamusa629
4 жыл бұрын
Alaf nay mzuri mashaAllah... Allah ammwepushe na fikra za kifreemason. Amin
@gilbertsalvatory9590
5 жыл бұрын
Poleni,ila ujachelewa pia Fanya toba umludie mungu... Ukiona unafanya shughuli yoyote inayokutoa katika uwepo wa mungu basi iyo kazi haikufai. Utajili wa kweli upo kwa yesu.
@aliseifkarim1705
5 жыл бұрын
Kasema nani ivo .utajiri upo kwa aliemuumba Yesu na sio yesu mwenyewe
@saeedmassoud256
5 жыл бұрын
Kwni uyo yesu ni nani ni mungu au naomba mnielimishe
@rehemaahamadiahmadi566
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@khalekichambo1131
5 жыл бұрын
Utajiri upo kwa Mungu pungu wewe sio yesu
@edwinmwakingwe3324
5 жыл бұрын
Gilbert Salvatory Kaka umefer sana
@MariamMariam-jj1uj
4 жыл бұрын
Yaani katika mbwa ney namba moja mjinga kabisa wewe lijitu lenyewe looooh kweli wazazi tunashida na watot mama ney maombi yanahitajika kwa mwanao ukiona una mtoto kama ney mtupie choon afue mbali ni hasara kuwa nae
@felisteredward6319
4 жыл бұрын
Mungu kabla sijafa naomba nishuhudie muujiza wako!!! Kuna viumbe wanakudharau Sana😭😭😭😭😭😭😭😭🤩
@chunaamina8719
4 жыл бұрын
Felister Edward, looh huu mtiani mkubwa jamani, ata ka sahau kama ile pumzi amepewa Na Mungu
@felisteredward6319
4 жыл бұрын
@@chunaamina8719 yaan !!!
@richardburengengwa6998
3 жыл бұрын
Neyo wamitego big up bro ukipata zaidi bro nikumbuke namimu mzee ongera sana mweshimiwa .
@r-boymnyange3743
5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu huonyesha uwepo wake kwa wajinga ambao hawatambui uwepo wake mungu amekusikia japo sisi hatujui moyoni mwako ila yeye mwenyewe anajua una maana gani kwa hyo ataonyesha uwepo wake
@255Digitalizeit
4 жыл бұрын
2:06 UnaMtaja Mungu,hahaha anajitekenya na kujamba mwenyewe ASITUPOTEZEE MUDA MZIKI WAKE UMEDODA
@chayogasperi9783
4 жыл бұрын
MADOGO WANAMJAMBISHA Mpaka Mzee Mzima kafika hatua ya kumtusi Mungu ??? Kweli game ngumu .
@bakariveso7087
4 жыл бұрын
emu mskilizeni neyi vizuri apo anapo sema mwenyezi mungu alivyo nijalia seemu mbili tatu uyu atu fanya ss wajinga tuu aingize pesa ila mungu anamjua sana atakae skiliza na kulielewa ilo kama mm naomba usisau lik
@franshyera8970
5 жыл бұрын
Uyu jamaa ni msenge sanaaaaaaa bangi zimemzidi Hadi anamkataa mungu
@josephinenduku8915
5 жыл бұрын
Jamani matusi yantoka wapi ninyi msimbukumu mtu pia tujue kI yakujukumu Ni ya mungu jamani daj.
@daudichilenga2320
5 жыл бұрын
Nay ni mwongo tu na anajua anajifanya kama hajui kumbe ajua jamani wapendwa katika inatupasa tumtudie mungu maana yeye ndo kila kitu
@nfunguonfunguolesson3598
4 жыл бұрын
Nay nakubali sana lazima upende kile kitakusaidia, mungu akuzidishie baraka
@emilydominick3123
4 жыл бұрын
Kwawasanii wapumbafu nihili jamaa yani yani silipendi hata kidogo kwanza Linatumia mikologo chapili halimjui mungu NYUMBU WA SERENGETI WEE
Mwenye anakuuzia bangi awache kabisa,vipi haumjui mungu....
