ASANTE SANA PIA TWAKUOMBA INGIA INSTAGRAM KUNA VIDEO MPYAA @stevemweusi USISAHAU KU FOLLOW ASANTEEEEEEE
@macklineremmanuel1742
10 ай бұрын
Weka nyingi pia huku KZitem bwana Jamaa😔
@DeoGashimaro-mz8ge
10 ай бұрын
Stivu ninamaongezi na we tafadhar nitakupataje
@ngovielkingeliance6125
10 ай бұрын
Poa poa
@bennylove6021
10 ай бұрын
Tunataka kumuona uyo Hamad Kijicho
@ndunguruwangazi2334
10 ай бұрын
Hamad ki jicho...tutamjualin
@PacifiqueSumaili-xg5xk
10 ай бұрын
From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩, Steve nitaje ata mara moja kwenye comedy nakufuatlia kila wakati 💪💪💪💪💪
@Maleaz-go8jv
10 ай бұрын
Daaaah wakwanza ni Mimi kutia comment like ❤❤❤😁😁😁😁 from USA 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@fiti-qx7wo
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/lWiV2IyBgpxirJg
@James-fl1sn
10 ай бұрын
we ni mwamba🎉😢
@Maleaz-go8jv
10 ай бұрын
@@James-fl1sn aaaaaah 😁😁
@James-fl1sn
10 ай бұрын
Jamaa ni
@Maleaz-go8jv
10 ай бұрын
@@James-fl1sn what wrong bro
@jovithatibatekeleza6598
10 ай бұрын
Mnapoigizia kama waalimu hebu jaribu kuvaa kama walimu jamni
@nyakiliker8724
8 ай бұрын
Acha
@mwikwabejoseph367
7 ай бұрын
Madam ananiumiza jamani 😂😂😂😂😂😂
@SalumSaidi-ib6oz
10 ай бұрын
Sema stive tuletee hamadi kijicho 😂😂😂😂
@ramadhanitwahili6837
10 ай бұрын
uyo teacher aisee siopoa mzuri kweli kweli kunakuosoma kweli hapo akigeukatu macho yana ganda hapo hapo❤❤❤🎉🎉🎉.
@uwihanganyejoel4691
10 ай бұрын
Kwa majina ni Joe pro kutoka Rwanda 🇷🇼 Steve mweusi tunapenda comedy zake hasa hasa akiwa na yule dada sekta ya ualimu anaifaa kwa uhakika. Steve mweusi keep it up bro and continue raising African language Kiswahili kabisa . #mon_nom_est_Joe_pro je vis au Rwanda 🇷🇼
@daltonking5466
2 ай бұрын
😂
@user-gw6zg5yx9e
10 ай бұрын
Mwalimu kidoti pls usiweunavàa suluali unapendeza sana ukivàa mavazi tofauti na suluali
@sahraabdallah7242
10 ай бұрын
Kabisaa huyu dada Manshallah na Stara zake
@jamesgaitho4349
10 ай бұрын
Watching from canada 🇨🇦 ❤ Allah Bless Tanzania
@nwntz
10 ай бұрын
Kanada ya wapi banaa
@hafidhabdi2004
10 ай бұрын
😂😂😂 mimi kiukwel napenda sana Steve akiwa mwanafunzi ananikumbusha utotoni 😂😂😂
@Maleaz-go8jv
10 ай бұрын
Aaaaaah 😂😂😂
@fiti-qx7wo
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/lWiV2IyBgpxirJg
@user-sk3sv8pb8e
8 ай бұрын
Madam umenifurahisha kwenye huo uhalisia wa kuchapa😂😂😂😂. Sio kwa kumchapa huko Loveness jamani 😂😂😂
@andrewkaswagula3367
10 ай бұрын
Loveness nikimuonaga naenjoy sana ❤❤❤❤❤❤ mimi jamani
@josesnjoroge919
10 ай бұрын
Huyo mwalimu Ana figure poa sana. Nampenda pia❤. Kuja Nairobi
@Emmamusiccmb
10 ай бұрын
Nani ameona fimbo za mwalimu Kidawa zinapigwa kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂
@rich.kizza10
10 ай бұрын
Huyo lavu kweli zinamuingia😂
@carengerold7421
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@cyamatareealexis1373
5 күн бұрын
My Steve wee ndo wangu na team yako hongera kbs
@MwatsVet94
10 ай бұрын
Mwalimu akivaa hivi darasani kweli na maumbile yake yako 👌✅ lazima atawachanganya kina yahe😅
@abdul_aziz_tee
10 ай бұрын
😅😂😂
@Khmy54
10 ай бұрын
Haswaah alhabibi😂😂
@neemaelias3577
10 ай бұрын
🤣🤣🤣💕💕 Steve chizi kweli ety staki marafiki.
