Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza
@fatmahaji7661
5 ай бұрын
Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza
@fatumabungara6307
Жыл бұрын
Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.
@khadijamohamedkibabi3625
3 ай бұрын
Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha
@user-hz7gm6ye4y
9 ай бұрын
Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee
@khadijahidd3678
7 ай бұрын
Alhamdulillah
@FatnaAlly-go7yt
3 ай бұрын
Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah
@nuruddin5074
Жыл бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT
@Rkim-em3td
2 жыл бұрын
Mashaa Allah dadaake Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera
@kalamuMedia
2 жыл бұрын
Aaamin
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Amiin
@aisha-rj6uc
Жыл бұрын
Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.
@azzamahamdu7039
Жыл бұрын
SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏
@khadijahidd3678
7 ай бұрын
Amiin, Atupe lenye sote
@fettysaidy8621
8 ай бұрын
MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤
@aishabarua6857
Ай бұрын
❤❤❤, mashallah tabarakah allah, tutajifunza, na sisì 😊
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam
@husnaally7964
Жыл бұрын
Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid
@halimaissa4
Жыл бұрын
Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.
@hidayarubibi4224
Жыл бұрын
Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!
@zubedatatu7852
Жыл бұрын
Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa
@farhiaisabella3166
2 жыл бұрын
Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija
@kalamuMedia
2 жыл бұрын
Akutunze nawe pia
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
@@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?
Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️
@amirnkokoo3083
Жыл бұрын
🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha
@muhsinsalum8009
Жыл бұрын
Mi dada nikuambie kitu. Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe. Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu. Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa. TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.
@aishajuma18
5 ай бұрын
Tatizo lenu sio waadirifu
@fifo262
2 ай бұрын
Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi
@aishaomar9621
Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza
@husnaally7964
Жыл бұрын
Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty
@kitengenyembo4223
Жыл бұрын
Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
@@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati
@zulfashabani4890
Жыл бұрын
Allah akubariki ww na familia yako
@husnaally7964
Жыл бұрын
@@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako
@kholaabdulrahman1750
Жыл бұрын
MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.
@johasaidy1471
Жыл бұрын
Mashallah Mashallah barakallah ❤❤
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema
@user-js2kq9xo6q
Жыл бұрын
Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya
Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu
@halimambarouk4612
Жыл бұрын
Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah
@khadijakhamis2082
2 жыл бұрын
Mashaallah! Shukran kwa darsa
@twahamachozi8018
Жыл бұрын
Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa
@damandokondoko1787
Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri
@RonicahWilson
2 ай бұрын
Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda
@azizadjumadazuu2731
Жыл бұрын
Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir
@khadijahidd3678
7 ай бұрын
Alhamdulillah
@user-cq5nw6vi7t
5 ай бұрын
Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo
@aishasaid7067
Жыл бұрын
umenichekeeeesha sana ,worth sharing
@zuenamsonga5274
Жыл бұрын
Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe
@user-yr5lh3mp8v
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji
@fatmahemed2189
Жыл бұрын
Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi
@VivianYombayomba
2 ай бұрын
Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa
@zainabolenga2829
Жыл бұрын
A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah
@zainabuseiphu-pq4kp
Жыл бұрын
Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee
@nadhifahassan168
2 жыл бұрын
Allah akulipe kheri Maashallah
@amonaamona3816
Жыл бұрын
Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah
@amirnkokoo3083
Жыл бұрын
Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU
@khadijahidd3678
7 ай бұрын
Ujumbe ni wa wote. Tujielimishe
@MuhammadHamisi
3 ай бұрын
dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana
@jumabakari4277
Жыл бұрын
Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah
@neemafatu471
Жыл бұрын
NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.
@fatmahamdoun74
Ай бұрын
Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi
@rehemamustapha364
Жыл бұрын
MashaAllah asante kwa darasa nzuri
@zainabdambu7091
Жыл бұрын
Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty
@khadijahidd3678
7 ай бұрын
Amiin
@happynescostat7420
Жыл бұрын
Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏
@amirnkokoo3083
Жыл бұрын
ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza
@khadijahidd3678
7 ай бұрын
Amiin, Atubariki sote
@tatusalimmwazizi1160
10 ай бұрын
Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki
@husnaummuhysam375
Жыл бұрын
Naomba namba yako
@abuumohammed4364
Жыл бұрын
Mashaallah Namuomba Allah akulipe gheri atusamehe pale tulipoghafilika
@sabihasaid9164
2 жыл бұрын
Mashaaallah
@amirnkokoo3083
Жыл бұрын
Uko vizuri ukhtii
@user-dn1co6oj3q
Ай бұрын
Khutba nzuri maneno matamu mashallah ila haijawai niingia hata kidogo Mungu aniepushie huu mtihani au anipe iman ya ju maana daah anyway laa yukhalifu Allah nafsan illa ùs'àha
@a.856
Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@yusufumindu-mc6uh
Жыл бұрын
Jazakallah khyra!!!!