@azizihaji6274
4 жыл бұрын
Mbona linasema halimjui mungu alafu linasema mwenye zimungu kamsaidia iko siku utajua kama mungu yuko au hamuna
@jumakapo9914
5 жыл бұрын
Kila binadam anamjua mungu unaweza kwenda kanisani lakini mtendo yako yaajabu unaweza kwenda msikitini utakuwa na mambo ya ajabu kusali sio tatizo tatizo moyo yako uwe na mungu baba
@farajimbiru6267
5 жыл бұрын
Wew subiri tu Mungu amekusikia utakacho kutana nacho utajuta
@mussahamisi1191
5 жыл бұрын
Kweli kabisa kabla hujafa lazima ulipwe kwanza kwa ulichofanya afu ndo ufe ukakutane nae sasa mwenyewe alokuumba
@rajabhussein3044
5 жыл бұрын
Abudu baba ney
@mrmanenomnkai8297
4 жыл бұрын
Brother unafeli unasema hakuna mungu halafu unasema mungu akijalia duh huyu m2 cjui mtoto wanani🙉🙉🙉🙉☝☝☝
@mathewshedrack4833
5 жыл бұрын
Kumbe Ney noma sana yaan ww ndo haujifichj hata kidogo unachokiabudu freemason so kama wakinamondi wanajificha daaah siku zinakuja kila mtu atajib alichokifanya hp dunian
@robertabely5794
5 жыл бұрын
Kaka, haya maisha tu, bado tunaishi mungu ni mungu tu hafananishw na kitu chochote na kama hupend dini ni bora usiizungumzie kbs
@nurukapoja7759
4 жыл бұрын
Habari sana kwa afya yako kama humjui mungu utaelewa tu siku ikifika utajua had anakopatikana
@chayogasperi9783
4 жыл бұрын
Mara huamini Mungu kupitia Uislamu wala Ukristo Mara " Mwenyezi Mungu amenijaalia " Unajichanganya hapo .
Sasa izo baraka unazo sema zinatoka wp. Angelia kaka hii dunia ya mungu ambae we untaki
@bartholomewjackson3337
4 жыл бұрын
Mungu akurehem. Zichunguzeni au zitafakarini njia zenu.
@dhomila2982
4 жыл бұрын
Kumbe unajuwa Mungu yuko unatuchanya kijana pia Mungu kukujalia hatuwa Mbili tatu
@mwalimumohamedi4007
4 жыл бұрын
Sasa mwenyezi mungu gani kaka unaemjua apo na kumtaja wakt umesema huna dini
@Kimbururu
2 жыл бұрын
"Mwenyezi Mungu amenijaalia." halafu linasema siamini chochote. Jimaku kubwa sana hili
@dottokulwa7075
4 жыл бұрын
Sikulaumu wala sikuhukumu ila jua bloo mungu anakuskia kila usemalo kama umeshindwa kujua dini yeyete basi mungu anajua ukweli wako
@benardivincenti9155
5 жыл бұрын
Daah imani yako itakuponya mbele za haki uhenda yupo xahihi na anachokixema au kukifanya xo muacheni 2 na imani yake mungu ndo ajuae nafxi zote....by Ben de classic
@mshumbusideogratias9567
5 жыл бұрын
kiburi cha uzma kinakusumbua ipo siku utayakumbka
@odonkoodo3643
5 жыл бұрын
Huyu Nay nshamufahamu sana,,ywajifanya kuwa hamujui mungu katika intaview .lakini kiukweli Nay ywamwamini mwenyezi mungu maishani mwake. Kulingana na mienendo yako ni jamaa mwenye busara sana hila tu utupumbaza wakati mwingine na kujifanya mjinga kuwa hamufahamu mungu
@hamishamis9905
5 жыл бұрын
He!!! kaka na kesho kwa mungu akaseme maneno hayahayo kama matamanio ya kidunia yanakuzingua kaz kwako.....Ramadhani makbul......
@sofyjoseph3147
5 жыл бұрын
Woooi ney murudie mungu
@kulwambape3741
4 жыл бұрын
Amjui mungu alafu Ana sema mungu aki nijaria hhh kkk bro
@jacksonnduna4419
4 жыл бұрын
Kumjua mungu,anzia kwenye pumzi yako hapo we unadhani hiyo juu hapo kaishikilia nani na haina hata nguzo tubu kabla hujadhalilika pimbi ww mungu yupo anatisha kenge ww
@deusmauka9626
5 жыл бұрын
Amini Mungu yupo, full stop.
@hassansalimsalim9456
4 жыл бұрын
mungu ampe mwisho mwema mana ni zaidi ya balaa dunia sio pambo la kukuacha utengane na dini yako NY ongea kwa kufikiria
@chunaamina8719
4 жыл бұрын
Alkufuru Firauni hakuomn kma kuna Mungu adi pumzi ikata alkua tajiri wa Mali fedha dhahabu n. Leo hi yuko wapi seuze ww Huna mbele wala nyuma tamaa tu, Acha adhabu ya Mungu itakufkia if you wl not change
@verojonh2545
5 жыл бұрын
Mmmh unaiman yako mungu akutoe huko vichan akulete barabaran mana hulijui ulitendalo
@mwenemaseko4921
5 жыл бұрын
ujinga wa kiwango cha juu sana,impact of being famous!!!!