@refaredkoome2632
10 ай бұрын
Nampenda Kidoti Hajra kweli ameiva
@user-lk3rw4sm1v
3 ай бұрын
Munatakiwa kuuvaa mavanzi ya heshima ya kama mwalimu hayo Siyo mavanzi mazuri
@user-yh7dc6tx4x
10 ай бұрын
Napenda sana hii series ya mwalimu nkuvalishe Pete Steve mwamba sana❤❤❤
@fiti-qx7wo
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/lWiV2IyBgpxirJg
@user-ul1sr4oh9d
10 ай бұрын
Nampenda sana Steve mweusi, yuwajua kucheza filamu bana Aiseh Mc Mk Bailando..😂😂😂
@twaibumikidadi7377
10 ай бұрын
mimi huyu madam namkubali sana ktk sector hii ya UALİM ❤ Dada angu Hajrat leo kavaa suluarıı 😢 Loooo! Ongereni❤❤
@user-fd6sk1jp9w
9 ай бұрын
Duuu kweli bwana nimeipata hiyo
@stephaniejeremiah9566
10 ай бұрын
Ila hiyo dress code ya mwlam jamn 😂😂ndo maana steve anamtongoza
@sabihaibrahim143
10 ай бұрын
Walimu wanatesa kwa mavazi kwa wanafunzi wanao matamanio
@user-tp9gg4fg9e
10 ай бұрын
One luv from Burundi 🇧🇮 ila brother sound hazikai sawa bro
@RamadhaniShabani-oi6kg
Ай бұрын
Tuwape nafas vijana wazee ondoken hatuwata balua hongera mbwana mdogo
@johnmaina6888
10 ай бұрын
Huyu mwalimu Mzuri !!!
@manfromkakamega
10 ай бұрын
wakwanza jamani like pekee team ya steve
@Maleaz-go8jv
10 ай бұрын
Wakwanza ni Mimi
@manfromkakamega
10 ай бұрын
😂😂😂18 mins ago na wewe 7 min ago🤣🤣🤣
@allykassim3145
10 ай бұрын
Sema hajra unapaswa kuwanza mazoez sasa,umenenepa san aisee
@francismuthiani349
10 ай бұрын
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪. 🤗
@helenabenedicto2796
10 ай бұрын
Hivo viboko mnachapwa kweli😂😂😂😂😂😂😂❤
@zulachama1067
10 ай бұрын
Mwalimu wa darasa ujambo,nakupa ongera ❤❤❤.
@joshuanyaulingo4109
10 ай бұрын
Huyo hamad kijicho huyo 😅😅😅😅
@rich.kizza10
10 ай бұрын
Oya mi napenda uhalisia wa hii series, mtu akichapwa...anachapwa kweli
@fatmaally7252
9 ай бұрын
Yaaaani ni kweli aseeee
@user-vc1jd5jo6p
10 ай бұрын
Nipe like toka déc Steven kuja Congo
@ibrahimayoubdhahabu984
10 ай бұрын
Watoto wanavibe hawaa
@longinnduwabagabo2787
10 ай бұрын
Asante sana bwana Steven ! Mi napenda hiyi épisode ya wana funzi
@calexkirui6166
10 ай бұрын
Much love frm Kenya
@maherzain615
10 ай бұрын
Mavazi ya walimu nihayo watt kweli watasoma
@Hassan_official26
10 ай бұрын
From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️💯
@RibiehTv
10 ай бұрын
Huyu loveness nampenda bure ❤❤
@user-us8qz9vu8g
7 ай бұрын
Sure am Ramson from kaloleni ❤ this movie hasa kupitia kwa Steve ameichangamsha Sana movie hii bila ata kuboesha ametufundisha mambo mengi kip it up broo ongezee zaidi
@francisjoseph5102
10 ай бұрын
Madam hapo umevaa uhusika kabsaaa i love you bby girl keep it up.
