Shalom watumish. Namshukuru MUNGU Kwa madhihirisho makubwa, DAY 5 naingia bafuni(bafu la ndani ya chumba ninachoishi) nakutana na huyu mjusi, nyumba imejengwa paspo kuacha nafasi yoyote juu nmejiulza sana coz sikuwahi kuona hii before Zaidi ya yte namshukuru MUNGU kwa haya madhihirisho naamini yanakwenda kutendeka makubwa zaidi acha ninyenyekee ktk hizi sku 14 🙏🙏🙏
@WinfridaBagenzi-gz3bs
8 күн бұрын
Shalom watumishi,samahani wengine wanafatilia kwa njia ya PDF pale ambapo mnachelewa kutuma wanatamani waende pamoja maana waume zao pia wanashiriki pia sasa inakuwa ngumu wao, samahani nilikuwa naomba mtume ili nasi tuwatumie , ahsantee
@anointedroomministry
8 күн бұрын
Shalom Mpendwa majukumu tuliyonayo ni mengi kwahiyo mtuvumilie tu, mtu anayetengeneza pdf amejitolea tu na anafanya kazi kubwa sana ya kukaa na kusikiliza na kupangilia vizuri na wakati huo ameajiriwa bado. Kwahiyo tunaomba sana mtuelewe. Ratiba yetu sio maombi ya familia tu. Kwahiyo ukiweza kusikiliza na ukaandika kwaajili ya mumeo vipengele na mistari utatusaidia.
@stellawilson7453
7 күн бұрын
Hahahha una unguka nayo kwenye pochi😂
@SesiliaKilawe-sj5zn
8 күн бұрын
Barikiwa
@JohnDionisy
7 күн бұрын
Wakati unasubiria pdf share naye kupitia utube zitakapotumwa pdf utamtumia
Пікірлер: 6