Sanaaa mkubwa wa hizi kazi. Kalibu sana Morogoro salamiti....ulitutambulisha Tanzania nzima wanatutambua.....Salam kutoka kwa manamba
@latasimon9303
4 ай бұрын
Hakika hata me nilipofka salamiti 2019 ilibid nimuulze huyo mzee anaitwa manamba na nilifanikiwa kumuona kwangu ilkuwa kama sehem wa utalii
@manambavideoproduction8394
4 ай бұрын
@@latasimon9303 😀😀Safi kabisa ni weng Mno hufika nyumban wakihitaji kumuona Manamba yukoje... Ni jambo lakujivunia sisi vijana wake hata kaz zetu tunafanya zinaenda kwa watu kutokana na jina la Mzee
Пікірлер: 10