tuliofungua 2024 na hili dude la kibabe achia like apa
@alexkashanga
2 ай бұрын
😂👍
@johaiventhadeo3934
2 жыл бұрын
Enzi hizoo ngoma ilitambaa kweli kweli..kama bado waisikiliza ngoma hii pita na like 👍ya nguvu
@edwindeogratius4152
Жыл бұрын
, ,
@abduliashiru9394
Жыл бұрын
Noma sana uyu mwamba
@nourredineChikambo
Жыл бұрын
King kong
@nourredineChikambo
Жыл бұрын
La familia
@mgeninjoo2087
Жыл бұрын
Sauti ya chuma kamili...nakumbuka 2009 aliingia Mambo Mseto na hii ngoma ilkua 🔥 na Willy M Tuva
@yakubnassoro1635
5 жыл бұрын
Huyu mwana amezingua sana kwa kweli na maishu yake ya madawa. Aneemkumbuka mwana ChidBnz kwa ngoma kali kama hii apige like hapa
@adammfinanga8233
5 жыл бұрын
Yakub Nassoro bado ni mwamba saaaana. Hakuna ladha kama yake. Anayoyapitia ni njia ambayo ina mikwaruzo ambayo hata ww huwa unapitia kwenye shughuli zako ila unapambana n unarudi kwenye mstari. Nina imani atarudi tu, uwe na imani pia
@gladymakule3806
4 жыл бұрын
Chd Yuko vzur had now chuuuuuuumaaaaaa
@nassormazea8742
4 жыл бұрын
Mungu atamhidi aongoke
@Kingnelbo
4 жыл бұрын
Maishaa bro tumuombe duaa akae poa mwenetuu
@mastaigo1257
2 жыл бұрын
nawakubali chid
@SalimaMohamed-re9yp
6 ай бұрын
One of the best song King Kong ya chid Benz wangap tupo had ss 2024
@kelvinmwenda1013
2 ай бұрын
Hii ngoma naisikiliza nikiwa hukuuu ALASKA BARIDI KALI NOMA NAKULA NGOMA ZA KITAMBO ZA BONGO TZ DAAAAH KITAMBO SANAAA 22/05/2024.
@lukresiajullie4191
Жыл бұрын
Aaah!! Yeahh!! Haha!! La Familiaaa!! Tanzania, King Kong!! woooh! Uzito mdundo wa hindi, anga, na enzi za sancho Ni sawa na ubishi wa goli, kutoka kwa mbishi pancho Mashuhuri toka mtoto toka msoto toka studio joto Sahau kuhusu AC Eti Flani mbishi wa mboko, halalali anawazo soko Siku nae aje auze kama vile Jay Z Ama keeping rankin, keepin drumping, keepin rock the show Keepin jumping, keepin pumping, keepin smoking doe Spigiwi nacheza, pakavu nateleza You can′t stop mee!! Sana sana nitakupoteza One love, kwa mashabiki Asante kwa wanafiki, bila ninyi Hasira zisingekuwepo kichwa hiki Aisee Mi ni mkali, sina afadhali Na ndio mana bifu haziishi kwa wale wasio rijali Chidi! Wacha waropokwe Wacha wachomoke, wacha wavimbe, wachonge (Stick) Wala usiondokee! Hahaa!! Dar es saalaaama, dar esa salama stand up PRE-CHORUS Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands (Aaaaah!! Ahhhh!!) Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe, ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don't stop And please keep this rockin Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don′t stop And please keep this rockin Mikono juu Mafan mnao feel hili goma, Mmelisoma, na mna feeel kinoma Mikono juu Mafan mnao feel hili goma, Dar es salaama stand up, put your hands up MC mkali, MC peace MC kipato kiaina MC mkali, wanan dis ila wanan kubali kiaina Kubali kiaina, kubali kiaina, kubali kiaina Sijali, bado chenga nawakomba, mi na beat natoa radha Kama muumini na komba Kama shilingi na konda, kama kicheche na Ng'onda Mlio wa "Vuum" na Honda, spirit na kidonda Spigani nkang'ata sa si bora nikimbie Sing′ang′ani kunata bali uwezo wangu ndie, Napanda siku baada ya siku, Spandi mchana nishuke usiku, Naamini bora kitu, kuliko kukosa kitu. Love kwa wasanii, love kwa wanajamii Love sana mpaka kwa kina hihi!! Kwa kina nanii. Msintenge mi mwanenu jamani, chondee Nawawakilisha nyinyi mtatoka, msikonde Hey my African people tukaze, tusonge mbele Tusisahau hii iko, yaliyopita si ndwele Tugange basi hayoo, tuache kupiga mihayo Tufikiri kwa urefu sio size ya Zakayo PRE-CHORUS Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands (Aaaaah!! Ahhhh!!) Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe, ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don't stop And please keep this rockin Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don′t stop And please keep this rockin Naona DAR inafuka moshi wa majani Ma sister duu wameji mix na ma rastaman Kamata toto mwanangu besa kitu gani Hili... Mipini watu wanakaa Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Po!! Poo! Poo!! Yeaah King, kong, yani ah!! Ah!! Wamekaa
@abdulrahimomar8554
3 ай бұрын
❤
@bonnychidi849
3 жыл бұрын
Kwa wale wanao mkubali huyu mwamba CHIDI BENZ 💪💪💪na wanao sikiliza hili goma 2021 gonga like hapa... Tujuane 💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@AzizSultan-fc7rn
Ай бұрын
Nani 2024
@amannziku590
4 ай бұрын
Daah mwanangu chid, ngoma bado ina vibe kama imetoka jana...gonga like kama unamkubali chidi benzii
@jacksonmkumbo7183
5 жыл бұрын
Nani anaskiliza goma hili 2019
@musunguwilson6935
5 жыл бұрын
Ngoma yanifanya nikumbuke weekend feever. Bado yaendelea?
@ericmkumbo4771
18 күн бұрын
Oyoo
@edsonsibuti6914
5 жыл бұрын
Kumamake madawa ya kulevya tumepoteza msanii mzuri sana mpk nimelia
@mimosapudica1894
3 жыл бұрын
Best of the best!!TUNAOMBA HII NGOMA IWEKWE ROUND ABOUT YA POSTA YULE ASKARI ATOLEWEEE!!🔥🔥🔥🔥 2021 signatures
Kabisa moto kama DMX more love from Kenya chid benz
@lewismuia5284
4 ай бұрын
Izi ndizo bongo hiphop ambazo zimetulea. Mob love from🇰🇪
@allyyusuph4574
6 жыл бұрын
Ngoma itambae ,,,,,,kal sana 2018
@alphaabdallah1406
5 жыл бұрын
Nyimbo znazoishi mpk mwisho wa dunia...
@swahiliandculture6599
Жыл бұрын
2023 lets gather here.... ngoma kali kinyama❤
@mercychelaa3651
Жыл бұрын
Stil watching in 2023.Chidi benz my all time best.Daresalam stand up.from kenya
@selmaanjumah8522
Жыл бұрын
Ngoma kali ya muda wote ikipigwa kwenye steji tamasha lolote,watu wote wananyanyuka🔥🔥🔥
@kitaazaid2533
Жыл бұрын
Feb 2023 still naisikiliza ngoma hii
@jameschinjeru6646
5 жыл бұрын
2018 mpaka 2019💪💪💪 tunatamba Nayooo akuna kama chidi sema amezingua na madawa mshkji uyu daaaah😞😞
@kassuqutbi2199
Жыл бұрын
KAMA sio madawa jamaaa hodari sana n sauti ya kipekee ktk gem y mziki wa tz hii ni 2023/1/1 NA BADO namsikiliza
@Danidakio254
20 күн бұрын
Who is here 2024
@abumusabmohammadkarama4287
5 жыл бұрын
Chidi benz fanya urudi legend mashabiki tunakuhitaji
@fasterwalker1464
5 жыл бұрын
Tanzania Kuna raper wengi ila chid afikiwi mpaka kesho
@seducerkapero7306
5 жыл бұрын
ningekuwa na uwezo wa kurudisha muda nyuma arafu chidi yule aje sasa 2018 amini nakwambia ilikuwa hakuna cha wasafi walla wachafu. na nahisi chidi hawamsaidii kwa hofu ya uwezo wake kuna madogo wanasafiria nyota ya chidi wanaimba kumgeza chidi wanatunga mistali inayofanana na ya chidi hawa wote watapoteza ajira endapo chidi atarudia 100%kama zamani
@markmzarendo6001
5 жыл бұрын
Akiwa kama binadamu let us give home second chance and standup.I respected yo Child "ni Changamoto Tu"
@nobertmarinus286
5 жыл бұрын
Haji Muhidini htr xn..
