Roho wa Mungu kaniongoza leo kusikiliza ujumbe huu ubarikiwe kwa huo uhalisia wa maisha
@agnesmuchina5425
2 жыл бұрын
Money is the root of all evils JESUS needs holiness and righteousness to bless you abundantly
@isayawilliams9149
5 ай бұрын
Asante sana kwa ushuhuda. Umenisogeza hatua nyingine
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Napitia wkt mugum San mung wangu nitendee miujiza mung wangu kwanzia leo hii saa hii ktk Jina la yesu kristo Amen
@barakakibona5615
3 жыл бұрын
Amen
@godfreycheyo3396
2 жыл бұрын
Nimebarikiw sana na ujumbe huu, nguvu ya sadaka Mungu azidi kukutumia kwenda viwango vingine.
@erickouma
3 жыл бұрын
This pastor has a great testmony but very profesional in presentation. No one can be bored or sleep even devil himself. He has blessed me a lot
@jeandedieurusangiza6436
3 жыл бұрын
Bsr
@agnesmuchina5425
2 жыл бұрын
If it is fit to your body be careful the gospel of CROSS and blood is bitter but if it fits the desires of your heart and body turn around
@saimonkayanda3383
3 жыл бұрын
Nmebarikiwa sana na mafundisho ya Pastor Moses Sheka!
@jescaedwardkurumela4333
Жыл бұрын
Uwiiii atukuzwe Mungu daima Asante Yesu kwa garama ya damu yako.
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Nakuomba mung wangu sik yoyote suzy akija asinifokee ktk Jina la yesu kristo Amen
@fatumachagudadui3138
3 жыл бұрын
Suzy ana kudai au?
@rabilubinza7661
3 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu ushuhuda mkubwa sana huu. Ujumbe nimeupokea kwa kina la Yesu naomba Mungu anifungue eneo hili la sadaka katika jina la Yesu.
@keflentito2318
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba Mchungaji umenipa somo zuri asante
@andreamakalla6000
3 жыл бұрын
Huu ushuda unainu iman yangu sna
@AzAz-sy6zp
11 ай бұрын
Amen nimebarikiws sana pst mungu akubarki san kwa mahubiri yamenijenga
@zawadithomas1008
Жыл бұрын
nmejifunza umuhimu wa sadaka barikiwa sana mtumishi 🙏🙏
@marywanyama2216
2 жыл бұрын
Imani nikuwa na huwaki ni bahana ya mambo siyo anekana ni Imani hunena ushunda wakunga
@mediavumbi9243
10 ай бұрын
Amin Amin 🙏 Amin umenibariki sana mtu wa MUNGU
@adamsanga062
2 жыл бұрын
Mungu nijalia hilo
@bungigemangana4171
2 жыл бұрын
Nguvu ya sadaka.Asante pastor Sheka
@razzlewazzle4
2 жыл бұрын
Pastor Musa! Barikiwa sana! Niko Kenya nimebarikwa sana
@harunikiongozi3831
3 жыл бұрын
Mbavu sna mimi jamani yote kwa yote Utukufu apewe Yesu
@lilianebahati7290
Жыл бұрын
Urakoze
@omegakipemba4387
2 жыл бұрын
So powerful message, thank you pastor Sheka. I love you and admire you.
@naimatupo2920
3 жыл бұрын
Amen. Mtumishi nime guswa na hili somo
@salomessmart9814
3 жыл бұрын
Yaan nimejiskia raha sana,maana sjapenda hata ibaada kuisha
@maryeer6392
Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho Mungu akubariki🇰🇪🇰🇪.
