Katika siku ambayo baba levo kaongea pointi ni leo nimeipenda katanguliza ubinadamu nasisi wananch tunakemea utekaji nauuaji tunataka viongozi wakemee
@yusuphibrahim-yq9mv
Күн бұрын
Acha ufara sisi wenyewe tuna jiweza msaada wetu ni allahu pekee kwau moja wetu watanzania
@justinswati8225
18 сағат бұрын
Baba levo safi sana umeongea sawaa
@RubenyMfumbilwa
Күн бұрын
Levo yuko smart sana
@abednego3876
Күн бұрын
Utapunguzwa kwenye uchawa wa kizimkazi muda sio mrefu.
@wekezauchumi7440
Күн бұрын
Huyo amekatzwa kwenda marekan sababu ya makosa so anajukosha ili apate visa nothing new .
@witnesskagirigiri3763
Күн бұрын
Baba levo anaakili kuliko oscar
@GodloveLauwo
Күн бұрын
Kwa Nini ujiweke nyuma za hizo nchi? Si usimame peke Yako.
@DavidKagulu
Күн бұрын
Baba levo ana akili sana,sema kajitoa ufahamu kwa sababu ya diamond liccm
@aediayumgo8546
17 сағат бұрын
We kweli kenge tukiambiwa tufilana haya kwa sababu tuna wahitaji kama ulitataka kumkosoa Rais usijiume ume ongea kama mwanaume 😅😅
@YacintaJames
Күн бұрын
Leo ndio umeongea la maana
@wekezauchumi7440
Күн бұрын
Unatafuta visa kwa nguvu baba
@ALLY-w6d
Күн бұрын
Wewe ndomsema kweli
@jackhans7708
Күн бұрын
We babà levo msenge nini?hv wewe ni nani amewakemea Israel,marekani na ulaya nzima kwa mauaji wanayofanya ,ninyi watu 10 wanafariki mnataka mkalambe miguu wazungu,huo ni ushamba usio na kikomo😠
@Theman-dn8vo
Күн бұрын
Punguza hasira www😂😂😂
@pascofp145
Күн бұрын
Juzi tu tramp katoka kukoswa kuwawa mara ya pili mbona sisi hatuja wangilia kwaiyo kuna haja gani hii ichi kuwa na raisi kila mtu aongoze ichi yake kwa katiba yake ndio maana tunashindwa hata kukemea ushoga kisa kuogopa kunawatu tuta wakwaza
@Williamstozzo
Күн бұрын
Ila majibu yamepatikana na mhalifu amekamatwa
@Williamstozzo
Күн бұрын
Sisi wahalifu huwa hawapatikani na hawajulikani
@AdamMbwana-p6n
Күн бұрын
Wacha kuongey ujinga wale mtu anakamatwa apo apo km wakuuliwa anauliwa sasa hapa nani amekamatwa
@exaverysimon1064
Күн бұрын
@AdamMbwana-p6n ACHA ZAKO OSAMA ALIPO FAYA MAUAJI UNAJUA ILI HUKUA MIAKA MINGAP MPAKA KUMKAMATA MBONA HATA WAO WALISOTA
Пікірлер: 21