Amen pastor leo nimejufunza jinsi ya kuomba naomba mungu anitiye nguvu
@gracezunda8804
5 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa sana,naomba kitabu cha maombi yanayojibiwa kitufikie musoma pia
@zeliageorge3311
2 жыл бұрын
Asante kwa fundisho zuri, Mungu atupatie hekima ya kuomba.....!!!!
@sisterdivvana8770
3 жыл бұрын
Watumish wa mungu utawajua tuu jinni wanavyofundisha ..nakuombea mungu akujalie wasije wale wakakuingiza kwenye Tamaaa wakija wambie mungu anavyote maana shetani pia alimpa offer bwana yesu ya vitu vya dunia
@أمجدالمفرجي-ق3ض
3 жыл бұрын
AMINA ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@elkanaryoba6193
3 жыл бұрын
Mungu anisaidie nichague chuoni Atc
@kenamei
5 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor naomba niombee naumwa TB
@stellamkenga7667
2 жыл бұрын
Watching from Paris France I'm blessed may God bless you.
@mwavitafuraha7244
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji nashukuru sana kwa mafundisho yako yote yana nibariki sana kabisa namimi natamani kujiunga nanyi
@linetokuku5390
3 жыл бұрын
Amen Amen mtumishi barikiwa
@nasrakiango5097
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji Mmbaga
@libinarobert3830
3 жыл бұрын
Mungu akubarki mchngj kwa kaz nzur
@pascohamis632
3 жыл бұрын
nabarikiwa sana na mahubiri yako mchungaji
@selfaakinyi7824
5 жыл бұрын
Nabarikiwa mchungaji Niko Qatar nafatilia mafundisho, mungu akupe hekima zaidi, ila muombe dadangu kwa ndoa yake inashida.
@joymoraa6701
4 жыл бұрын
Watching from Kenya,am blessed ,be blessed pastor,may Our Good Lord bless you abundantly
@suzankasile484
4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho haya mchungaji Mungu akuzdshie kibari na kipawa uzidi kuvuta roho nyingi kwa yesu Amina
@gordfreysangawe7535
3 жыл бұрын
Mungu yu mwema kwa kila jambo sifa na utukufu vimrudie yeye Amina
@amosbyarufu100
3 жыл бұрын
Asante mchungaji wetu kiukweli Sina lakusema kwaupojaji juu yamaisha yangu.
@georgekariuki8564
3 жыл бұрын
Kama wewe una jiduga madawa na ogea na wewe kama wewe una fanya master Bert na ogea na wewe una sema yote ambayo ya a tukugaza sisi vijana ulipo taja to yale mimi ufaya automatic nika ya Acha niliku na master Bert basi mala bili kwa week au 3 na sikwaba mimi sijamupokea yesu nilimupokea kitambo nakini kubatizwa sijawai kubatizwa kangu ni zaliwe mupa waleo
@amosbyarufu100
3 жыл бұрын
Mchungaji naomba uniunganishe kwenye grupu lamaombi.
@jeannemuhimpundu6215
3 жыл бұрын
Asante sana Pasteur Mbaga,unafundisha vizuri,Mungu awabaliki
@eutropiangido9684
4 жыл бұрын
Nimesikiliza somo hili asubuhi hii. Asante Yesu unanifundisha kuomba. Mchungaji ubarikiwe sana
@esthersiamalya6323
4 жыл бұрын
Ainuliwe Mungu na Roho mtakatifu kwa huduma hii. Nimepokea, Ubarikiwe Mtumishi.
@esthersiamalya6323
4 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mchungaji
@lenahasantemchungajiauko8811
5 жыл бұрын
Asante mchungaji,nimebarikiwa sana katika kipindi chako zidi kubarikiwa
@boniphacemanyonyi4036
6 жыл бұрын
pastor mbaga ubarikiwe sana kwa mafundisho yako
@kwizeraelly9261
5 жыл бұрын
Mchungaji naomba unikumbuke ktk maombi.Nabarikiwa sn n mafundisho haya.
