na hizo picha munyoiweka eti ni abulfadhli na abu khatwaab mutakuja kuulizwa nyinyi wala sio hawa kwanza hawarithii enyi waislamu mufahamu hizo picha zilizowekwa hapo waharidhii wenyewe wanafanya hivi kuwaudhi na kuwadhuru lakini hamuwaudhi mimi nime ongea kwa sababu musije mukadanganya ummah eti wanaridhia au wameweka bali wao hawarithii ndio maana huwezi pata kwa link zao wenyewe wameweka kama wanavyofanya hawa ansaar sunnah na barahiyyan na ikhwaanul muslimiin kama bahero akimtetea yuusuf qardhaawiy kwa souti yake iko ndani ya youtube anayetaka aniambie nimuonyeshe walillahil hamdu
@abuuawadhassalafy1594
2 жыл бұрын
Ntumie hio link mm
@ibrahim7211
2 жыл бұрын
Wallahi elimu si kusoma mashekhe mmezidi mpaka si ahlusunnah si massalaffi juwara ahh ata masufi wallahi wanafanya ibada zao z batili kimya
@quranrecitations7267
2 жыл бұрын
Hujielewi ww tena waumwa nenda kwa doctor
@ridhiwanmfanga8544
2 жыл бұрын
Acheni,UJINGA HII SIO DAWA YA MITUME ,MUNAMSAIDIA AL MASIHI DAJAL KUUGAWA UMMA
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
SOMA WEWE
@akthammuhammad7844
2 жыл бұрын
Muratukanana nyie kwa nyie sasa na badooooo.
@abuuaisha3582
2 жыл бұрын
Elimu c kusoma miaka mingi acheni vichwa maji
@muhammadkarama9996
2 жыл бұрын
Kaka Dilele hapendi kupiga picha, nasaha yangu kwako usiweke picha yake ukimfanyia rudud
@canoksancomprehensivelearn7182
2 жыл бұрын
Tatizo sio picha lakini matusi ni mabaya zaidi kwa hiyo picha sio mada, bali kashfa ni mbaya kuliko na kuleta fitna ni mbaya kuliko maana anagawa watu kwa maneno yao ya kujiita wao kuwa masalafiy na wakat ni watukanaji
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Hii picha waliipata wapi kama hajajipiga. 😢
@muhammadkarama9996
Жыл бұрын
@@canoksancomprehensivelearn7182 hyo picha ni mada kubwa zaidi kwake yeye anaefwata upande wa kuharamisha picha
@muhammadkarama9996
Жыл бұрын
@@abbaspaziaog2188 ni baadhi ya wapiga picha waliopiga bila ya yeye kujua sababu haridhiii kabisa kupigwa picha na inawekwa bila ya ridhaa yake
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
ASSALAAM ALYKUUM WARAHMATULLAAH WABARAKAATUH. NYIE KINA SHEIKH BAHERO UKWELI NI KUA NYINYI NI MIONGONI MWA WATU AMBAO WAZI WAZI MNAONEKANA KUKHALIFU MIENENDO YA MTUME (SWALLALLAAHU ALEYH WASALLAAM) KAMA HAPO.. BI IDHNILLAAH ;ANGALIA MTUME(SWALLALLAAHU ALEYH WASALLAAM) AMEHARAMISHA MAMBO YA MAPICHA NA MAVIDEO ILLA KWA DHARURA. NA QAULI ZA MTUME(SWALLALLAAHU ALEYH WASALLAAM) ZIPO WAZI NA HADITHI SAHIHI KABISA (NA ALLAAH (SUBHAANALLAAH WATA'AALA) AMEWALAANI WATU WA AINA HIZO WATU WA MAPICHA) NA IKIWA MTASEMA "sisi hatukufahamu hizo dalili" SISI TUNAWAAMBIA NYINYI KUA "SISI TUMECHUKUA UELEWA WA HADITHI ZILE KUTOKA KWA WANAZUONI WA SUNNAH SHABBAAB WALIOOTA MVI KATIKA SUNNA NA MANHAJ YA SAWA!" haa NYIE MMECHUKUA WAPI FATWA ZENU ZA KUJUZISHA MAVIDEO?? Uhakika sijui ni kua hamjui tuu au nd mnahofia hao wanaokuskilizenii. MAPICHA NI HARAMU, MBONA NYINYI MNAFANYA MAMBO YA LAANA MISIKITINI? YANI NYINYI MULAUMU WATU NA UKIZINGATIA KWANZA IZO LAWAM ZENYEW KWA UONGO TU NA BAATWIL, HALAFU NYINYI WENYEWE AIBU ZENU KAMA HIZO TENA MAASWI MAKUBWA, WALA HABBARI HAMNA? MTUME(SWALLALLAAHU ALEYH WASALLAAM) KASEMA PICHA HARAM NYINYI MWACHUKUA MAVIDEO KABBISA HAA UOVU ULIOJE HUU??.. Na NKUULIZE TU WEWE NA WANAFUNZI WAKO KUA.. JE,JAMBO LIKISHAINGIA LAANA IKHTILAFU INAZINGATIWA? mana katika nyie kazi yenu ni kuchukua hoja kwa ikhtilafu tuuu.. kama Alivyonukuu na kusema sheikh Abdallaah humeid(Allaah amhifadhi mwalimu wetu) juzi kwenye mhadhara, kua "wapo katika watu hoja zao ni khilaf khilaf." KIUFUPI NI KUA.. "HAQQI IPO WAZI KAMA JUA ILLA BAHATI MBAYA VIPOFU TU NDIO AMBAO HAWAWEZI KULIONA JUA"(allaah hapendi kutuweka katika wakati mgumu eti ata haqqi tusiitambue hh hakuna io!, kwasababu asema ".... ILLI WATU WASIJEKUA NA HOJA (SIKU HIO QIAMA) " kwaiyo ni kua vyovyote itakavyokua haqqi itajulikana tu wataoikubali wataikubali na watakaokataa pia wataelewa palee..! kuanzia katika sakratul maut! Allaah tuongoze sote ummat Muhammad katika watu wa haqqi na waliombali nayo waikaribie haqqi nawaikubali na utufanyie wepesi hii safari(Amiin) =>Allaah atuongoze na pia walimu wetu na awazidishie wote ikhlaasw katika qauli zao na mioyo yao na a'maali zao (Amiin) "watu wasunna nawapenda kwa ajili ya Allaah popote mlipo" Thabbatakumullaah 'alal haqqi. (Amiin).
@ibrahim7211
2 жыл бұрын
Asalamu aleikum sheikh lakini mbona hamna hekma wallahi Sasa wewe unatka kumrekebisha bahero aaa Allah akurehemu
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@ibrahim7211 kwakua bahero hakosei?? yeye ni naani?? ma'swuum??
@ibrahim7211
2 жыл бұрын
Wallahi shekhe sikulaumu ujahil unakusumbua na alivyosema Allah واذا خطبهم الجهلون قلو سلام ndugu yangu abuu Suleiman Allah akurehemu na nigetaka kukuuliza nani ama mtume mgani alisema ukitaka kumrekebisha mtu ni kwa public
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@ibrahim7211 unaapa,.. sasa ujahil unanisumbua mimii au wewe?? nkuulize swali..?? "'kwani wapo sawa watu wanofuata sunnah na watu wanovumbua mapya katika dini??'" wapo sawa watu wa aina hizi mbili??..
@ibrahim7211
2 жыл бұрын
@@Heiswatching. ان هم الا كلا ءنعام بل هم اضل سبيل
Пікірлер: 63