Dingi mambo n mengi, Mda ni mchache, Endelea kupumzka Mzee, Nisikuchoshe. R. I. P Dad Dr JPM 💔💔😭😭🙌🙌
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw huyu jr
@ibrahimjoseph2789
2 жыл бұрын
Ney kama umemkumbuka MAGUFULI kweli kimewaka, MAGUFULI ilikuwa ni zawadi tu R.I.P
@donalfa1850
2 жыл бұрын
This song needs part Two💥 Bado una mengi sana yakusema kuhus Dingi
@pmall8867
2 жыл бұрын
Saaana
@jayelias1654
2 жыл бұрын
Kbsaa
@nizaralirashid9581
2 жыл бұрын
U r on the point👏🙏
@janethndeule853
2 жыл бұрын
Ni kweli
@mathiaslyamunda2526
2 жыл бұрын
Kabisa hajamaliza bado
@beatriceminja2148
2 жыл бұрын
Mwanaume aliyebaki Ni wewe!! Uko tayari kufa kwa ajil ya wengi!! 💚💚💚
@kambiyusufu7709
2 жыл бұрын
Ah hakuna daimond Wala alikiba Wala Cha konde huyu jamaa hanyenyekei Kama hawa wasani wengine wanatamani walambe ata unyayo wasamia nimakungulu tu hakiamungu NEY WEWE NI 🔥🔥🔥🔥🔥🙏
@jordanjob5958
Жыл бұрын
Noma sana hata mimi nime kumbuka baba 😥😥
@magdalenapeter6106
2 жыл бұрын
Dah wwni msanii mzee Baba achana na wengine waoga maana unasema kwel tupu
@wilfredrogonga1701
2 жыл бұрын
Raisi wa kitaa umerudi kuwapa makavu tena wasiponyooka watajipinda kabisaa @mr Nay wa mitego the true boy 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💜💜💜💪💪💪
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw duuh
@mashakakasangilo9497
2 жыл бұрын
Apew respect
@aishaligi5264
2 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zako kaka zina ujumbe mzito na wa kweli kabisa,r.i.p magufuli
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw ney wa mitego
@iamjoseph795
2 жыл бұрын
Aise toka Kenya big love Nay
@castobenjamin4074
2 жыл бұрын
Katika Wasanii sio wanafiki na wenye Confidence Tanzania ni Ney wa Mitego✊🇹🇿, we really appreciate you!!!!
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw sasa huyu
@uwezontalengwa1827
2 жыл бұрын
Kabsaaa
@mbwanakhamis9634
2 жыл бұрын
Jamaa yuko really kbsa hna unafiki...
@gine9011
2 жыл бұрын
Kweli
@theresiajustine8702
2 жыл бұрын
Exactly
@zenafaustine9872
2 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana kama unakubali tujuane apa🙏
@Directortomwillz
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/q2-vuWhuiaSfmZw
@davismasase4662
2 жыл бұрын
Iko ojii saana Nakubalii 💯❤️ Mitano teena👍🥂
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
👍
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw dogo
@bunzalisisa6929
2 жыл бұрын
Sana tu
@creativeboy9727
2 жыл бұрын
Yan tanzania wasanii wanao fanya vizuri. ni watatu nay wa mitego,nacha,pamoja nakaka yangu roma respect san kwao
@dedancaleb153
2 жыл бұрын
Yaani uzuri wa muziki mzuri unajiuza wenyewe bila promotion Wala nini, this is the real meaning kwamba watanzania wamechoka nyimbo za kipuuzi kusifu ngono na pombe..... Ney my brother keep it lit 🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@danielmarwa3039
2 жыл бұрын
Kwel broo
@daudmangombe6735
2 жыл бұрын
Uhakika broo
@manenocharles3772
2 жыл бұрын
Yaani unagusa maisha yamtanzania
@emmydioniz3623
2 жыл бұрын
True boi
@mwemambuta7749
Жыл бұрын
I am from Kenya but every time nay releases a new song I have to get to his KZitem channel and listen to it...this guy is a real activist... I wish angekuwa mzaliwa wa Kenya ningemtafuta adi nimuone nmpe zawadi kwa kazi nzuri ya kutetea wanyonge
@Kuchimusic
2 жыл бұрын
"Nime sacrifice maisha yangu kwa ajiri yenu najua nikifa mtanikumbuka kwa mema yangu na si kwa mabaya 😭" Tunakukumbuka Baba R. I. P MAGUFURI machinga tunakulilia
@DAVID-wp4vc
2 жыл бұрын
Nimesoma navkuskiliza hii nyimbo inaliza walaivinauma sana sana dash kwel magu nibmtu
@matenestz9982
2 жыл бұрын
Duh hatar
@rizzoneomary8826
Жыл бұрын
Na song
@ZeinabAbdi-jw7jk
9 ай бұрын
God bless you
@SWAHILINATION
2 жыл бұрын
Aiseeee! Freedom of speech ni haki ya kila mmoja. Salute kwa raisi wa kitaa kwakulifanyia kazi hilo. Your voice will not be ignored.