@stellasamwel584
5 жыл бұрын
Asante mchungaji kwa maneno yanayotia moyo naomba uniunge kwenye grup la maombi
@davidimmael1300
3 жыл бұрын
Hahaha top ni Yesu .....wazi Pastor
@bentermonyangi3032
6 жыл бұрын
Asante sana mchungaji mmbaga kwa kutusaidia kuujua ufalme wa mungu na kujitambua kimaombi mungu akubariki sana akuzidishie hekima na marifa maradufu swali langu ni je kuhusu ndoto zinausiana na biblia au kupewa ujumbe fulani mie naota sana ndoto za maji naomba unisaidie yanni inanipa dhida siishi kuota kuhusu maji
@cyrusmagata9463
3 жыл бұрын
Niko Kenya Nakuru Tutumie vitabu mchungaji
@janethnyabisi8617
2 жыл бұрын
Hey pst.am being so blessed 🙏 listening from Kenya... Umoja 1 SDA...
@pendopeter1790
4 жыл бұрын
Tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu....Mungu akuongoze Mchungaji tuendelee kubarikiwa na mafundisho.
@veronicachungwa3502
5 жыл бұрын
pr mimi naitwa veronica naomba mniombee mgahawani kwangu wananizunguka wenye nguvu za giza asubuhi unakuta wamemwaga madawa biashara kwa sasa imeyumba najua mungu hashindwi jambo .amen
@rizikiantwanette6081
3 жыл бұрын
Tulipatana kwanjiya konakona mwishowe mume ame kana kanisani baada yakupata utajiri nifanye nini
@rizikiebonge9631
2 жыл бұрын
Bwana akubariki
@ephraimkihoko8530
6 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na somo hili Bwana Akubariki sana Pastor.
@georgekariuki8564
3 жыл бұрын
Pia niko na usuhuda mukubwa sana kwa kunielimisha ki rho nimejifuza megi lakini kuna kitu mugu alinifaniya 2 weeks ago niliaza kufanya nikiwa na mika 15 lakini postar ni mugu to niliacha ulipo itaja wala hata sio kuobea unapo fudisa kuna maneno ya mwisho uya sema
@ndamegasprd3113
4 жыл бұрын
Habari za kazi ya mungu ? asante kwakufundisha jiaa ya kwenda mbinguni .Gaspard sweden
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Amen,Asante sana
@queenessiekenya6869
6 жыл бұрын
Mafudisho mazuri sana tafadhali pastor tag me next episode
@verenarutechura6221
4 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki mafundisho yako yanaeleweka
@ruthmichira4693
3 жыл бұрын
Naomba umumbee dada yangu anayeugua menengitis
@donpjay9528
6 жыл бұрын
Nakupenda sana mchungaji
@maureenjovial6083
4 жыл бұрын
Amina nauliza kama kuna vile nawezapata hicho kitabu online maana niko mbali sana niwe nikisoma kwa simu
@mariamjamican1930
5 жыл бұрын
Thank you to teach me the word of God it does help me a lot may God bless you
@kaselinboniphas3369
2 жыл бұрын
Naomba namimi niunge kwenye maombi yawasap
@lifewithkiki633
4 жыл бұрын
Naomba na mimi muniunge
@hepifurahini3849
4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@carolinetalam5832
6 жыл бұрын
Watching from Kenya good teachings can you please sambaza those books here in Kenya and Also add me to assap group ya maombi God bless you sana pastor
@ballohhopaschal1098
5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@carolynadhiambo2543
4 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtu wa MUNGU, Naomba tu Maombi ya family yangu kwanzia babangu na dungu zangu na pia watoto wangu na nyumba yangu
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Mungu akupe haja ya moyo wak
@joyceobiyanyaundi1977
Жыл бұрын
Pray for my children pastor.
