Kambi ya Wanusurika (Survival Camp) ya kwanza kufanyika mwaka 2024 na Vijana Waadventista wa Sabato, Idara ya Huduma za Vijana katika Jimbo la Ukanda wa Dhahabu (Nyanza Gold Belt Field) wakiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Vijana na Muziki, NGBF, mchungaji John Nguli. Makao Makuu ya Jimbo la Ukanda wa Dhahabu yapo katika Manispaa ya Kahama. Kambi hili lilifanyika katika Kijiji cha Busisi, Wilaya ya Sengerema, Mkoa wa Mwanza.
Негізгі бет NGBF SURVIVAL CAMP 2024 PART 1
Пікірлер: 1