@xhn_jng6122
2 жыл бұрын
Brother Mika you're here kitaa Cha home 🙌🏽
@mtetezimwafrika8158
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/kZiKt4OlaqeSe6w
@Dee_bugat03
2 жыл бұрын
Acha inyeshe tuone panapovuja wape ukweli wao ✍️✊🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@danielmakala90
2 жыл бұрын
Akili kubwa sanaa Mchizii wangu na kukubalii pa1 sana ✊
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw sasa
@etemesiedward1508
2 жыл бұрын
Miss you my president you fought for not only Tanzania but also Africa as the whole you deserved to be the president of Africa continent we compliment your work and yr spirit the only way I will recall you is naming you
@mkatavitv1014
2 жыл бұрын
Daaa!!!we jamaa kichwa sana
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw ha pa ha pa
@salumlibaba9500
2 жыл бұрын
Noma
@peacesmart534
2 жыл бұрын
Hehehehehe Neyyyyyyu
@issazayumba5810
2 жыл бұрын
👏👏
@issazayumba5810
2 жыл бұрын
💯:
@khamisabeid3365
2 жыл бұрын
Huyu ndio msanii bora tanzania 🇹🇿 ♥ ❤ 😍 ✨
@kodackdeblack7982
2 жыл бұрын
😂😂😂😂sio wa magodoro tumeloweka maji 😂😂😂
@jameswangwe7418
2 жыл бұрын
Tunaitaji watu kama hawa tz
@hadsonkavishe980
2 жыл бұрын
Na kukubali sanaaa ww ndiyo msaani kio Cha jamii uki wa mwana HPhp lazima utete Jami paza sauti Viva ney Viva mboye sio gaidi
@jalimashauli6974
2 жыл бұрын
Safi sana ney unamsimamo na wewe sio kasuku, wasanii na waandishi wengi Tanzania nimakasuku isipokua rostam, na ney wa mitego wasanii wenye nguvu ya ushawishi we have to change, congraratulation to you bro, keep it up.
Kile kiwanja cha ndege sijui ungejenga tu cha mpira..hakuna ndege inayotua labda kasuku na njiwa💯🙌🙌
@focuseric4109
2 жыл бұрын
nimeangusha machozi!mama leo amemteua kiongozi akiwa ulaya !!MY GOD!!!eeeh mungu mrehem baba yetu mäguful nindoto kuanzisha miradi mipya ata iliopo inàsua sua.
@victorkimutai8048
2 жыл бұрын
Hii ndio maana halisi ya msanii kioja jamii, mungu akuongoze nay wa mitego
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKzIhapa je
@uwezontalengwa1827
2 жыл бұрын
Sure
@petromtakati2975
2 жыл бұрын
Even opposition parties appreciate magufuli legacy.... almighty God bless you wherever you are. ... jpm rest in paradise
@jofreysanga175
2 жыл бұрын
🇰🇪🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨🇨
@fathasalumu7241
2 жыл бұрын
Ney Ney Ney nakuita mala 3 unatuliza wenzio, nakuombea maisha malefu Allah akunusulishe na mitihan ya dunian
@amryjuniorjr.9180
2 жыл бұрын
🤴 ney true boy....Umetisha mwanangu...naombeni like 👍wadau.
