MWENYEZI MUNGU nami naomba umtume malaika wako anipiganie pamoja na familia yangu kama ulivyompigania Mtumishi wako Ezekia tupate yote yaliyo mema na yote yaliyo mabaya yatuondoke, Amina.
@beatricemapembe2595
20 минут бұрын
Napokea kuponywa Yote mimi pamoja na familia yangu katika jina la YESU KRISTO , Amina
@gracekagoma3231
6 күн бұрын
Mungu mbariki mchungaji wetu huyu🎉🎉Analihubiri neno la Mungu kweli.Siyo mfanya biashara ya mafuta ya upako chumvi vitambaa nk.Mungu ashukuriwe❤🎉
Пікірлер: 20