Zimezihiri zama za wanafiki wanajidhihirisha wazi wazi imeisha iyo
@abuukhairat7738
2 жыл бұрын
Ndugu hii ifute utume ile ya pili hii haijarusiwa imetumw abaht mbaya
@abubakarhussein2186
2 жыл бұрын
Kwann aifute kwan ameongea hayo aloyaongea au hajaongea??
@abubakarhussein2186
2 жыл бұрын
Alaf mafuta bhna yani yeye anaitakidi picha ni kharam ila akija mtawala anauliza atafanyaje sasa wakat viongoz au watala ndo washakuja na wanarekodi kwan tunarusiwa kumtii kiumbe kwenye kumuasi Allah? Labda aseme ni jambo lenye khilafu ningemuelewa
Пікірлер: 5