@jojoalvin8584
5 жыл бұрын
mh apo unatutisha achana na unavoviabudu Mungu ni mmoja usijikute wew ndo umeshamaliza kwa vitu na pumzi anayokupatia Mwenyezi
@mohammedghassany4047
5 жыл бұрын
Anajua vzr km mungu yupo asingalisema tunapo majaaliwa Pumbavu zake
@shaabanramadhan6770
5 жыл бұрын
Hajitambui
@ndayisabacynthia8546
4 жыл бұрын
ALLAH AKBAR kwa kweli MUNGU akusamehe unafanya usijo kijuwa ipo siku atakukamata njoo utamjuwa, Duniya na iyo pumzi visikudanganye
@harmonymattondo4042
4 жыл бұрын
Nay wa mitego Sio freemason. Ili uwe freemason ni lazima uamin uwepo wa Mungu. Freemason ni wakristo na Waislam
@shabanramadhani2149
3 жыл бұрын
Ney kumbuka kuwa mungu ndo Kila kitu na hupo hapo kwa neema za mungu Alie juu yeye ndo baba wa mababa
@paulmohamed935
5 жыл бұрын
Dah! Inaonekana humjui Mungu huku hapohapo unatamka Baraka za Mwenyez Mungu! Acha Unafiki Bro!
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Ukisikia ney anataja mungu ni lucifa ndio anayemuamini muombeeni aijue kweli
@abdulabass5808
5 жыл бұрын
Nimesikia akisema "mwenyezimungu amenijalia " kumbe anajua km yuko mwenyezimungu anaejaalia watu akiwemo yeye ,niwazi hajui dini ni nini wala mungu ni nini, uyu nimsanii au bogaz?
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Duniani njia ni mbili tu. Kwa mungu na kwa Shetani. Huyu anababaisha tu lkn kwa mwenye akili keshaelewa
@magynzioka1122
5 жыл бұрын
Hata shetanai hataki wasio kua na himani kamilifu mbele za MUNGU shetani upenda alie na msingi imara kwa mungu ili amwangushe kumbuka mtume hibrahim kumbuka ayubu kumbuka daudi waote walikua thabiti na wenye imani na dio shetani aliwatumia shetani hana haja na mtu ajitambuii kwaii dunia uyu ni mpangani shetani hana haja na wapangani hata kidongo
Mbona umesema Mwenyezi "Mungu akinijaalia" kwa hiyo una Imaan na Dini ya Kiislamu.
@husseinmhuzali584
4 жыл бұрын
Me namuelewa na haha imani na dini yoyote ispokua anaamin mwenyezi mungu yupo na ana muamini mungu
@adamyohana5749
5 жыл бұрын
Sasa ukifa tunakuzikaje rafiki wa rucifer ww
@michaelsamasta9875
4 жыл бұрын
Fatilia mazungumzo yake ana mtaja Mungu anasema Mungu anasaidia msimkumu sana bali kuombea maana maombi yenu yanaweza kumtoa kwenye kifo
@emilyrissling9703
4 жыл бұрын
Kutaja mungu haimainishi anamainisha mungu muumba mbingu na Dunia,waabudu shetani humuita shetani mungu, Kwa ivyo usishtuke mtu akimtaja mungu,amkeni !!!
@tungundanya9569
5 жыл бұрын
😀😀 hyo lozari ya nn
@wangonamuhange8218
4 жыл бұрын
Watu wanashindwa kuelewa na hawana uwelewa iko.iv mungu hana dini sio mpaka uwende kanisan au msikitin lolote unalofanya kama Lina mpendeza mungu anakubalik ss kinachotuponza ni watumwa wa dini MBili
@xaviermethewxaviermethew7727
5 жыл бұрын
umetisha baba
@copperbee7002
4 жыл бұрын
nampenda sana huyu nay😍😍
@meksonyjoseph8909
5 жыл бұрын
wanao jifanya watu wadini ndo kifusi cha matendo mabaya .nakukubali ney imani sio lazima uwe Muslim ama kristo Bali ni matendo yako tuu.
@SamsungA-su2qj
4 жыл бұрын
SubhanaAllah
@ahmedhajji1210
5 жыл бұрын
sasa huna dini.halaf unasema mwenyezimungu akikujalia...which is which????
@kajakairo306
3 жыл бұрын
Nimecheka Sana afu anamtaja mwenyez mungu
@user-qz2yd5wm2m
5 жыл бұрын
Kaishi huko unako a mini sasa mbona unaishi kwenye duniaya mw.mungu siuambiehiyo muungu unayo iamini ikutengenezee sehemu yakuishi lijingahilijitu lilikuwahata kuvaahalijui eti sasahivi anapesa tena pesa zaharamu zaraumpaka kwamungu wako walahalioni haya kazi mie huko.