@deljaysamil1153
3 жыл бұрын
King of EA🇰🇪
@philipomduma2690
5 жыл бұрын
Tufikiri kwa urefu sio kwa size ya zakayo. Asante king Kong mc mwenye sauti ya kipekee.
@sittandaki2135
7 ай бұрын
Daaahhh kweli maisha ni duara mbovu leo hiii brother chid benzi huwezi kumzania kama ni yeye
@twaibahamza3356
6 жыл бұрын
Chidy utakuja kuandika nyimbo kama hii
@adammfinanga8233
5 жыл бұрын
Twaiba Hamza hakika naamini hivyo, anayoyapitia ni changamoto za maisha tu. Ila atarudi na atafanya zaidi ya hapa
@officialchimamy1728
3 жыл бұрын
Kweri kabisa
@prezgal8869
Жыл бұрын
2023 still banging
@eliasmacha1755
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@annytahadrehem3819
11 ай бұрын
Here we go
@dualebashir4511
5 жыл бұрын
Je comprends pas swahili mais ce qu'il y a dans cette chanson je comprends 😁 big up à CHID BENZ
@iamdavism4163
5 жыл бұрын
So sad Drugs can drown such talents. Lots of Love from Kenya to the U.S.A
@gourmetmasters910
2 жыл бұрын
Coasto inaitwa Mondo
@nicksonfidelis4157
Жыл бұрын
Jan 2023... still a banger 🔥🔥🔥
@sylvanosalumu5840
Ай бұрын
Chid ulikuwa hot sana mwana,kweli ngada ilaaniwe.
@joshuasakwa1548
9 күн бұрын
CHiD TAFADHALI TOA TU MOJA YA MWISHO 2024
@chrispinelux6765
Жыл бұрын
Everyday i listen to this song. Chid benz aka mista faco sheñz
@spogaonline4251
29 күн бұрын
NYIMBO BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA
@AminaAbdallah-hi8xn
29 күн бұрын
Mbonge la ngoma halichuji🔥🔥
@abumuhammad9615
6 ай бұрын
2024 still a banger
@AbbasRichard-ri2wp
2 ай бұрын
Mimi nilikuwa namsaidia Hk kipindi iko mpaka video ikatoka Hk my boss
@iradastyle6962
5 жыл бұрын
Asa kwani kuna waimbaji now? Kuna rapper bongo? Chidi Dah!!! Siku nakuona Fiesta ya sjui 2000/2002 nliwewesekaaa my cuzin akatu introduce coz eeeeevryyy one knew nnakupendajeee and chuo Moro you came to perform Moro aseeeee i made sure my BF now Husband ananipeleka asee...i met you back stage the fact that ulinikumbakaaaaaa and you even showed me my number ulii save Wow!!!!! Always will be...your No 1 Fan...upone usipone...
@wanjikokennedy1384
4 жыл бұрын
Irada Style dah
@jackson4977
3 жыл бұрын
😔😔😔😔
@Views-mf8ir
5 жыл бұрын
Uyu mshikaji alikuwaga na roho yake ya pekee... Aliwatoa wengi sana bila kujali
@wilsonlyatuu3433
5 жыл бұрын
Daaah hiii ni 2019 ila ngoma bado inatamba,,,, dar put your hands up!!!!
