Mungu wetu mwema atulinde sote kutoka kwa majoka na watu wabaya waliotuzunguka maishani mwetu.
@angelpilla4816
Жыл бұрын
Mungu akubariki Yani nimekuelewa vizuri saana Asante sana pastor
@TofilaInyasi
3 ай бұрын
Bwana yesu Asifiwe mtumishi Mimi ni mtanzania nanimeollewa Kenya nimota nimokota pesa nyingi mno za Kenya na tz nanikapata bag hapo hapo . Nikaona nyumba ya miti.na udongo nikawaza nikasema nitaibomoa nijenge nzuri zaidi nikaondoka nikawa naelekea kwa brother kumwambia Ambaye Anaishi dar nikaamka naomba uniambie Nini mtumishi
@catherinekaniningui746
Жыл бұрын
Good morning pastor, naomba kujua kuusu ndoto ya nyoka niliota nayo. Niliona kwa hio ndoto nilikua maali kichakani na nikama nilikua nimelala,kuamka niliona nyote yenye rangi yenye si nyeupe wala nyekundu,vile niliiona ilikua inaenda zake lakini nikachukua kibasket kilikua na maji nika mumwangilia yule nyoka kisha nyoka akapinduka,mara hio nikamtupia kile kibasket akaingia ndani nami kwenda kufanya nikama nachukua hicho kibasket yule nyoka alikua ana taka kuniuma but akuniuma,naomba kujua inamaana ngani plz
@annewangari2731
Жыл бұрын
Asante Sana mchungaji , God Bless you mightly 🙏
@mamazenaadam566
2 жыл бұрын
Mchungaji nmeota nyoka kama mwekundu anamabaka meusi anameza sungura ina maana gani
@rithaonaely-mq2mw
Жыл бұрын
Mchungaji nimeota ndoto nyoka ya kijani ameningata wenye mkono was kulia
Amina mm nimeoya nyoka amemeza kitu lkn alikuwa anapigana na mwanamke alivyo niona akakimbia akamwambia nn maana yake
@emilianachars3678
7 ай бұрын
Asante mchungaji nimekuelewa vizuri ila leo tarehe 14.2 2024 saa 11 alfajiri nimeota nyoka mweusi yupo chumbani kwangu na dada wa kazi ndio kamuona kisha akaniambia nilipoingia sikumuona badala yake nikaona kuku mweusi mdogo akitoka ila alipoingia mwanangu wa kike chumbani akang'atwa na nyoka huyo kidole cha pete kulia nilipokuwa namsaidia akawa anaishiwa nguvu ghafla nikashtuka nakuanza kuomba.naomba nifafanulie mtumishi
@user-ph8qi4lc4p
10 ай бұрын
Mchungaji samahani Mimi nasumbuliwa sana na ndoto za nyoka naomba unisaidie
@erickbabu4404
3 ай бұрын
Nimeota na Pambana nae nikamuuwa nyoka Kwa kinu akafa ila aliacha sumu mkononi kwenye ndoto nikanawa na sabun Ila bado nikiwa nataka Kwenda hospital
@veronicagati1995
2 жыл бұрын
Pastor niombee sababu niliota na nyoka nimekua nauoga kwanzia hiyo siku na pia nikiota nanyoka na kua na hasira yenye sielewi na sikua nimeona huu ujumbe kuelewa maana yake🙏🙏🙏🙏🙏
@revpeternjihia
2 жыл бұрын
Mungu atakupa ushindi na uoga na hasira zitakuachilia.