@kendricgeorge603
2 жыл бұрын
i really appreciate this song, haya ni maono mungu kaweka kinywani mwako, unajitahidi kusema ya wengi yalio mioyoni mwao lakini kwa bahati mbaya shetani anawapepeta wakubwa zetu kama ngano. ubarikiwe sana EMMANUEL ELIBARIKI
@juntwagwamaka1728
2 жыл бұрын
@Mr Nay unajua tunataka ngoma kama hiz acha na roma 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
@samwellupimo1125
2 жыл бұрын
Kauli ya MAGUFULI "Ninajua kwa sasa hamtonielewa mpaka nitakapoondoka na kawaida ya watanzania wanamkumbuka mtu akishaondoka" "Mimi ni mtumishi wenu......Nime sacrifice maisha yangu kwa ajiri ya watanzania, najua mtanikumbuka si kwa mabaya bali kwa mazuri"
@njoroboihustla125
2 жыл бұрын
Yeaa I know😭😭😭😭😭🙏
@joycesengo3976
2 жыл бұрын
Alitujua vyema watu wake na tabia zetu
@barakaelkaaya40
2 жыл бұрын
Hi yo kauli aliiongea kwa uchungu sana Rohoni mwake, ilionekana ya kirahisi sana, ila kwa sasa ndo inadhihirisha
@laurentcharles6041
2 жыл бұрын
Point hiyo 👆
@emmanuelmauki2938
2 жыл бұрын
samwel lupimo Sijui Kama Tutakuja Kupata Raisi Kama Magufuli Ila Namuona Majaliwa Khasim Majali Kama Ikiwania Na Akapata Nafasi Ya Kuwa Raisi Wa Jamuhuri 🇹🇿 Atakuwa Kama Hayati John Joseph Magufuli Namuamini Hundrea Percent
@rogersfredrick9715
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nakukubali miaka buku jero upo juu kaka 💪 bless 🙏🙏 Ney mtetezi wa wanyonge
@issaomari5297
2 жыл бұрын
Chuma R.I.P...Mitego hawakukuelewa mwanzo ulipokosoa kila au kusema lolote kwa JPM alipoongea nae kwa haya yaliyopo ndo wameelewa ila mambo ni mengi mda ni mchache We need part2
@dr.phonefix5216
2 жыл бұрын
Endelea kupumzika best president and son of afrika..mob love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@TALLUBOY
2 жыл бұрын
Mzee saiz unajua kinoma #AVATASTAR255 🎼👈👈
@alexjackson6608
2 жыл бұрын
Madaraka Ni Kama mchanga kadri unavyozid kuikumbatia inakuponyoka Taratbu...Bigap Sana papa Nay Rais was kitaa!!!
@smartchannel8141
2 жыл бұрын
Hapa Leo umenena kabisa bro Mungu Akulinde milele 🙏🙏🙏🙏
@fredrickmatiku7783
2 жыл бұрын
Nay wa mitego avunja rekodi kuwa mtanzania wa kwanza mwenye akili nyingi sana na msema ukweli bila uwoga democracy
@isayakabina2209
8 ай бұрын
Hongera sana ney Ngoma zako hujawai kosea hata siku moja hongera mzee wa KUPIGA KWENYE MISHONO
@stephanochaula4356
2 жыл бұрын
#MrNey I respect you , you're the one Best artist in Tanzania , Hundred percent unatutetea Sana (......) ndugu jamaa na Marafiki kwenye nchi kama hizi zinazoendeshwa ki_ (.....) unapunguza kasi ya (.....)tunayofanyiwa katika nchi hii we need Artist like you Thank you and God bless you.
