Postor mimi ni shahidi wa yehova tunaamini yesu ni Mwana wa Mungu pia tuna tumia jina la Mungu kwa herufi kubwa asante kwa maana sote sio wakamilifu na kusikiliza nikiwa marekani asante.
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Ubarikiwe saana. Soma hapa msimamo wa kanisa la Jehova Witness www.jw.org/en/library/magazines/wp20081101/was-the-word-god/
@watwegopnina6480
3 жыл бұрын
Amina, Neema juu ya neema. Mungu tusaidie
@hajimajaliwa6452
4 жыл бұрын
Ubarikwe
@claracasto7615
2 жыл бұрын
Amen Mungu atukuzwe
@odhiaodhia9898
4 жыл бұрын
Gonga tano pastor nimekuelewa
@neemaenock9495
4 жыл бұрын
Amina pasta nimebarikiwa MA somo la neema Juu ya neema nimegundua kuwa nimekuwa mvunja sabato miaka yote mana sina kazi mama wa nyumbani lakin namuomba Mungu kupititia somo Hulu mwenyezi Mung anipe cha kufanya
@joramjaphet9133
3 жыл бұрын
ooh. ucjidharau hakuna kazi kubwa kama kazi za nyumban n zaidi ya raisi kazi yako n njema sana na unachapa kazi
@sakisfidmasho6393
4 жыл бұрын
Wewe ni wa ajabu una sema kweri wakirisito tunge pata warimu kira mkoa kama wewe tungeenda mbinguni wote (umetaja zambi za makanisa hii ninani anaweza kuweka waziii namna hii? )na hii ndio yesu anataka.wewe niwa ajabu.👏📖.
@abelimalifedha1762
4 жыл бұрын
Neema juu ya neema, katika somo hili naona ushindi katika vitu ninavyoona nimeshindwa. vipo vingi, naamini kwa kujitoa kwake atanipatia uwezo.
@damas6934
4 жыл бұрын
Pr this is an incredible idea .never stop creativity one day many people will be saved through this channel.i appreciate that,I respect that!!!
@mrembonaomi9077
2 жыл бұрын
Amen
@wewehehe6405
4 жыл бұрын
Asante kwa neno nzuri "Neema juu ya Neema," baraka za Bwana zizidi kuwa nasi sote na kufurahia neema ya Yesu
@bibichekamagaju7424
4 жыл бұрын
Amen
@aocigodefroid9098
3 жыл бұрын
Amen
@lreneauma1762
4 жыл бұрын
Amen ubarikiwe PR mmbanga kwa somo zuri
@nippermshana9260
3 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@carolinetalam5832
4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu na akubariki pastor 🇰🇪
@ferdinandntirampeba7543
3 жыл бұрын
Nasi Burundi tunakupenda tunakuitaji ukuje katika makambi ju kunawatu hatujatambuwa kanisa la wadventisty.
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
TUNAJIPANGA KUJA BURUNDI
@mercymuranga817
4 жыл бұрын
Amina nabarikiwa sana mchungaji
@nicemtorela1498
4 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho Mch.
@rosepeter8996
3 жыл бұрын
AMEN🙏
@ndayishimiyeriziki8696
4 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa
@asooraaasooraa4816
4 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor
@nginamugwe8093
4 жыл бұрын
😀😀😀😀🇰🇪🇰🇪 ati tunasalimia aje...sasa ..poa ..na mtu anaeda zake😀😀
@mashaeliazer7433
3 жыл бұрын
🤣🤣
@nginamugwe8093
3 жыл бұрын
@@mashaeliazer7433 😀😀😀😀
@mashaeliazer7433
3 жыл бұрын
Umenichekesha Sana🤣🤣🤣
@sheilaombongi8086
4 жыл бұрын
Ameeeen!
@sakisfidmasho6393
4 жыл бұрын
Unaonge mambo ya ajabu (wafagiaji,asienakitu,fundindi,mitambo, watu wasio faa, yure bibi asifaa , makanisani sasa heeeee,Mungu atusameehe tunafundishwa rakini hatubadiriki mapema,roho nisaiidie,🏠☔💧
@wadyanali900
4 жыл бұрын
Amen pastor kila siku nikisikia mahubiri yako nasongea karibu na mungu
@rosesimon4630
4 жыл бұрын
😅😅😅😅😅hapo kwenye ubuyu aiseee umenikumbusha enzi hizo nina miaka kumi na mbili tunajidamsha na wenzangu asubh na mapema kwenda kutafuta ubuyu matamu, tunajua mpaka mti upi mtam upi mchachu🤣🤣🤣 yaan jaman kweli mchungaji umenikumbusha mbali uwiiii
@matukioyasikuzamwisho7653
4 жыл бұрын
Amen
@zirhumanafiston9023
4 жыл бұрын
Amina
@brightongeorge2233
4 жыл бұрын
Mchungaji kahawa haitakiwi??
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
brighton george ndio. Ina caffeine ambayo inaongeza chochea hormon ya cortisol ambayo inajitokeza pale ukiwa na msongo au hatari,si salama kwa afya yako. Japo zipo ambazo zimetolewa caffeine ambazo baadhi ya wataalam wa afya wanasema ni bora kuliko iliyoachwa na caffeine
Пікірлер: 40