@SociedadeSust1234
2 жыл бұрын
Shukran jaziilan
@halimamfaume1925
Жыл бұрын
MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty
@umurengeramwanaidi6915
Жыл бұрын
Mansha allah allah awazidishiye
@sabiha8869
Жыл бұрын
Manshalla maneno mazuri sana
@azzaalmaamry5817
Жыл бұрын
Maa shaa Allah jazakallah kheir
@fatushayaan8316
Жыл бұрын
salalahu calayhi wasalam ♥️
@remaz-tf6zh
Жыл бұрын
Shukrani ukhty
@mejumaamwachirero7324
Жыл бұрын
Shukran San Anty
@user-uf5ye4lj9b
5 ай бұрын
We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki
@JuniJuni-ki9vk
2 ай бұрын
Mashallah mashallah
@MuhammadHamisi
3 ай бұрын
sawaaàaaaaaaaa wanashida hawa wanawake wambie
@husnaibrahim2107
Жыл бұрын
Mashaallah shukran kwa darsa nzuri
@ahmedmwakabulufu315
Жыл бұрын
Umeongea pointi pote ila umearibu kunako swala la vikoba na mikopo na kufanya kazi huko kutamshugulisha zaidi akaisahau familia yake na ibada zake na kumfanya awe jeuri katika ndoa . ( ikikupendeza ifanyie taraja kauli hiyo vikoba na kukopa maana vikoba ni miongoni mwa riba na kumshauri mke wa mtu awe bize na kazi siyo ) baraka llah fiykum
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Vikoba na kukopa ni miongoni mwa riba??ni busara kukaa kimya kama huna maarifa juu ya jambo.Si kila kikoba au mkopo una riba .Ukht ameiweka vyema.Amesema vikoba na mikopo ya halali
@ahmedmwakabulufu315
Жыл бұрын
@@kalamuMedia sawa aina shida akisha kopa eende wapi na hizo pesa? Hayo si mafundisho ya mtume Muhammad swalallah allay wasallam wala haipo katika aya wa hadithi kwamba mwanamke akafanye biashara . Ila imekuja kwamba makazi bora na salama kwa mwanamke nikukaa nyumbani kwake. Ila kama una unauelewa zaidi yangu alihamdulillah si vibaya nika stafidi kwako kwa aya na hadithi sahihi..lakini hizo nifikra za ki ekwani musilimun
@aishamohamed9981
Жыл бұрын
Brother ahmed... Asalamu Alaikum warahmatullah wabarakaatuh.... Kufanya kazi ni kujipanga... Wake za Mtume walijishughulisha na kazi za nje pia... Kazi yenyewe ni ibada.. Bora iwe halali.. Bibi khadija alikua mtwiifu.. Wala hajamdharau RASUUL S.A.W. Dharau ni tabia ya mtu binafsi.. Sikipato.. Si vikoba vyote vyenye riba..vyengine twahara
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
Yes binadam atatubu apo
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@aishamohamed9981 bibi Aisha alifanya biasha ila hakua biz na nyumba yk km uko kwenda soma unafanya iinda na inadi kwa kua mume ametkeleza agizo la Allah?
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
Ma shaa Allah Allah akujaze kher
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
Ameen
@TumaYussuf
3 ай бұрын
Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha
@user-xh2ie9rv6l
9 ай бұрын
Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu
@haliyamwijaa6493
Жыл бұрын
Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada
@fatushayaan8316
Жыл бұрын
masha allah
@aminaabebe205
2 жыл бұрын
Shukren..