@electroplus5999
4 жыл бұрын
Jambo mchungaji,naguswa sana na mahubiri haya,ubarikiwe sana
@emominja6750
4 жыл бұрын
Bwana Yesu apewe sifa naomba uniunge kwenye group la Whatsapp la maombi asante na ubarikiwe
@MahubiriPrMmbaga
6 жыл бұрын
asante sana ndugu kutoka Kenya. Wajulishe wengine. Istagram Follow pastor david mmbaga
@imangregory8392
6 жыл бұрын
Mahubiri Kiswahili Tv naomba uniunge group la wasap 0757819876
@pendondagula346
5 жыл бұрын
Naomba uniunge kwenye group WhatsApp nitafurahi sana mchungaji 0787338083
@desirebankundugwamaso338
5 жыл бұрын
@@pendondagula346 4806672620 Desire
@polynekiggira4438
5 жыл бұрын
Stomach ulcers zimenitesa sana pastor niombee nipate kupona.naitwa Poline kutoka Kenya.
@patokiboi5040
5 жыл бұрын
Habari Mtumishi. Naomba kuwa member kwenye group ya Maombi +254718134834
@justinenyanzira4357
3 жыл бұрын
Asante saana nimebarikiwa
@aroniadamu8875
6 жыл бұрын
Mchungaji asante sana kwa mafundisho yako. Na Mimi nataka nijiunge kwenye group ya mahombi na sijui kama mtakupata je ukiwa live na naishi marekani
@mwavitafuraha7244
3 жыл бұрын
Namimi nina mgonjwa wakupooza mkono namiiiguu
@josiahsalum1143
6 жыл бұрын
Nabarikiwa xan ktk vipndi hv pastor .
@louiseriziki423
3 жыл бұрын
Niko wazi kwako
@almasmanumbu1902
4 жыл бұрын
Niombee mchungaji nina matatizo mengi unafundisha vizuri sana sana sana eee mungu nipe imani
@natihaikamjema6130
4 жыл бұрын
Mungu akubariki
@louiseriziki423
3 жыл бұрын
Naomba maombi yako utuombeye tuko mbali Australia
@venasushindi154
3 жыл бұрын
Mbona tunahona mandiko yanasema jina lamungu ni yahwe sasa inakuwa Abba
@agnesbwananomuchungajiwang6645
5 жыл бұрын
Muchungaji mimi nataka kipajichangu yani uduma yangu irudi kamazamani yani Mungu anitumikishe kama zamani
@georgekariuki8564
3 жыл бұрын
Pastor kuna somo ambalo ulifudisha vyakula abavyo tunafaa kuvikula na pia ukaguzia sana dini la ma Rastar ukasema ya kwamba wana a mini imeadikwa kila muti utoao begu nimatumizi lakini kuna mahali pia hukupaguzia kusababu nimeona pia kuna adiko wanatumia wakisema ya kwamba mbagi ni harari nalo adiko hilo ni hii zamburi 104.14 ebu pastor fafanua hii ili watu wa mugu walielewe
@evalyneomire4543
6 жыл бұрын
Naomba uniunge kwenye group LA maombi mchungaji nakuomba sana
@selinalugila8980
5 жыл бұрын
Naomba mchungaj mniunge kwenye group la maombi 0753035297
@lucyhaule3140
4 жыл бұрын
Naomba namba mchungaji
@bahatisaimon6019
5 жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwakutoa kufanya kazi ya MUNGU WETU
@richie672
5 жыл бұрын
Asante sana muchungaji naomba kujiunga na kikundi cha maombi watsap +254748207846
@shideashidea5570
5 жыл бұрын
Amina pastor naona maono ya ajabu juu ya Usemayo
@رزقكينيدا
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji
@maureenjovial6083
4 жыл бұрын
Amen asante sana mchungaji naendelea kufuatilia mafunzo haya nabarikiwa sana mimi nimeanza juzi kufuatilia lakini naona tofauti sana.siyuko kama mwanzo naweza pata wapi kitabu hicho tafadhali natoka kenya
@kwizeraelly9261
5 жыл бұрын
Amina!Niko Tabora mchungaji niombee ktk sala unazoomba.
