Amina Baba Askofu Mkuu barikiwa sana na Bwana Yesu. Amina
@petromyombe9547
8 ай бұрын
Safari imeanza vizuri viongozi wangu, Mungu awe mfanikishaji wa maono haya
@ELIASOINGEI-ir2ch
8 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe mno kwa ujumbe mzuri
@geofreykashuta1678
8 ай бұрын
Safi sana KANISA LANGU, EAGT YETU, HABARI NJEMA KWA WOTE.
@hamzakavenuke2098
7 ай бұрын
Ubarikiwe baba Askofu wetu. Ujumbe wa Bwana huu tunaupokea, Amina.
@EdinaWawa-mx3ed
8 ай бұрын
Amen,,,,, Mungu awape nguvu kiroho na kimwili,awafanikishe ktk mipango yote ya huduma,,,,,, awape macho ya kiroho na kuwasaidia,,,,, hatimaye MUNGU mwema ametenda,,,,,,
@EmmanuelKiginga
8 ай бұрын
ubarikiwe sana archbishop. Bwana azid kukutumia
@AyubSokoni
7 ай бұрын
Ubalikiwe baba Mungu akubaliki
@MarianaMirambo
7 ай бұрын
Amina Baba yetu na Askofu mkuu wetu,tunakuombea Baba
@aloycerobert8953
8 ай бұрын
amina amina baba BARIKIWA sana
@wileadam-wh9bk
7 ай бұрын
barikiwa sana baba
@majaliwametron9943
7 ай бұрын
Mungu azidi kukuongeza zaid uendeleze maono yako baba
@alexdaniel4864
7 ай бұрын
Asifiwe Yesu...sana. kwa hatua hii tena tuliyo nao. Tunazidi kukua
Пікірлер: 15