@planetchicofficial
2 жыл бұрын
Kiukweli Mr President unajua sana naiman nawewe ipo siku tutafanya kitu kila kitu kina mda mungu atupe maisha marefu rest in peace my dady JPM
@jacksonwillson8647
2 жыл бұрын
Nakubali Kaka nay mungu akutangulie kwenye kazii yako
@salehemselem5840
2 жыл бұрын
We hi to
@congofizi25K
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/0ZuF231ujaR-ZXY
@danielphilipo9088
2 жыл бұрын
Nay wa mitego umeimba ukweli nakupongeza sana
@sophiaridhiwani3561
2 жыл бұрын
8642
@tumainidorcas9238
2 жыл бұрын
True boy never disappoints his called the true boy for a reason 🔥🔥🔥🔥🔥
@jumanasoro404
2 жыл бұрын
Hawa ndio wasanii tunataka,ujumbe mfupi unaeleweka,wenye kulenga jamii kwa wakati husika sio mambo ya kipumbavu ya mapenzi wakati kila mmoja anampenzi wake.
@christerbulaya1166
2 жыл бұрын
Kabisaa 👍👍
@jamalmullerjordan
2 жыл бұрын
Mzee wa kusema ukwl much love from Kenya 🇰🇪 mombasa
@alcardarnold5900
2 жыл бұрын
Daaaah mm binafisi najua kaz kubwa unayo ifanya acha wasojua atakupigania munguu pekeeee
@sirleembmbambatz5502
2 жыл бұрын
The Voice Of Pressedent Wa Kitaaaa🤝🤝🤝💥💥💥💪💪💪 Unyamaaa
@shakeuabuu8851
2 жыл бұрын
means Best Rapper in word baada ya Nas escobar ni ney
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw haaa
@mudizungu8009
2 жыл бұрын
Tutesemee Rais wetu wa kitaa salute #966 True boy one love
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw hapa tuuh
@noelkasian2247
2 жыл бұрын
Alalee mzee kinachoniumiza Alikuwa yeye ni mtetezi wa wanyonge ilà machinga sahz wanafukuzwa kama mpangaji aliyeshindwa kulipa kodii 2sad😭
@brunomapunda831
2 жыл бұрын
Nay kama nay ww ni kamanda ase, nay ww ni raisi wa kitaa nay we ni general wa kitaa🙏🙏🙏🙏R. I. P #BABA hakuna kama MAGUFULI.
@jayjayke
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/k4V31n2dn6Npgn4
@cristamelahashimu3679
2 жыл бұрын
OMG nmeliaaa.. huu wimbo umenigusa mno...we loved you so much baba MUNGU akurehemu baba. Machungu hayaishi... Bro huu wimbo ungekuwa mrefu zaidi jamani
@happykavavila8683
2 жыл бұрын
Kati ya wasaniii wanao funguka kioo na maanisha kioo Cha jamii Ney nakuelewaga Sana hafu nakupenda Sana Kaka angu Mungu akulinde wenye hila wasikufate Amina
@elkakamkali1485
2 жыл бұрын
Baba magufuri ❤️❤️ Nasi 🇧🇮 tungari tunakukumbuka Rip 😪😪😪
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Ahsnte mungu,, ahsante magufuli pia kwakutuachia lile neno mtanikumbuka na najuwa mtanikumbuka kwa mazuri nasio kwa mabaya Sasa Hu usemi lazima uwaumize vichwa badhi ya tuliokupenda natusio kupenda pia 😢R l p baba mungu aendelee kukupumzisha naamni huna makosa sabbu kwanza kifo chako kina utata so kama kweli wamekuuwa huna dhambi,, dhambi zako zote anachukuwa yule alikukatisha uhai 😭😭😭nay nawewe Asante kwa kumkumbuka baba mana ukimkumbuka wewe hata sie tunapata ukumbukumbu wa kuendelea kumkumbuka baba 😭
@baloziwawatu
2 жыл бұрын
Watazidi sana kumuelewa mzee wetu hawa mbwazzzz
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
@@baloziwawatu namimi nafurahi Asante mungu,, hyu baba alizaririshwa Sana hakuna asiyejuwa hili nimeamini ukimchafua mwenzako siku zote hata mungu atakudhariri tu,, jamni huyu baba alichafuliwa Kuna kipindi hata mitandao nilkuwa naiyona michungu alichafuliwa mpaka nikawa najisikia uchungu,, utafikili nilkuwa namjuwa magu kiundani kumbe aka namuona tu mitandaoni kama hivi ila nilkilkuwa naumia lakni Leo Kawa mzuri, yani wakti mwingne siamini ila ndio Yale tusihukumiane wakati sisi wenyewe wahukumiwa pia
@victorowino386
7 ай бұрын
am Kenyan and have mad resect for Nay, Roma, Stamina n Mwana fa...with all the commercialization of music its rare to find people who do conscious music and in spoken word form not even in my country ..shoutout king kaka n Juliani
@happyomary3812
2 жыл бұрын
Kuna NYIMBO na UJUMBE.. This is a message Kwel🙏❤.. Freedom is in you✌
@anoldicyipriani495
2 жыл бұрын
Kaka nakubali my brother 💪💪💪
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw huyu dogo je
@robertkipkoech008
2 жыл бұрын
Thanks God nimeamka salama,Leo nimejikuta tunakukumbuka baba....RIP jembe magu!