@hafidhabdi2004
10 ай бұрын
Tiadoro yukuwap na mwenzake 😂😂😂😂
@franciskioko6043
10 ай бұрын
Aki steve anakuanqa funny,awezi kubali makosa yke ,kukana😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-jy5nt3qe9w
5 ай бұрын
Steve mweusi crazy you're from Kenya 🇰🇪 am your top fun
@fideldvicky
10 ай бұрын
napenda Lavvunss
@garihamisi4373
9 ай бұрын
Duuuh bwanawee Steve aise salute sana kaka mkubwa💙💙💙💙💙🙏
@user-kw3sn4pg3x
10 ай бұрын
Leo na mm nimewawai top 10 naomba like 5 tu
@princemozes9923
10 ай бұрын
Stuvu angalieni kwa YTb gospeli prince moze plz nisapotini
@mkombozierick7828
10 ай бұрын
Nilitaka kushangaa Mnyakyusa asiwepo kwenye kelele Mwakasege onfire
@JosefMuwanguzzi
10 ай бұрын
Live from Japan,but loveness namupenda yangu yote Mr Steven
@JosefMuwanguzzi
10 ай бұрын
Kama inawezekana naomba nmuvarishe Pete warai
@erickmajengo1861
10 ай бұрын
😂😂😂 Et subiri saa nane unanikumbusha mbali sana
@user-up5rc5js4o
8 ай бұрын
Jaman sasa mnafundisha au mnapotosha ni mavazi gani ayooo yakufundishia jaman mnafundisha vzr lakn shida ni mavazi jaribuni kuvaaa vzr thanks guys
@josephkitheka8204
2 ай бұрын
Steve is the funniest guy in Africa. He always leaves me laughing
@ebsenghore9964
10 ай бұрын
Steve, ls my best comedian The problem is l don't understand the language...
@harryminor4963
3 ай бұрын
Watch from the USA, Chicago, IL. I love the content.
@EuphraBilingue
8 ай бұрын
From Congo 🇨🇩🇨🇩 Mr Steven naku fwatiliya sana litaje jina langu ata kwenyi comédiens zako jina ni euphra bilingual
@davidsoinemuterian3342
6 ай бұрын
Hii shule wote ni akili pungwani 😂😂😂😂
@shirimq1234
10 ай бұрын
Mbona kama anachapa za kwelii😂😂
@fatmaally7252
9 ай бұрын
Za kweli
@JohnMk-je7fw
Ай бұрын
ahaaaa mbaya hiyoooo hizooo ni fimbo daaah kidawa wewe ni hatali 😂
@user-ro2dn4ug4n
10 ай бұрын
Hii Mara ya kwanza kumutazam steve lkn nimemuheshima sana kwa uwezo ukubwa wakwe comedian
@KarimuMakotwa-yv4wh
10 ай бұрын
Gonga like kwa Steve mweusi hapoo👊👊👊
@user-em8sc1yt5g
2 ай бұрын
Loveness...mrembo sana mtoto wewee❤❤❤
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
4 ай бұрын
Sitivu chukia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉nimeipenda
@philipmutua6643
9 ай бұрын
Daah, kweli stivu wewe ni influencer 😂😂😂😂❤
@ishipalemypasco2567
10 ай бұрын
Ndio Asubili sa 8 asijifanye ye mwema sana 😂😂😂😂
@user-xy6ed6qt3l
7 ай бұрын
Da huyo mwalimu alivovaa nihatar
@user-bn6ut2oe1z
9 ай бұрын
Ak loveness nmrembo hongera dada
@evansokoth9925
5 ай бұрын
Wasichana wa Tanzania ni warembo kweli,lazima nifike Dar
@Joshua-do4rf
10 ай бұрын
Mimi nawewe nakupenda Burundi love you
@ibrayusph5603
10 ай бұрын
Kuigiza kama mwalimu haina shida ila kuvaa hivyo hapana...
