Kwangu mimi nadhani Tinny White ndo msanii wa vichesho anayeza kuchukua nafasi ya Zembela aliyeamua kusoma alama za nyakati na kujiongeza kuwa mwanahabari, na ametusua kutokana talanta ya vipaji alivyojaaliwa na Mwenyezi Mungu! Hongera sana Tinny White!
@user-bc1dj4su8w
4 жыл бұрын
Tin white unajitahidi sana. Mungu akuzidishie.
@user-mm5tf7yn6p
4 жыл бұрын
Ringo na kipugw nawapendaga saaaana❤👍🇧🇮🇧🇮
@ramaccr7525
4 жыл бұрын
Kipupwe na kukubali sana mtu wangu wa ngunvu
@mariakibona172
4 жыл бұрын
Nice movie
@soma1tv750
4 жыл бұрын
Daah atar sana jamanii tine nuksi
@fabianpius1962
4 жыл бұрын
Unaoga unapaka mafuta unatandika vizur na kishuka unajifunika asubuh unakuta Mchunga😂😂ila ni kwel
Пікірлер: 119