@veronicagati1995
2 жыл бұрын
Amen
@user-ml9of4if2d
5 ай бұрын
Pastor na intersasors niombeeni nimeota nyoka zimejiviringa karibu nami
@NewTiffa
Жыл бұрын
Pasta naomba nisaidie..mara ya kwanza niliota nimeumwa na nyoka mkononi mimba yangu ikahalibika lakini nimeota tena nimeumwa na nyoka pale pale mkononi nisaidie jamaniii nabaraa yaniepuke mm😭
@neemamollel6057
5 ай бұрын
Jitaidi kuoga chumvi mawe na ujipake mafuta ya Oliver oil dear n.a. kusali n.a. kukataa
@user-xb3bf2gf8p
5 ай бұрын
Nimeota nyoka wawili wadogo mmoja yuko dirishani na mwingine yuko ananinginia kitandani alafu ni warefu wembamba nikastuka usingizini niliomba sana ila inanisikitisha sana mchungaji na imeninyima raha sana leo
@BirgithaYohani
5 ай бұрын
Pastor nisaidie niliota nyoka Yuko karibu na kitandan na vitu ulivyosema vimetokea naomba nisaidie
@PolyneWere
Жыл бұрын
Mtumishi ujambo Mimi nimelala muchana nikaota kuna nyoka mkubwa juu ya kichwa changu nailikua mzito sana inamaan gani pliizzz help me man of God
@lenathagervase9967
Жыл бұрын
Nyoka wananitembelea saba ndotoni ila mara nyingi ikifikia wakati wa kungatwa na okolewa na mtoto ambae simjui, ila sasa imezidi nimemezeshwa nyoka na wenzangu hapa maisha ya chuo
@CelestineDorcus
6 ай бұрын
Leo asubui nimeota nafanya mapenzi na nyoka na hio nyoka anaongea after mapenzi akaanza kunifuata huku akinimbia nipee mimba yangu, bona unatoroka na mimba yangu
@eddsonpita-oe4fh
Жыл бұрын
Yaan nikweli kabisa me niliota nyoka mara nyingi kilichonitokea baadae ni mungu anajua nimepitia machungu ambayo siwez hata kusimulia
@khadijahhellen1670
Жыл бұрын
Na kama hukujua maana zake hadi xai kama n magonjwa uko nayo kama n maisha yako ivo hayako vizur yaan najihisi nimeisha kwa hizo dalili zote niko naxo nitafanya nn
Nimeota ndoto nyoka mweupe na nyoka mweupe wamekaa juu ya meza
@lucasgasper5235
2 жыл бұрын
Nimeota nyoka kasimama mbele yangu ana rangi nyeupe na nyeusi na mwingine kajificha pembeni mweusi wakubwa sana
@jenithandyetabula3805
Жыл бұрын
Pastor tafadhari naomba kuelewa ndoto hii, nimeota nimeona nyoka amejiviringisha nilipoenda kuwaambia watu waje kumuona nikakuta Mwanaume kijana ameshamkata vipande viwili. Kipande Cha kichwa kilikuwa kinatapatapa lakini Cha chini kilikimbia.
@jamesmapundi3664
Жыл бұрын
Nimeota natembea nyoka mwenye rangi ya kahawai akapita mbele yangu .. naomba unisaidie maana yake
@lilsligmajor8812
Жыл бұрын
Mungu akubariki nilitaka number yako mtumishi
@WemaMusa-fi7sk
4 ай бұрын
my niliota na umwa na nyoka muguu wa kulia
@bonfacelubale7768
Жыл бұрын
my name is Bonface, niliota nimeumwa na nyoka mgongoni?
@revpeternjihia
Жыл бұрын
Kuna nguvu za kichawi zina shambulia maisha yako . Yani kuna watu wanakusema nyuma yako vibaya
@user-el1dx8ej1j
6 ай бұрын
Mimi nimeota mumewangu ananipa nyoka mkononi warangi ya krimu, nini maana yake mtumishi.
mimi nimeota nyoka lakin nikampiga akafa nimeamuka asbuh tumbo linaumaa
@user-yj2wm7rh6u
5 ай бұрын
Niliota ndoto msaidizi wa kazi nyumbani amevaa joka kubwa kama chatu la kijivu madoa madoa kama chui shingoni limeshuka mkono wa kulia na kishoto kama mtandio
Mchungaji natafuta hiyo ndoto ya kuúmwa na nyoka mkononi ila siioni. Nahitaji sana kuelewa maana yake
@clarasayo2433
2 жыл бұрын
Bwana asifiwe Pastor,,me niliota nyoka kubwa ya colour nyeusi na nyeupe then kwenye hio ndoto kuna MTU alikufa nnamjua ni yeye aliipiga but mamangu alipokaribia hapo ikageuza mdomo inataka kuumuma then mamangu akaambie Yule mfu nimedhani umeua pastor please nitafakarie aki please
@revpeternjihia
2 жыл бұрын
@Clara sayo kzitem.info/news/bejne/1oF906qNf3OJjKg Maana ya ndoto ya rangi nyeusi na nyeupe tazama kwa hii link .
Пікірлер: 52