Asante sana Yesu kwa Nyakati zote katika maisha yangu. Hapa nakuletea wimbo wa shukrani zipokee shukrani zangu na dunia ijue kwamba ni WEWE UNAEFANYA NYAKATI ZOTE. LIBARIKIWE JINA LA YESU.
@deodathanyika3529
5 ай бұрын
Mavelous❤
@janetikimati6148
5 ай бұрын
Ongera Sana kiongozi upo vizuri
@mwitajohn3189
5 ай бұрын
YHW hujatuacha siku zote. Amen
@samuelmuhindosivamwanza4988
5 ай бұрын
Amina kubwa. Bwana Yesu Asifiwe sana. Uende mbali sana maman MADUHU NAMSIFU MWITA.
@PendoKachingwe
3 ай бұрын
Barikiwa. Sana Dada
@FabianMbegete
5 ай бұрын
Hongera sana sana
@happiemasija7833
5 ай бұрын
ubarikiwe sana dada Namsifu..
@jasiriluvanda2298
5 ай бұрын
Hongeraaaa sanaaaa dada Namsifu
@joelelias9771
5 ай бұрын
Amen and Amen! Nabarikiwa Sana Na Nyimbo Zako Dada yangu! Kila wimbo uutoao ni mzuri! Sauti nzuri, studio nzuri! Songa Mbele Bwana azidi kutukuzwa Maishani Mwako na Mwetu! Be Blessed Namsifu Maduhu Mwita!!
@samalugilihe6696
5 ай бұрын
Amina, barikiwa sana dada na wimbo huu ukaendelee kuwa baraka kwa watakaotazama na kusikiliza.
@FurahaPeterSumahili
Ай бұрын
God bless you so much 🎉
@ruthyona9058
5 ай бұрын
Barikiwaaa 🙏❤
@nishimwedanny4691
5 ай бұрын
Ahsateni Baba Muumba wa yote mema Amen
@BonifaceKaroli
5 ай бұрын
Ubarikiwe sanaaa mamaaa
@MariamIsack-fy3yr
5 ай бұрын
waooooh nice song my sister unanibariki, barikiwa🙏🙏
@eliasmagere3990
5 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu umetubariki❤,
@milkajoseph8569
5 ай бұрын
Halleluya Mungu akubariki na endelea kutubariki kwa nyimbo nzuri zenye matumaini..Amen amen
@violetmlinga5954
5 ай бұрын
Hongera sana kwa huduma. Mungu aendelee kukutumia ktk ufalme wake
@HelenMasalu
5 ай бұрын
Hongera sana kipenzi Mungu azidi kukutumia, Very proud of you
@teresiakaronjo1840
5 ай бұрын
Amen
@nyachirangimlengwa
5 ай бұрын
Amen, Hakika Mungu yupo nasi
@gladyssteven9198
5 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mwitajohn9153
5 ай бұрын
Thanks
@marymaridadi7330
5 ай бұрын
Hakika mkono wa Bwana umedumu Nami katika nyakati zote ! Asante Jehova🙏🏿
@emmanuelmabalahungwe2800
5 ай бұрын
Mungu aendelee kukubariki upeleke Injili Kwa njia ya Nyimbo ,Kazi Bado kubwa kuwaleta watu Kwa Yesu ,ubarikiwe Sana
@namsifumaduhumwita2495
5 ай бұрын
Asante sana shemeji yangu
@adammungongo4115
5 ай бұрын
Hongera sana wimbo mzuri sana umetulia na ujumbe unaeleweka
@mwitajohn9153
5 ай бұрын
Asante sana
@RayaMwinyi
5 ай бұрын
Amina ahsante. Mungu anatukuzwa sana kupitia kazi zako. Barikiwa sana my dear
@barakamjilima8157
5 ай бұрын
amen nice song
@buyambalameck4821
5 ай бұрын
Amina , Mungu akubariki kwa injili hii kwa njia ya Uimbaji
@wisemasanga3157
5 ай бұрын
Good Music 🎶. Very professional. Mungu azidi kukuinua na Jina lake litukuzwe kupitia huduma yako.
@kurenjembura9593
5 ай бұрын
Hakika hii ni chakula ya roho inayoburudisha
@mwitajohn9153
5 ай бұрын
Amina kaka
@namsifumaduhumwita2495
5 ай бұрын
Asante sana
@kimamboliliacia2929
5 ай бұрын
Asante Mungu kweli kwenye dhoruba bado hutuachi. Nimebarikiwa sana sana. Asante Mrs. Mwita ❤
@mwitajohn9153
5 ай бұрын
Amina dada
@namsifumaduhumwita2495
5 ай бұрын
Thank you love.
@tullymwasalyanda7904
5 ай бұрын
Ameeen! Barikiwa Mtumishi kwa Wimbo mzuri ❤❤
@namsifumaduhumwita2495
5 ай бұрын
Asante sana.Ubarikiwe nawe pia
@godfreyshali3277
5 ай бұрын
Congratulation, Nice song with a good message, be blessed sister
@makininicholusstanley
5 ай бұрын
👏 👏 👏
@pepchallanga3626
5 ай бұрын
blessings upon blessings
@neemajohn10
5 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏😊Amen
@derekmurusuri3578
5 ай бұрын
Amina. Huu wimbo ni mzuri sana unaotukumbusha kumtegemea Mungu na pia kumshukuru kwa uongozi wake. Hakuna jambo lililokuwa mbele za Mungu kama kushukuru na kumsifu Bwana kwa uongozi wake. Ahsante Mtumishi wa Mungu. Hakika Jina la Bwana libarikiwe milele na milele, AMINA.
@mjungumseru9423
5 ай бұрын
God is Good all the time Tukumbushe siku zote Kama uko nasii..... One of the best song .. Mungu akubariki Mamaangu Kwa mbaraka huu
@sophienyamhanga3484
4 ай бұрын
Amina sis
@hoffumwakaje6052
5 ай бұрын
Barikiwa mtumishi kwa ujumbe mzuri na huduma njema👍❤
@Januarymosses
5 ай бұрын
Safi sana ubarikiwe
@felixfabian7887
5 ай бұрын
Amen Mungu akubariki Dada angu neema yake Mungu hizidi kukufunika, sisi tupungue yeye aongozeke.
Пікірлер: 62