@mwambwigadaimon4902
5 жыл бұрын
Wilson Lyatuu nouma sana
@djitchyfingers
5 жыл бұрын
2019 nani yupo gonga like
@mujunior3664
3 жыл бұрын
Daah chid Benz alikuwa anajua
@FadhiliLaurent
2 ай бұрын
Hii ngoma Makin san
@jnote9283
Жыл бұрын
Rashid alikua mkubwa sana na game alikua kaimali, nakumbuka kipindi hiki show zote za TV na radio zilikua zake. Alikua mpaka na reality show yake EATV nadhani, ila kama walivyosema waswahili mgema akisifiwa sana tembo hulitia maji, ishabaki historia! Bonge ya vocal na mistari. Maisha mengine yaendelee
@nyamwizakaganzi4045
4 жыл бұрын
Hakuna msanii kweny rap atamfikia chid never
@martinmoogi
Жыл бұрын
Chichichichichi chidi Benz chuma, dare Salam stend up, noma sana 💥💥🤙🤙
@doppewaxy282
7 жыл бұрын
the king of bongo hip hop,
@deusmallya6664
4 жыл бұрын
Lengend uko vzr mkuu💪💪💪💪👊👊👊👊
@husseinqaic5384
Жыл бұрын
Nani anaskiliza hili dude 2023 likes 👍 pliiz
@anithaemmanuel9148
3 жыл бұрын
Anaemfatilia chedy gonga 👍🏽
@mwetamsada2139
5 жыл бұрын
ama kweli chid benzi sasa sitori mungu anamuona
@user-gh1nn6jo4j
9 ай бұрын
Wajina nakubalii San kazii zakooo
@muyatz37
Жыл бұрын
Nani anaskiliza goma hii 2023. Like zako
@johnsamo9028
5 жыл бұрын
Hili goma si la kitoto aisee jamaa noma sana, Nipo naingalia nafunga mwaka na king kong
@user-dq1gz5os7o
19 күн бұрын
😂😂😂😂 blood una tu kosha utupe kolabo na wadogo zako wa moro
@isaiahelias3010
3 ай бұрын
Huyu ndio Pac wa bongo!
@njalimboomary314
5 жыл бұрын
Naumia sana ninapo muona chidi Wa kitambo na Wa sasa daah
@omaryiddy1652
2 жыл бұрын
Daah! Huyu jamaa alikua anajua sana, inaniuma sana cku hz alivyo, Mungu amrudishe tu akae sw
@FREEMANPAUL
7 ай бұрын
Aliemfunza Chid kula madawa alilikosea sana taifa..Nyimbo nyingi nzuri zaidi ya hii aliuwa.
@matthewjohn5108
5 жыл бұрын
Chidiiiiiiiiiiiiii dha!!!! Rudi bro madogo wanazingua hakuna wanacho imba huku 😧😧😧😧😧 rudi chidi kwenye game.
@kassuqutbi2199
Жыл бұрын
JAMAA ndo mtu ninae mkubali ktk mziki wa bongo wakati wote....2023/1/1 MWAKA NA CHID BENZ
@magnuspablo5783
5 жыл бұрын
Chuma chii... Chiii.. Chii... Luv u bro We mic u.. La familia Wanakukubali ki'aina
@cathbethswai80
8 ай бұрын
Hii ngoma ilitolewa miaka 12 iliopita,,punchs zake zilitengenezwa kwaajili ya next generation imean hata saiv 2023 Bado hatuja ifikia hio targeted generation kwaajili ya kuenjoy huu mzik mzuri,,respect sana CHID BENZ✌️✊
@magomakabanja480
11 ай бұрын
Ngoma la Kimataifa Bado linatamba na tunaishi Nayo
@kannedyjames5233
2 ай бұрын
Nikweli kabsa
@kannedyjames5233
2 ай бұрын
Namkubali sn
@africanjamesbond71
11 ай бұрын
2023 still a banger 🔥
@user-qu6tv1vb1t
Ай бұрын
The prime of his best 🎉
@Kabi_47
7 ай бұрын
Chid chid why why why brother😭😭😭😭
@trey_e
29 күн бұрын
Chidi flow zake 🔥
@ceciliakingu4132
5 жыл бұрын
Kweli tunakubali kiaina I believe ipo siku chid Benz Atarudi kufanya mambo ka hizi
@brandyshowlife1028
Ай бұрын
My fav ngoma
@user-vh7qq1gx4k
6 ай бұрын
Siku hii ngoma inachukua tuzo ngoma Kali ya Kila siku tusimsahau Pancho Latino tumpe nayeye🎉yake🇹🇿💯og
@amanidaud9375
5 жыл бұрын
daaaaaah huyu ndo chid benz
@juliusmatalotv5996
5 жыл бұрын
Mkono wa Pancho ndio ulihusika. Ila 6 , 10/2018. DAH. R.I.P PANCHO HATUPO NAE TENA KWA KIFO CHA MAJI
@hafidhmussa5664
5 жыл бұрын
ngoma Kali sana brother chid
@ampliatusrwegoshora4984
8 ай бұрын
very new comment to the hip hop king
@oscartvonline2382
5 жыл бұрын
Kila nikitazama the real Chidi Benz akiimba nakumbushwa mbabe wa ukweli wa Bongo Hip Hop. Nahisi kulia lakini nifanyaje. Nilikuwa shabiki chizi wa Chidi nilipokuwa shule ya upili na forever a Chidi fan,. Nawish angeachana na maisha ya dawa za kulevya. no one like Chidi just yet.
