Leo roho mtakatifu amenielekeza hapa. Naona utukufu wa Yesu. Ndugu Benard kutoka Magharibi mwa Kenya.
@mgopirobert9921
3 жыл бұрын
Barikiwa
@naomichamhene7805
3 жыл бұрын
Nimepata uponyaji kupitia hii nyimbo. Mungu awabariki sana.. Msije mkaacha kumtumikia Mungu. Ninyi ni watumishi shambani mwa Bwana Yesu I love your gospel music.
@Mt.Andreakwaya
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
@catherinemazengo7776
2 жыл бұрын
Hongereni nafurahi sana kuwaona kumtumikia mungu du Dada angu Scola Mkunda, na Hoya amen
@geoffreywambua7514
7 ай бұрын
My best song...naitwa Jeff from Kenya.. vocals kwanza soloist God bless you...na hasa mtunzi wa wimbo..ako sawa..
@Mt.Andreakwaya
7 ай бұрын
Asante Jeff Mungu akubariki sana.
@nurukabia9631
2 жыл бұрын
Am in love with this voice.....be blessed....
@ainessteu2994
Жыл бұрын
Mpo vizuri mbarikiwe
@festuschongoma4655
4 жыл бұрын
Hakika naona MUNGU akinisaidia ktk maisha yangu na familia yangu naona amani sana naona upendo sasa.Mungu awabariki sana
@georgegidion6977
4 жыл бұрын
Big up kila Wimbo naukubali Naona utukufu ktk Maisha yangu Jeshi la Bwana limesimama kunitetea
@tomsonjackson8620
4 жыл бұрын
Jaman nyimbo hii kama napaaa mbingun.du naona ushindi mm naona mafanikio.aminaaaaa mubarikiwe wapenda.oooooh
@torokaujemctv9755
3 жыл бұрын
Nikisikiza nyimbozenu huwa napata mhemko,hadi nywele husisimka duhh mungu awe nanyi katika hudumayenu
@fredymbasaga
11 ай бұрын
Navutiwa sana na wimbo huu ndio wimbo huwa naumizwa moyo sana ninapotafakari wimbo huu
@joycembunda3783
3 жыл бұрын
Nayaona maono haya, yakwamba imekwisha ..
@jonathansenkondo8093
3 жыл бұрын
Wapendwa mmeutendea haki huu wimbo, umekuwa ukinifariji na kunitia nguvu ya kuendelea mbele. Mungu azidi kuwainua katika viwango vya juu zaidi.
@Mt.Andreakwaya
3 жыл бұрын
Amen
@tomsonjackson8620
4 жыл бұрын
Jaman nikija dodoma lazima nife hapo niwaone.nahic moyo wangu umeshajifikia kwa Mungu baba.
@omegamwihambi2496
4 жыл бұрын
Naomba usife, utawaona tu hata ukiwa hai😁.
@tomsonjackson8620
4 жыл бұрын
Hahah sawa ndugu.but typing error.maana halisi ilikuwa nifike.
@nyemochalagwa73
3 жыл бұрын
Nawapenda bure mungu aendelee kuwatumia kwa viwango vya juu hakika ujumbe mzuri sana nausikiliza kika siku iitwapo leo
@omegamwihambi2496
4 жыл бұрын
Hongereni kwaya ya Andrea. Muendelee kutuwakilisha vizuri
@zilipajohn3633
4 жыл бұрын
Naona.MuNGu.anavonipigania
@petermagosho50
6 ай бұрын
My song of all time!
@jacobmaloda4175
4 жыл бұрын
Kwa uimbaji huu.mtu asipomgeukia Mungu basi jeuri.endeleeni kutumika talanta kwa kumwimbia mungu
@pieremchome5202
4 жыл бұрын
Tujitahidi wapendwa kuimba kwetu huku kuwe katika roho na kweli, ili siku ya mwisho tukuvalike macho pa Mungu
@hellenaalliy6507
6 ай бұрын
Nawaelewa Sana MUNGU awabariki sana
@neemamkumbukwa6293
4 жыл бұрын
Kutoka pande zote za dunia nayaona majeshi yako yameshuka kuniteteaaa
@ashelrichad155
Жыл бұрын
Mungu awatie nguvu katka huduma ya wimbaji wapendwa
@Mt.Andreakwaya
Жыл бұрын
Amen 🙏
@nkenemalulu1330
3 жыл бұрын
Wimbo mzuri saana. Niusikiapo nayaona maono,. Pia naiona Roho ya uponyaji katika nafsi Mungu awainue zaidi katika uimbaji.
@Mt.Andreakwaya
3 жыл бұрын
Amen
@rafaelfredy6702
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sanaa na kupokea kila ninapofwatilia nyimbo zenu MUNGU awabariki sanaa
@Mt.Andreakwaya
2 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe mwana wa Mungu. Mungu akupe hitaji lako.