@paulmanyi
2 жыл бұрын
Utunzi/Uandishi na delivery of message at 💯%. Nay is One of the best respected lyrical master who handles and expresses public issues in a unique way and says what many want to say but dont have the courage. Big up. Africa will change through a vote and again through such music we get informed and stay entertained.
..hyu jamaa n mzalendo sio wazee wa kusapoti tuu(ubinafsi tu umewajaa masapoters)
@ROLEX6_NOTYMUSIC
2 жыл бұрын
All the way from Kenya 🇰🇪 nakubali kazi....inanikumbusha MAGUFULI🇹🇿
@jayjayke
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/k4V31n2dn6Npgn4
@finestmonday1107
2 жыл бұрын
Damn it..true boy as baba yaga, mkuu nchi ina mambo hii na kitanzi cha upuuz huu in katiba boss yeean 10 mbele tumerud 15 nyuma. God bless u broh, hah kaz hii udin ukabila ukanda unarud naona unanijengea KITUO CHA AFYA WAKATI BARABARA NI MBOVU, ALIYEKUA ANAZIJENGA HIZI BARABARA KILA CKU HAWAKUJUA ANAMANISHA NN, WACHA TUONE MZE
Hakika naanza kuona Nguvu ya Hizi nyimbo za Harakati.. Raia wanaelewa sasa.. #wimbo umekuwa namba moja trending for Music.. bless up Mr Nay.. keep representing
@aliyageorge6794
2 жыл бұрын
Ney he is a brainer, akili anazo nyingi! Sio wale wengine.
@angelosmart6988
2 жыл бұрын
Ney the best
@IbrahimMohamed-yy2il
2 жыл бұрын
Hiyo ndo kazi halisi ya hip-hop kuongea uhalisia hata Kama system haipo upande wako. Lazma ihit kwa kuwa watu ndo wanahitaji kusikia
@richardamen7358
2 жыл бұрын
Mr ney hapo umenena maan hatuerewi mwerekeo wa taifa letukwa7bu ya wanyonge hawana mtetezi kabsah piah naomb uongeze nyimbo nyingn kama hii ya kiharakati respect sanah
@williamgeorge150
2 жыл бұрын
Nchi hii inamsanii mmoja tu,Mr Ney🤝👍🤝💪
@annamahona5812
2 жыл бұрын
Umeona ,,kwer kabisa
@masteramadhan3486
2 жыл бұрын
Kabix
@natureshirima3937
2 жыл бұрын
Hapana wasanii tz wapo wengi ila wanaogopaa serekale na wanaona vile tunapelekwa makosaa
@williamgeorge150
2 жыл бұрын
@@natureshirima3937 hiyo ndio maana yangu,ndio maana nimetumia neno moja tu,msanii anaeongelea uhalisia Ni mmoja tu Mr Ney
@Delomar3
2 жыл бұрын
Baba Maguguli. Lala salama, huyu mama samia dah
@ngache46
2 жыл бұрын
Tulieni Wana si mlipiga kura kutukomoa hayaaa bana mbna mama 5 tena
@jhashick8983
2 жыл бұрын
Eeeh kimeumana 😳my ney 🙌
@pmall8867
2 жыл бұрын
Ngoma kali....BABA... Ney The Best✔️✔️✔️🇹🇿✔️🇹🇿
@Directortomwillz
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/q2-vuWhuiaSfmZw
@msomibora6399
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qHuhunevqml1ZKw huyu apa