@andrewmlamba
5 жыл бұрын
Yani huyu nay anajifanya hamtambui Mungu siyo.!?!Ama Kweli masikini akipata matako huliya mbwata
@jumakapo9914
5 жыл бұрын
Mungu anamtambu sio makanisa wala misikiti muwe mnamsikiliza vizuri
@mwajejasson6995
5 жыл бұрын
Ili jama ni lijinga lijinga mungu ndie kimbilio letu njoo kwa yesu
@godymlugulu2121
5 жыл бұрын
Mfuasi washetani uyo
@yasirdahasra3186
5 жыл бұрын
Hajasema hamuamini mungu bhana kuhusu dini ndio amini na pia mungu na dini vitu viwili tofauti
@kenyafarm9891
4 жыл бұрын
Nay amesema si mkirito na simuisilamu mbali anaamini kuna Mungu
@yasintasamson8198
4 жыл бұрын
Sitaki kumhukumu Ney maana hakuna mkamilifu chini ya jua ,Mungu ndie ajuaye yaliyofichika nafsini
@danielqambadu7643
4 жыл бұрын
Huyo jamaa nlikuwa namkubal lkn kwa izo Iman zake simtak tena!
@lucasmhagama8166
4 жыл бұрын
Anadai kuwa haamini uwepo wa Mungu ila dk 2:04 anasema *MWENYEZI MUNGU KANISAIDIA* huyu atakuwa chizi tu
@joelymwampaka2710
4 жыл бұрын
Pia kavaaa rozari
@edelawino267
4 жыл бұрын
Lazima ujue mungu yupo plz
@chayogasperi9783
4 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU KAMJAALIA HA HA HA HA HA KAZI ANAYO MWAKA HUU .
@richardsolomoney490
5 жыл бұрын
We NI fara2 ndoo mn CK izi atulielewi umebadilika broo mwamin kwnz mung Kuna maisha mngne bd ya kifo
@jailosmichaeljosephattv8175
5 жыл бұрын
sasa nay unazingua unapenda pesa kuliko mungu mwaiyo mungu hana hizo pesa unazotaka
@zimbaalexsanchez6462
5 жыл бұрын
Daaaaaahhh broo unazinguaa
@ibrahimbakari4125
4 жыл бұрын
Huu ndo mda wak wakutubu kabla mungu hajakutia mikoni bila hivo yatakukuta makubwa naukumbuke iyo pumzi unayo vuta inahesabik
@khamisrubea5083
5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu anasaidia halafu unasema huna dini sasa ukisema mungu anasaidia kwa dini ipi mbona hatukufahamu
@emmatv5418
4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu na wakati anasema haamin kikanisa
@ameirameir4930
5 жыл бұрын
Na asifanye mziki bs awaombe hao Waungu wake wampe anachotaka pumbav unaishi unakula unavaa kwa nguvu za Mungu halafu unamkana Mungu Mungu hakopeshwi hata kwa mzaha
@iddyjumanne2624
4 жыл бұрын
Unaabudu chochote ashawazim wewe Mungu pekeee ndio muabudiwa kwani ndio aliekuumba wewe leo unasema unaabudu chochote unaringia pumzitu hapo ukipigwa gonjwa laajabu wiki Tu lazima utamtaja Mungu akutoe akusaidie je akikataa utafanyaje naww unaonyesha ulisha msahau mdatu Mungu hembe mtafute mungu
@shakila3982
4 жыл бұрын
Basata ya Tanzania mtakuja ukumiwa na mmelaaniwa na hamuiyoni haki, wakati mtu anamtusi Mungu hamfanyii chochote lakini akiwatusi nyinyi ndio nyinyi ao kufunga wimbo, yaani mko mbioni kujiweka juu kuliko mwenyezi Mungu mmelaaniwa nyinyi
@lailmeeea4908
5 жыл бұрын
We muogope Mwenyezi Mungu haki na uko kujicholachola mwilini kesho majuto
@muhalamiadamu9878
4 жыл бұрын
Ww nimjinga muimbaji chizi unaejitambua si ndowewe ulieshaa ' mungu yuko wapi, sasa mungu aliekujalia niyupi.
@mohamedbinyusuff1007
3 жыл бұрын
Mjaa wa la'ana huyu
@kelvinmichae728
5 жыл бұрын
mwenyezi Mungu yupi sasa aliyekusaidia? maana umeshamkana. ila ndugu yangu vitu vyote vitapita Kunamaisha baada ya kifo.Nakushauri tu Nenda kanisani hata kama utaendelea na mambo yako ya imani yako lkn kwakua Mungu anajua wewe ni binadam ambaye hujakamilika Atakusamehe maana mwenyezi Mungu amesema dhambi zako zijapo kua nyekundu kama bendera bas zitakua nyeupe kama theluji Wengi tunatenda dhambi ila tunatubu maisha yanaendelea Pesa isikutawale hadi ukamkana Mungu.
Пікірлер: 705