@ainessteu2994
Жыл бұрын
Mbarikiwe
@mosesndahani243
4 жыл бұрын
Bwana akubariki na uwainua kiwango cha juu, kuwa baraka kwa Kanisa Taifa na Mataifa.
@georgegidion6977
4 жыл бұрын
Eeee ee Mungu Wabariki Mt. Andrew choir wakutumikie zaidi ya hapo..Mungu awabariki saana
@catherinemazengo7776
2 жыл бұрын
Naona maisha yangu yamebadilika
@MonicaHamaro
Жыл бұрын
Mungu awabariki Sana wimbo huu naupenda sana
@Mt.Andreakwaya
Жыл бұрын
Amen 🙏
@tamkohuru
3 жыл бұрын
👏🙌👏 Tunawakubali sana waimbaji wa St. Andrew Choir, Mbarikiwe kwa huduma yenu ya Uimbaji, mmefanyika baraka kwa wengi.
@Mt.Andreakwaya
3 жыл бұрын
Amen. Tunashukuru kwa jumbe hizi zinatupa nguvu ya kumtumikia Mungu kwa nguvu zaidi.
@mussalameck4912
3 жыл бұрын
ISAY 49:26. - 54:17.
@madelinazawadi120
9 күн бұрын
Hakika adui zangu wanatetemeka kwa hofu
@lukundolucas199
2 жыл бұрын
Napenda sana huu wimbo
@Mt.Andreakwaya
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@liliankitinusa9624
4 жыл бұрын
Mungu awainue kwa viwango vya just zaid...
@fredrickmtangoo5071
4 жыл бұрын
Hongereni sana.Mungu awabariki sana.
@gladychimbwi2407
3 жыл бұрын
Nawapenda na huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu
@jackyluns8224
4 жыл бұрын
Ninafuraha kubwa sanaaa ninawaangalia hapa UPENDO TV
@catherinemazengo7776
2 жыл бұрын
Naona ushindi
@princes6045
3 жыл бұрын
Stay blessed forever
@Mt.Andreakwaya
2 жыл бұрын
Amen
@fredymbasaga
11 ай бұрын
Hongera mtunzi wa wimbo huu saluti kwako
@Mt.Andreakwaya
11 ай бұрын
Asante mtumishi endelea kubarikiwa na nyimbo zetu na hivi karibuni tutatoa toleo letu jingine
@shukurundigwamunguawabarik3909
3 жыл бұрын
Nawapenda sana
@Mt.Andreakwaya
3 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
@julianamganwa9917
3 жыл бұрын
Nawapenda mnoooooooo mbarikiwe, nitapatawapi hii CD nipo msalato
@Mt.Andreakwaya
3 жыл бұрын
Wasiliana na huyu mtu 0658348344 atakupa maelekezo yote au unaweza ukafika kanisani kwetu. Karibu sana
@jemamadole1407
4 жыл бұрын
Love your ministry Msalato kwaya
@ruthmusyoki8278
4 жыл бұрын
I love this song cant stop listening it very blessing and touching . May God continue showering his blessing to you as you continue praising Him
@ainealessi9205
4 жыл бұрын
Aiseee nyie watumishi mnanibariki
@princes6045
3 жыл бұрын
Nyimbo imetulia sana Mungu awabariki
@Mt.Andreakwaya
2 жыл бұрын
Amen
@J.bleezy
Жыл бұрын
❤❤❤
@noelamnyamvumi507
4 жыл бұрын
Nzuriii sana
@issacklias2036
4 жыл бұрын
Mungu awajaze nguvu sana nyimbo zenu zinabariki zinanifariji
@emmamhalu7854
3 жыл бұрын
Mungu awabariki sana ,, awatunze muendelee kutumika shambani mwake wimbo mzuri, sauti nzuri, ujumbe wenye mguso kila kitu ni kipo poa sana 🙏🙏
@Mt.Andreakwaya
3 жыл бұрын
Amen
@BigfarryG77
4 жыл бұрын
Njema Sana! Mbarikiwe 💥💥💥
@gifty1406
Жыл бұрын
Mbalikiwe sana
@Mt.Andreakwaya
Жыл бұрын
Amen 🙏
@sarahwegga3439
4 жыл бұрын
Nimetokea kuwapenda sana
@anatolimkonongo7992
3 жыл бұрын
Wapendwa kwaya ya Mt.Andreas Kwa nyimbo zenu mmenihubiria ,Mungu awajalie afya njema,na utume mwema.katekista Anatoli Manyoni
@deboram5466
2 жыл бұрын
Like it
@Mt.Andreakwaya
2 жыл бұрын
🙏
@fridaernestmkedege900
11 ай бұрын
Wagogo wayangu ❤ 🔥
@Mt.Andreakwaya
11 ай бұрын
🙏🙏
@Mt.Andreakwaya
11 ай бұрын
Mbeka yosese.
@fridaernestmkedege900
Ай бұрын
Nitakuja kuwatembelea..nabarikiwa sana na nyimbo zenu
Пікірлер: 85