@wilsonsamamba8683
2 жыл бұрын
Nice bro nay
@linkaeducation7409
2 жыл бұрын
Ikifika wakati wa kampeni wasanii wote wataandika nyimbo za kusifia chama fulan ili waitwe kwenye show ila wakati kuna tatizo wasanii wanakaa kimya wanaendelea kutuimbia amapiano na mapenz mapenz ambayo wao wenyewe yanawashindà. Thanks Mr True boy msanii pekee ambaye sio chawa wa viongozi
@castuscheguevara540
6 ай бұрын
Dah nashangaa sana watanzania maneno tu bt vitendo zero tusimame tuitetee nchi yetu kama mwenzetu nay sio polojo
@lucymakyao6950
2 жыл бұрын
The song is so touching 🥺 continue rest in Paradise my true Hero JPM 🕊🙏🏾
@edwinkishando1762
2 жыл бұрын
Of course nime kupata
@eliasmlundwa3880
2 жыл бұрын
JMP on his Legacy "One day you will remember me… I know one day you will remember me, not for bad things but for the good deeds... because I have sacrificed my life for the poor in Tanzania,"
@jumaamwangoma8791
2 жыл бұрын
From Kenya.... ila hii imenigusa sana...poleni sana ndugu wa TZ.... RIP JPM
@calvinleonard7368
2 жыл бұрын
HEART TOUCHING SONG 🥺😢😢.. Ney ww sio mnafki kama akina ROma.. Big Up Bro kaz nzuri
@francesmgungile
2 жыл бұрын
Calvin leonard huyo unae mwita mnafiki unatambua kua ndio mwanzilishi wa mziki wa wanaharakati?? acha umbea na unafiki we we mwenyewe ulikua shabiki no 1 wa Roma Leo unamwita mnafiki nay hicho kijiti alicho kuachia mwamba kitumie ipasavyo mpaka selikali itakavyo jilekebisaha
@ahadibaruanibusanguofficie7599
2 жыл бұрын
True boy never disappoints me! Beautiful music.
@sashaqueentz3753
2 жыл бұрын
Kweli alisema baba mtanielewa siku moja sas tumeanza kumuelewa tunaomba mungu ibariki Tanzania yetu itawale aman upendo na wipes wa kiuchum kaz na mengi mazur tunawamiss wote mlio tangulia mbele za haki mungu hawarehem
@saidgawawa8519
2 жыл бұрын
The gud ting about Ney.. His music always speaks the truth!! And also reflects everything which we humans go through....!! Ney don't worry Baba amekusikia...... Already! We stil miss magufuli... And we wil continue missing him forever! 😥😥. #he left a good legacy behind us. #forever wil not forget him #truly Aman of the pple. #1MaN Army...
@pastormgeni5714
2 жыл бұрын
We need this kind of courage. Ni ukweli hakika ktk wimbo huu. Yale mazuri aliyoyaanzisha baba atakaye yadharau laana itamtafuta aliko. Mwenyezi Mungu ampumzishe huko aliko na atufungue macho.
@goldenfuturemovie39
2 жыл бұрын
Sijui umewaza nini Mr Nay ila daa!! Asante kwa ngoma!!
