Nguvu za giza zikiwa ndani ya mtu sio kwa sababu huyo mtu ni mdhambi sana,bali kuna sababu mbili zinazopelekea mtu huyo kuwa na nguvu za giza ndani yake.
Sababu ya kwanza ni familia au ukoo aliotokea.Koo nyingi za Kiafrika zinajihusisha sana na masuala ya upande wa giza,iwe ni kwa kufanya matambiko,uchawi,ushirikina na kadhalika.Vitendo hivyo huzipa uhalali nguvu za giza kufuatilia watu wa familia au ukoo huo.Na watu wa aina hii huwa hata wakijitahidi vipi ili wafanikiwe kwenye eneo fulani la maisha huwa hawafanikiwi,na hii huwaumiza sana maana huwa hawajui sababu ni ipi.Maana mara nyingi vitendo vya giza vilivyofanywa kwenye koo walizotoka huwa hawavijui.
Lakini sababu ya pili ni kutoishi maisha ya utakatifu.Watu wa aina hii wakiwa na nguvu za giza ndani yao mara nyingi hujua chanzo cha hizo nguvu za giza kukaa ndani yao ni kipi.
Karibu usikilize somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando ambalo litakupa majibu ya maswali mengi uliyokuwa unajiuliza.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZitem: kzitem.info/rock/67L...
Негізгі бет NAMNA NGUVU ZA GIZA ZINAVYOFANYA KAZI (II) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Пікірлер: 26