Wakenya wameungana mitandaoni kuomboleza kifo cha mwandamanaji Rex Kanyike Masai, anayedaiwa kuuawa hapo jana jioni mwendo wa saa moja kwa kupigwa risasi katika pilkapilka za maandamano ya kuupinga mswada wa fedha wa mwaka 2024 .
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Негізгі бет Nairobi: Wakenya waungana kuomboleza kifo cha Rex Masai, aliyepigwa risasi katika maandamano
Пікірлер