There’s a lot of healing and acceptance that this guy has to do, same as the other guys at watubaki. Nalimi is still hurt with what watubaki did to him he needs to heal and let go. There’s no platform that has no challenges. But as tanzanians we need to accept changes are inevitable
@herbethchogga361
Жыл бұрын
Huyu ni comedian no 1 TZ, kwa wanaofatilia comedy na kujuijua wanaelewa
@dorisfabian4776
2 жыл бұрын
Kwangu Mimi Deo ndo standup comedian ninaempenda sanaa
@Mwanamkesahihi01
2 жыл бұрын
Halafu we ni mwandishi kweli unachati huku Unamhoji mtu ? Shame boss wako ananidhamu sana Tafadhali Uombe Radhi unaanza kujisahau
@bugatti4728
2 жыл бұрын
Alikua anasoma maswali
@umojamedia4167
2 жыл бұрын
Jamaa anaongea point Anaelezea ukweli halis Awez kudanganya uwo ndoukweli
@SamwelNyangala
2 жыл бұрын
Huyu kaka aweke mambo wazi, kama anataka kusema alafu anapotezea
@esterngowi7159
2 жыл бұрын
💚💛💥
@bintqassimidarous1636
2 жыл бұрын
Nyie wanafamilia wa SNS hivi Creez yupo wapi?
@apt846
Жыл бұрын
Nalimi we ni mkali mzee ila tatzo umelia lia sana
@darviswantana7669
Жыл бұрын
Nalimi anajua, ilaa Deo is the best in Tz
@petermbwei1347
2 жыл бұрын
Nachukia kuangalia mahojiano ya mtu kama huyu aisee yani mifano mingi kuchekacheka unazunguka sana imebidi niache kuangalia pumbavu
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@japhetbarton8268
2 жыл бұрын
ASEEEE WHY NOW MBONA MNAPALILIA UMASIKINI KWENYE INDUSTRY
@maleek11flacko
2 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪💕
@raphaelkimaro1791
2 жыл бұрын
Duh, mshikaji anajisifu sana ki2 ambacho sio sahihi anajuaje yeye ana uwezo zaidi ya wengine? Afanye kazi zimtetee sio yeye kutumia nguvu kubwa kuaminisha umma ana uwezo zaidi ya wengine. Dalili za kushindwa ni kuamini unaweza kila ki2.
@birianination7097
2 жыл бұрын
Phone on interview nikosa kubwa sana
@bugatti4728
2 жыл бұрын
Anasoma maswali, ulitaka aende na karatasi
@birianination7097
2 жыл бұрын
@@bugatti4728 kama alikua anasoma maswali, then alitakiwa awe na simu mkononi mdaa wote, pia mtarifu mgeni kuhusiana na processes nzima. Kutoa simu mfukoni katikati ya maojiano nikosa kubwa. In UK Adele aliondoka katikati ya mahojiano kisa reporter haku fanya research yakutosha.
@bugatti4728
2 жыл бұрын
@@birianination7097 nakubaliil
@makambi4089
2 жыл бұрын
hapo mahari kuna mbu wa kutosha
@Mwanamkesahihi01
2 жыл бұрын
Nilijua hawa Vijana wanavipaji vikubwa lakini Umri wao na mambo ya Vikundi ni ngumu sana kukua; hata ivo Ukichanganya kupata pesa na Umaarufu lazma Ukose Kimoja - sio wote wanajua nini wanataka huyu anaongea anajihisi Bora sana Utoto mwingi Hajapevuka kabisa
@herbethchogga361
Жыл бұрын
Usiangalie kwan lazima !?
@herbethchogga361
Жыл бұрын
Humjui nalimi, na hufatilii comedy vizuri, information zako unazipata kwenye TV, real fans wa comedy wanaelewa huyu ni nani kwenye comedy… check kwanza special yake moja then utaelewa tunakuambia nini
@pascalsamson4721
2 жыл бұрын
duuu
@gsmartcreation5655
2 жыл бұрын
Donald. Video iko over exposed my brother-Inaumiza macho. Next time tumia Outdoor monitor kuhakikisha exposure sahiihi (To producer)
@rokidecor1011
2 жыл бұрын
Nimegundua kwanini hunenepi usijilinganishe na WATUBAKI wewe
Пікірлер: 30