VIWAWA Kutoka Parokia ya Mtinko ya Jimbo Katoliki Singida, wamenena mazito katika Ngonjera yao iliyo wasilishwa kwenye Kongamano la Vijana Jimbo Katoliki Singida la mwaka 2024. Bila kupepesa macho wameibua vyanzo vya migogoro katika Jumuiya , Yaani Changamoto mbalimbali zinazozikumba Jumuiya zetu ikiwemo Wanaume na Vijana kuwa na mahudhurio hafifu Jumuiyani. Usiache kutazama hadi mwisho na kudondosha Comment yako au like kama umevutiwa na Vipaji vya Vijana hawa.
- Күн бұрын
NGONJERA MIAKA 50 YA JUMUIYA NDOGONDOGO TANZANIA YASHUSHWA NA VIWAWA WA MTINKO - JIMBO LA SINGIDA
- Рет қаралды 713
Пікірлер