Yaani ukishamuona huyu shog mtangazaji ujue hamna la mbolea
@abelkisanga9914
24 күн бұрын
Huyu jamaa huwa anaongea bila kutafakari. Yani anasema Simba haijafanya chochote kwa kipindi cha miaka mitatu? Anasahau kuwa Simba imefika robo fainali kila meaka katika hiyo miaka mitatu
@NassorAlly-sx1vw
25 күн бұрын
Wewe unajua kuchagua hao wachezaji au unaongea tu kwa sababu mdomo ni wa kwako
@Aman-vx6xb
24 күн бұрын
Yanga inakurupuka wakifeli mtagombana had muumwe mapafu
Пікірлер: 5