Kwa Muda mrefu wakulima na wafugaji eneo la Lungalunga kaunti ya Kwale wamekua wakizozana kutokana na uharibifu wa mazao na mifugo. Hata hivyo, kwa sasa hali ni tofauti katika kijiji cha Mkudura eneo la Dzombo, baada ya wafugaji kuanza kutumia maski za ng'ombe ili kufunga midomo ya mifugo wao kuzuia uharibifu.
Негізгі бет Ng'ombe wavalishwa maski Kwale
Пікірлер: 15