Wimbo wa kumsifu Mungu kweli kweli huku ndiko kuimba kwa Roho na kwa akili. Jitahidini jilindeni sana na midundo iliyoingia kwenye kwaya zetu za kisaabato. Dance imejipenyeza kwa kiasi kikubwa na hakuna juhudi ya kuzitoa. Ukitaka uchukiwe na wanakwaya wengi wa kisabato gusa nyimbo zao za midungo (Ni kama kumwaga pombe ya mlevi!!!)
@uzimaluvanda816
Жыл бұрын
Amina, Mungu na awabariki.
@maranathatv9872
Жыл бұрын
Ameen Mbarikiwe sana
@jackilinemmbwambo8699
Жыл бұрын
Mbarikiweee.....
@dicksonkabadumbanshatsi3314
4 жыл бұрын
MUNGU awabariki sana kwa wimbo, napenda huu uimbaji, naomna miweke ile wimbo wa "BWANA Yesu ndiye neno" Mbarikiwe
@lucykikoti9527
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@paulinekimollo6216
6 жыл бұрын
Mbarikiwe kwa kumwinua Yesu ! Ni kweli Yeye ndiye Mshindi! Mko juu!
@edwindudi4806
4 жыл бұрын
Nawapenda sana jaman, nimekumbuka mbali, enzi hizo nami ni sehemu ya waimbaji wa Ubungo Hill, wimbo mtamu Mungu awabariki sana.
@jemsichali5437
6 жыл бұрын
Safisana mbarikiwe wekeni nyimbozingine mpia
@jordanmgalu4295
6 жыл бұрын
asante kwa wimbo mzuri
@tazamambeyastation6154
6 жыл бұрын
yaani nawapenda sana jamani Mbarikiwe sana watumishi
@rozinarugumisa3772
6 жыл бұрын
Nzuri sana
@alisalambert6819
6 жыл бұрын
ROZINA RUGUMISA MAMDOGO nakuona
@bonifacebenjamin1217
4 жыл бұрын
Ubungo hill mko vizuri mno, Uimbaji wenu umeenda shule. Naamini kwaya nyingi zinajifunza kutoka kwenu. Endeleeni kunyenyekea miguuni pa Kristo ili azidi kuwainua.
@erickboniphace2467
6 жыл бұрын
Naam wenye nguvu huwa washindi .... Barikiweni
@jemsichali5437
5 жыл бұрын
Wenye nguvu huwa hawashindi wala wapiga mbioBali niwaaminifu washindao kwa neno
Пікірлер: 18