@alfredjohn5693
10 ай бұрын
Wacha watu tuenjoy maisha ,, bandari imeuzwa uko unataka tusipunguze stress? 🤣🤲
@vicentmlumba591
10 ай бұрын
Izoo fimbo mbona Kama zinapigwa kweli
@josephkapinga652
10 ай бұрын
Shuruba za shule bongo halafu ajira tunazisikia tu 😅😅😅😅
@franciskioko6043
Ай бұрын
Nachukianqa uyu dem prefect😢😢😢😮
@abdul_aziz_tee
10 ай бұрын
madam kidawa anatumia nguvu kubwa sana hatumii marifa kiufupi lakini huyu mwingine 💯 asilimia namkubali hana shida kabisa
@asukulualonda9034
7 ай бұрын
Tusha follow
@rogerslwitiko3915
9 ай бұрын
Yaan Bro.Steven nakupa maua yako km hv😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@geraldkilali-qn2yv
10 ай бұрын
Madam wenyewe walembo, ata Steve akiwatamani ako sawa
@user-le7sj5ul6c
3 ай бұрын
Daaah, kutoka🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania hii imeenda😅
@KheriSanan
Ай бұрын
Hilo ni kwel ana igiz kam mwalim lakin izi nguo kwa kwel dah mtihan san kw iyoo wajikerebish tuuu kw hil jam
@superbillionairea5987
8 ай бұрын
Jaman stiv anajitahidi Sana. Lakin huyu madam mzuri na ksumbika kimwili
@user-fl5hw7jq9r
3 ай бұрын
Hogera mwalimu❤❤😂❤😂
@lucykebacho3446
10 ай бұрын
Unatafundisha mengi ktk mazingira ya kz. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@YOUNGBOY-200
10 ай бұрын
Steve Mweusi the master❤❤
@dannyqadenge4772
10 ай бұрын
STEVE Let HIM BE A MONITOR.
@YOUNGBOY-200
9 ай бұрын
Yes for sure
@anthonylister754
10 ай бұрын
Izo fimbo zipo kwenye Script? Maana naona teacher anachapa kweli
@zaburijr2504
10 ай бұрын
Huyu mkuu wa shule waooooooo❤❤❤❤anaitwa nani huyu
@andrewkaswagula3367
10 ай бұрын
Loveness ❤❤❤❤❤❤...
@user-tp4vm5ii3i
5 ай бұрын
lovelyness ni mrembo jamani,mpeni salamu kutoka kenya,je ameoleka ama bado.
@DieudonneTshibangu-lr6vs
Ай бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩very good histry
@mixturechannel6988
10 ай бұрын
Mavazi yanayotumika sio sahihi kwa huyo mwalimu ukiangalia kuwa darasani Kuna watu au watt wa dini tofauti , kwa upande wao wanatengeneza viewers ila tuangalie na maadili pia , Hilo sio sahihi fatuteni mavazi muvae acheni kuwapotosha wanafunzi
@Shukutu
10 ай бұрын
Kazi zuri Vijana I am from congo 🇨🇩
@hafidhabdi2004
10 ай бұрын
Hiii madam kidawa😂 anipandisha midadii😂😂😂 hiii duh mshepu huo sio poa kama hivi amekamilika flani amazing 😍🤩 Na bibiye hajra kidoti na mtandio wanipandisha midadi 😘❤️🤩🤩😍
@tztanzania2262
10 ай бұрын
Ukimpewa hata week haiishi ushamchoka Hawa wengi wao wazur wakivaa tu
@abdul_aziz_tee
10 ай бұрын
sema kidawa anazingua hafai bhana lakini huyu mwingine hana shida kabisa
@abdul_aziz_tee
10 ай бұрын
@@tztanzania2262kweli et
@hemedbakari8997
10 ай бұрын
Umbile la kidawa zuri akivaa nguo akivua labda kuwe na Giza la sivyo hurudii
@hemedbakari8997
10 ай бұрын
Chombo Hajra ukimpata unawasha taa na hutatamani mwanamke mwingi uzuri anajiheshimu kwakweli nampenda sana
@constablekenya9871
10 ай бұрын
Nipeni likes namimi jamani.... handsome boy kutoka Kenya
Пікірлер: 407