@paulmassawe1591
2 жыл бұрын
Dhaaa brother you made my day. Nilikuwa sikukubali ila nimekuelewa broo unabonge lakipaji ww ndio best musician in Tanzania respect broo
@IbrahimMohamed-yy2il
2 жыл бұрын
Real living Legend and King of Tanzania! Respect 🇹🇿🙏💯
@princejoseph5818
2 жыл бұрын
Kweli kwani Bashiru hamdiss mama!! Nyimbo hii ndio imezuiliwa kupigwa popote sasa mimi nasikiliza ndani
@GabroTz
2 жыл бұрын
Free Nation 🔥🔥🔥 Mwanaharakati tayari kwa lolote AMINIA BRO
@alfasuleiman6705
2 жыл бұрын
Ney kama ney mtetez wawanyonge rais wakitaaaaaaaa💪💪💪💪💪💪
@nickmurithigithu9963
2 жыл бұрын
Myimbo nzuri Tena tamu Sanaa tunakubaliana aosio 🔥🔥🔥❤️💯
@nyantunguonline814
2 жыл бұрын
Dar ! We jembe kwer kwer mm binafsi nnakuelewa Sana 💪
@joshtravo7451
2 жыл бұрын
Nay wamitego msanii mkombozi wa Tz mistari imeenda shule🙌💥❤️
@yusuphmussa7460
2 жыл бұрын
Always speaks the reality, real regend of the music I real appreciate Mr Ney the king of Tanzanian music.
@danielkayun7038
2 жыл бұрын
Siwez ilastofaham kwanin kila NENO turuu nguvu mojA 💪💪unaitetea Jami
@ndimiamon7425
2 жыл бұрын
Baba baba baba❤ Ulale ulale ulale❤🙏
@enickosanga4921
2 жыл бұрын
Bonge la nyimbo Iseee
@LaizareMamamosses
6 ай бұрын
Acha inyeshe tuone panapo vuja bless brz ny wamitego Allah akulinde kwakweli
@anthonysemiono3579
2 жыл бұрын
Noma sana, kama umeikubali ngoma na umeiludia zaidi ya malambili kuiangali mwaga like zako za kumwaga.
@geoffreykayombo6524
2 жыл бұрын
Nay ningekuwa na pesa hakika unastahili kutunzwa Big up sana My brother mwenyez mungu akusimamie vyema uzid kuwasemea wanyonge
@hapyhongol8044
2 жыл бұрын
Aminaaa
@dicksonlucas3512
2 жыл бұрын
Kwa kweli ww ndio msanii ulibaki nchi hii unatutea wanyonge wengine wanapuyanga na Hawa wanasiasa wanafiki wa nchi hii kiukweli binge la nyimbo kaka mungu akulinde kaka najua utampitia mengi kupitia nyimbo hii na vile wanapendaga kusifiwa tu na wasanii wao wanaohamasisha mapenzi na kutaharibia kizazi chetu alafu nyimbo hii utasikia wanaufungia shenzi type zao
@bevenmolokwane_tz4643
2 жыл бұрын
2 minutes and 48 secconds of massive explossion💥💥💥💥 #freeNation
@harunayussuf6866
2 жыл бұрын
Not easy to forget you father, for all you have done to us R.I.P KING.👑👑
@shaibuhamisi1672
2 жыл бұрын
Lo nay is big then mor kweli umewezeje kututambua sisi bila kings mr Magufuli tutateseka sana mama hana ata habari madai kwamba ata viatu kwake sio Saiz maana yake mongozo.kwake kuna ugum
@prospermbatha342
2 жыл бұрын
Talented
@georgetungaraza8767
2 жыл бұрын
Ney unajua sana..juzi juzi mama kaja moshi si kuna mbunge kalopoka eti wananchi tumeyafurahia makato ..aisee nimemmind sana ..sema nini ni swala la mda tuh
@7evenlyrics154
2 жыл бұрын
Real meaning of being a musician 💕 from 254 , sasa tz hawacheza hii wimbo kwa vyombo vyao aty wanaogopa 😔
@iddimoshi8459
2 жыл бұрын
Keep on resting in peace baba Not a single day goes without remembering you. Thanks Nay for this song.
@bahatimiamor_officiel9258
2 жыл бұрын
AMEN
@maimunampole9894
2 жыл бұрын
👇 *NJOO HUKU KWAKUBONYEZA* kzitem.info/news/bejne/u61uu31siZZ6hGk
@salikipowani8539
Жыл бұрын
Ukweli Bado unabaki kitaaani 🙏 hata wakukamate ila ukweli ndo huo✔️
Пікірлер: 3,2 М.