Habakuki 2
2 Bwana akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.
3 Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.
4 Tazama, roho yake hujivuna, haina unyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.
Mithali 29
18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Matendo ya Mitume 26
19 Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,
Негізгі бет NGUVU YA MAONO| NAMNA YA KUIKAMATA KESHO UKIWA LEO| ASKOFU DICKSON CORNEL KABIGUMILA
Пікірлер: 5