@user-gd6kt9hu3t
2 ай бұрын
Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana
@fatimahirakoze7311
Жыл бұрын
Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza
@mwajoma1373
Жыл бұрын
Masha Allah
@al-hidayahonlinetv3447
Жыл бұрын
MASHAALLAH
@fatmahamdoun74
Ай бұрын
Kuoa ni sunna hata mke mmoja sunna na sunna bora ni kua na mke mmoja wanaume hawawezi majukumu yao
@ridhiwan8030
Жыл бұрын
Mashallah allah bariki
@zainabubwa9569
Жыл бұрын
Mshlah jazzakaAllah khairah
@rashidyussuf3429
Жыл бұрын
Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili
@hemedabdallah7534
4 ай бұрын
Mashaanlah
@khadijaangore4408
Жыл бұрын
waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤
@fathimamohamed684
Жыл бұрын
mwashallah❤
@ridhiwan8030
Жыл бұрын
Mashallah
@humairamajengo6616
Жыл бұрын
Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto
@shammyshemkunde9577
5 ай бұрын
Kuna utii na mapenzi, somo ni mapenzi sio utii
@user-ri9su4ty3o
7 ай бұрын
Allah wQbar
@HafsaMohd-go3tc
4 ай бұрын
Mume wangu kaoa mke wa 2 siumii kwakuwa kaoa mke wa 2 ila kinachoniumiza ni huyo mke wake wakt alipokuwa mchepuko alinitukana hajanibakisha tusi lolote kanidharau kanijejeli kunifanyia Kila balaa icho ndokinachoniumiza basi Yani uyo mwanamke nisema ukweli kutoka moyoni simpendi na wala simpendi alf mume wangu kaoa bila ata kunambia chochote nimesikia nnje kwa watu km kaoa
@nuruhemed4771
2 ай бұрын
Pole ila hata Mimi kwangu ni opposite make Mkubwa kanitusj nilivo kua mchepuko nimeolewa alhamdillah nimetulia hatulizani Wala Hali na mwenza ila ninamchukia,yaani I hate her sana mungu anisamehe
@mimamambo9537
Жыл бұрын
Mashaallah
@user-lq8zi6on2e
9 ай бұрын
Yaan dada mm nimeolewa hata wiki haijaisha mke mwenzangu kafanya ushilikina mume haj Tena kwangu n hatak hata kupokea cm zangu nipo tu yaan hata sielew dada ukeweza mgumu ukikutana n ushilikina maana aliwai kunambia kwenye saba kuwa roho yake mzito kuja kwangu n anajiona anamuogopa Sana mkewe subhana llah bc mpaka Sasa ndo haj namutumiz hakuna cm hapokei innalilahi wainnailaihi rajiuun
@kalamuMedia
9 ай бұрын
Pole sana,Allah akufanyie wepesi
@user-cw1mj6yx6y
4 ай бұрын
Pole ndugu mhh
@AishaSaid-yg1ou
2 ай бұрын
Subuhanna Allah..Allah akuzidishie Subra..kuwa karibu na Ibada Mumeo atarudi usifanye Shirki..
@user-pt9uw3nz8c
2 ай бұрын
SubhannaAllah 😢😢😢
@uwimanahamu4583
Жыл бұрын
mashaAllah
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.
@aisharajimbo6784
Жыл бұрын
Kama kipi
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
@@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu
@sulekhaosman8357
Жыл бұрын
Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume
@MkiwaJeneto-tp2md
Жыл бұрын
Mashallah ukht upo vizuri na.omba namba zako za simu
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
Dada na mm uoni wngu kwa mujibu ya Hadith alosimulia abii dharr jundiy binjunaadat nayo n utamu w Imani mapenz Ni darja 2 t wakisha jaa ao ktk moyo hamna nafas tena linalofata ukimpenda Mt itakua kwa ajil yao na ukichkia kwa ajil yao
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Maneno mazuri kabisa.
@mussanangumi1734
Жыл бұрын
Ombi langu nyie walimu wakike munge kuwa munaweka namba zenu ili mtusaidie tunao pitia kwenye wakati mgumu ktk ndoa zetu mimi Nina mtihani sana na mke wangu nakosa msaada wallah
@mbanga6759
Жыл бұрын
Pole Sana kaka inshaaallah tuombe kheri mtihani utakuondoka
@khadijaomar3480
7 ай бұрын
Pole sana kaka angu
@khadijaomar3480
7 ай бұрын
Usichoke kumuomba Allah akufanyie wepesi maana ndoa pia ni mtihani
Пікірлер: 275