@rachaelndege5641
5 жыл бұрын
Abaa Abaa Abaa unanijua nisafishe nitakase nakuhitaji leo
@mawazomangala773
6 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@natihaikamjema6130
4 жыл бұрын
Naomba mnikumbuke kwenye maombi Pastor. Nimevunjiwa duka langu. Mungu akatende na vitu vilivyochukuliwa pamoja na pesa viweze kurufishwa. Pia naomba mniunge na group la maombi 0717-945437
@kwizeraelly9261
5 жыл бұрын
Mchungaji naomba umwombee dada yangu anaumwa ugonjwa usioeleweka.
@josephmirumbe8740
5 жыл бұрын
Mchungaj naomba uniombee nguvu ya roho mtakatifu
@mwavitafuraha7244
3 жыл бұрын
Ninaitaji kujiunga nanyi juu yakuhomba
@gracenyabokeondimu2942
2 жыл бұрын
Amen
@fei3668
5 жыл бұрын
Nataman nije nikuone mchungaji nabarikiwa saana kukusikilizq
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Karibu
@drostaflorian7970
5 жыл бұрын
Niombee Mchungaji nipate mtaji
@veronicamalale2153
4 жыл бұрын
Nifanye Nini maana ndoto zangu nikiota asbh sizikumbuki
@esterayubu2649
4 жыл бұрын
Ina mana pastar tukisema BABA je hasikii mpk tukisema ABBA.
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Ester Ayubu HAPANA HAINA MAANA HIYO
@esajackjack3032
2 жыл бұрын
ameen
@ellenmbota1241
4 жыл бұрын
Ps Mungu akubariki kwa fundisho hilo naomba uniombee niombee
@octavianjoseph3512
5 жыл бұрын
Kazi nzuri barikiwa sana
@franciselectronicrepair2823
3 жыл бұрын
Asante kwa kuni fungua akili
@rachaelkahonzi41
4 жыл бұрын
Pst na mtoto anaanguka na mm pia naumwa na jicho lakini naomba lakini cjajibiwa
@saimonmichael792
5 жыл бұрын
ubalikiwesanamtumishi kwahudumahii nimekuwanikiimalika imani
@shideashidea5570
5 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor
@borajuma9315
6 жыл бұрын
Mungu wangu akubariki mutumishi kwa neno kuomba.
@susantuguta4909
4 жыл бұрын
Amen. May God continue to use and protect you.
@paschalpaul1221
5 жыл бұрын
nasubilia sehemu ya pili baba
@anithamami8133
3 жыл бұрын
Ninataka mungu kuwabwwana namokozi wangu
@mbularose1525
6 жыл бұрын
Mahubiri Mimi husaidiwa sana na vidio zako nikiwa Dubai..mimi ni Mkenya Mungu akubariki sana
@faustinetilya685
3 жыл бұрын
Mimi naishi na mwanaume ambae sijafunga nae ndoa pia alifiwa na mke wake watot wake wanajua nimefata Mali za mamaao wanataka kunifikuza na mm nimjazito naogopa
@princesssarah4905
4 жыл бұрын
Pr. Mbaga Mungu akubariki kwa utume mwema. Muombee mama yangu anaitwa Rhoda. Yupo Makambako amepata shida ya mgongo na pressure
@joycemashikolo9096
6 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji mbaga
@christinasenga4412
6 жыл бұрын
Naomba unisaidie maombi naandamwa Sana kwenye biashara yangu christina senga rukwa
@ndihokubwayobrigtte872
2 жыл бұрын
Amina
@polynekiggira4438
5 жыл бұрын
Naomba unikumbuke katika maombi pastor stomach ulcers zinanitesa sana.Naitwa Poline.
Пікірлер: 349