@EsauGabliel
7 ай бұрын
Tunamkubar uyu mwamba
@rajabmohamed2631
6 ай бұрын
2024 Dar es Salaam standup 🔥🔥🔥🔥
@gesha4759
6 ай бұрын
Much respect to this living legend ❤❤❤❤
@chrispinangoo3382
Жыл бұрын
Acha Ngoma itambae…..2023!
@user-kl1ys1pq7j
3 ай бұрын
2024 😊 killing it ❤❤❤
@aymanswaleh5584
5 жыл бұрын
dah kukupoteza wewe tumepoteza ladha
@DualeMohazz
7 ай бұрын
😂 Aisee mi ni mkali 😊
@angelmfinanga2354
2 жыл бұрын
Waaaaaat🤓 hakunaga km father chid bn
@davisalphonce7001
5 жыл бұрын
hii ngoma daah cjui nisemeje,ila dah ngoja nikae kimya
@diraalex9886
9 ай бұрын
Legend never die
@user-ex1cd3ub8j
4 ай бұрын
Yahhhh
@iam_mobam
5 ай бұрын
March 2024 here we gooo🔥🔥🔥🔥
@husseinathumani5637
Жыл бұрын
Tunabang nalo 2023🔥🔥
@gordonisaac1467
3 жыл бұрын
Do the remix bro..this was the Anthem 💣💣💣💥💥💥💥💥💥💥
@dr.eliasm.chrisant4110
2 жыл бұрын
Hii ngoma Inaishi miaka.. Bonge moja la BEAT.
@samsonobonyo
Жыл бұрын
milele kwa wale wachache tunaoelewa
@sethny112
7 ай бұрын
2024 put your hands up 🙌
@omwamiomwami875
11 ай бұрын
Hip hop ya kikweli khaligraph hangezumza hapa
@godfreychuwa7271
Жыл бұрын
Ngoma bado inatambaa baba chid🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@saidhassan3967
5 жыл бұрын
duuhh......hii sauti chidy haiwezi kurudi tena loooohh......
@sebastiankivaria9070
2 жыл бұрын
Man of the best chid kama Benz moto mwingine @2007/2021 mambo nimbaya alooo *@kuna namna A.twn tuna kula yechu#
@emmanuelmwema8081
8 ай бұрын
Inaumiza sana sana sana kumuona brother alivyo sasa. Anyway Mungu akupe mwanga utoke kwenye mitihani unayo pitia mzee. Pambana. Chid ni mmoja tu
@oxygenthemimi1600
3 жыл бұрын
Ukinambia ngoma kali za chidi benzi ntakwambia nyingi ila hii aliandika sana jamaaa ikifuatiwa na mashaallah alomshirikisha mzee yusufu
@hassanlamata2312
2 жыл бұрын
Haitakuja kutokea ngoma kama hii miaka buku✌️✌️✌️✌️
Пікірлер: 497