Mbosso uxixikilize manane ya watu usitoke hap maan saiv anae kushauri utoke bs ukitoka tu wao wao nd wanakuja kukucheka na kukudharau sn m2 wang usitoke
@DaxixSeen
9 сағат бұрын
Naipenda maongezi ya mbosso
@nururaymond5
20 сағат бұрын
Mabosso anaadabu kweli nampenda mnyenyekevu...,maridhia sana
@rajabdibwa6415
5 сағат бұрын
Hao hao wanaokuambia utoke watakuja kukucheka think before you leap!😢
@RadjuNadhiru
20 сағат бұрын
King 👑 Khan🔥
@meryamreally2768
21 сағат бұрын
Wow Nice mbosso ❤️❤️❤️👏👏
@rhymeyrhymes
21 сағат бұрын
Tusupport wimbo wangu #Sinyora nawapenda sana❤
@aishambagi7371
21 сағат бұрын
Pole sana kaka utumwa
@Shufs-Da-Lion666
17 сағат бұрын
That's your Dream Indirect Your boss platinums must approve it Nigah Maisha hayataki uoga bro.
@aminamzuzuri5621
39 минут бұрын
Usitoke mboss baki wasafi plz
@BienfaitKalonda
16 сағат бұрын
Una hekima sana bro, kwel Diamond amezungukwa na watu wengi, wengine wana mjaza maneno naku leta bifu lisinge kuwepo.
@Oxphinoofficial_988k
19 сағат бұрын
Mbosso unajuwa kila kitu ila tafuta ela ufanze kazi yako mana wasafi munapangiwa sana
@aipymusic6927
12 сағат бұрын
Namimi munisayidiye Ku angalia vidéos zetu Ku You Tub jina ni Aipy music 🎉🎉🎉🎉
@Mwamba-hc1jy
20 сағат бұрын
Sikushauri utoke wcb!!!utapotea vibayaaaa😮 chek rayvany saiz hakuna mtu anamkumbuka
@jumaissa9344
15 сағат бұрын
Check harmonize
@rehemashikeli961
12 сағат бұрын
@@jumaissa9344😂😂😂😂hapo ndipo
@twiseghekisilu8845
20 сағат бұрын
Maisha ni mapambano mbosso usiogope!!Ila wewe utaambiwa ulipe milioni elfu moja😂
@vailethmsogoth8235
12 сағат бұрын
😅😅😅😅😅
@FatumaJumanne-p4d
8 сағат бұрын
Ndio panapoendea maana walkuwa wanamuona harmo hana shkran
Waangalie wenzio walivo na ww ulivo rizki ipo hata hapo ulipo
@williamdungumaro6668
10 сағат бұрын
Yupo sahihi jamaa
@MohamedHassan-k6m6g
3 сағат бұрын
kale kakipande sisi waskilizaji huwa tunakaunganisha yani ikiisha ile tunaunganisha na aka kakipande yaani hamjatukomoa kukatoa tunakatumia kama kifungashio😅😅😅
@OmmyDseven
6 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂WABONGO WAMESHA ZOOM TENA CM HUKU MBOSSO NJOO UWONE😂😂😂😂😂😂😂
@LitoDossani
8 сағат бұрын
Wasanii wakubwa lkn bado mnavaa nembo zawatu
@mudywaya328
10 сағат бұрын
sisi mashabiki tunaitaji mboso awenaofisiyake ila awechiniya wcb
Huu ukweli wako. Na woga wa bifu unatufania tukupende mushedede
@MudrickMzazi
12 сағат бұрын
Oya mzee mbna cm ina vitoti mzee wangu😂hapo ndo wasanii uwa wananishangaza asa umenunua cheni ya mamilioni kibao ila simu ina vidoti kibao😂😂 duh.dunia INAMOTO SANAAA🔥🔥🔥🔥😭😭😭
@JAMBOBoy-v3k
10 сағат бұрын
Halooo
@AmiryShayo
13 сағат бұрын
Mbona cm yake hina wino au mjaona 😂😂😂mboss
@ziggertv3185
6 сағат бұрын
Ni sawa2 maana pesa inamambo sana hiwez fanya kila ki2 kwa haraka
Пікірлер: 43