Hujambo, mimi ni Odeo Sirari. Ni mwezi mmoja tangu nipoteze ajira KTN News katika mpango wa shirika la the Standard la kubana matumizi. Nimekuwa mwanahabari kwa zaidi ya miaka 17. Nimefanya kazi na vyombo mbali mbali vya habari nchini Kenya na hata kimataifa. Sasa wakati umewadia wa kuzamia shughuli za kilimo na kutoa asilimia themanini ya muda wangu wote shambani. Andamana nami katika safari hii ambapo nitakuletea matukio ya kila siku kutoka shambani kwa uhalisia bila kuigiza. Hii hapa video ya kwanza katika msururu wa video nyingi tu zitakazokuja katika @MaishaYaMkulima #MaishaYaMkulima #MySmallFarm #Kilimo
Негізгі бет Naondoka Chumba cha Habari kwenda Shambani
Пікірлер: 5