@davidmuthoni624
2 жыл бұрын
Niko Kenya nimebarikiwa Sana God bless thanks 🙏
@fredyraphael690
2 жыл бұрын
MUNGU akubariki kwa ujumbe mzuri ndugu yangu
@salomessmart9814
3 жыл бұрын
Kwa kwel huyu Mungu ni Mungu wa maajabu
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Nipate Ata m2 wakuniazima elfu 30000 nilipe madeni ya w2 ktk Jina la yesu kristo Amen
@michaeljonas2882
3 жыл бұрын
Sasa siutakuwa umekopa tenaaa
@floraemmanuel6118
Жыл бұрын
Nimebarikiwa sn
@mariamkisoma1988
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kwa hili somo barikiwa mtumishi wa Mungu
Muongo ww kazi yako kula ela za masikin, ombea duwa kokoto zigeuke dhahabu ukauze upate ela, mnawadanganya watu, kalime shamba
@geazielemia9512
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kutawala kinyume cha sheria
@munyaburangacharles7415
Жыл бұрын
Amen
@dawhiteschola8847
3 жыл бұрын
Daah nimefurahi pia nimejifunzaaa kitu Aminaa
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Nimepokea uponyaji ktk Jina la yesu kristo Amen
@veronicafrank7632
3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi nimebarikiwa sana nimechek sana
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Asante mung kwa kusikia kilio chang na dhan sik ya leo nitapokea majibu ya maswali yang
@hoseakamwela2080
3 жыл бұрын
Amina baba ,somo zuri natamani lingeendelea
@kikotimedia6638
3 жыл бұрын
Nakupenda Sana pasta sheka kikosi Cha mizinga
@elipendohenry4122
Жыл бұрын
Yesu nisaidie nitekeleze hili somo.
@glorykamenya2543
3 жыл бұрын
Amen Mungu anaweza mambo yote
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Yaani nimeelewa Sana hapo thank you Jesus
@tumainimwanyonga6601
3 жыл бұрын
Haleluyaaaa Bwana Atukuzwe Ubarikiwe.Injili hiyo ubarikiwe Mchungaji Safi sana
@sifumungu2
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana lwa jii mafunuo
@ashasalim612
3 жыл бұрын
Ameni mtumishi ubarikiwee
@alex_vincent
11 ай бұрын
AMINA
@farlbertkj9236
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@williammsenwa2627
3 жыл бұрын
Nampenda huyo Postor iko Romantic
@tumainimwanyonga6601
3 жыл бұрын
Umenibariki mtumishi nimechekaaa Kwa furaha ya neno
@mengifrank8765
3 жыл бұрын
Ameeen mchungaj
@paulchacha8366
3 жыл бұрын
Sawa mtumishi nakupata vizuri sana
@isabelihumble3814
3 жыл бұрын
Kwel mungu anageuza wapendwa
@saimonseleka8478
3 жыл бұрын
Pastor sheka love in....Jesus
@ezekielniyomwungere5003
2 жыл бұрын
Amina.Barikiwa baba
@rahabnkya8276
3 жыл бұрын
Kristo Yesu asifiwe saaana
@markoluvanda2349
2 жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi kea huduma hii
@stellandossy8107
3 жыл бұрын
Aaaaameee kwajina la yesu
@estherwanjiru3745
2 жыл бұрын
Yesu ni muweza
@adamsanga062
2 жыл бұрын
Sadaka inanguvu nikweli mungu tujalie
@c.bproduction2576
3 жыл бұрын
Blessed
@jeanettegloria6244
3 жыл бұрын
Amen 👏
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Sadaka ina nguvu hapo upo vzuri mtumish
@theemperor8229
3 жыл бұрын
Amina mtumishi
@rev.chitalyatv705
3 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@elizabethnekesa6414
2 жыл бұрын
Ameeen Ameeen nabarikiwa sana
@neemamfusi4446
3 жыл бұрын
Haleluyaa
@neemamfusi4446
3 жыл бұрын
Ameni kubwa
@justinmkiza8814
3 жыл бұрын
Hallelujahaaaaaaaaaa
@graceshayo2280
3 жыл бұрын
Shuhuda mzuri sana wa kutia moyo, lkn mtu unaposhuhudia aliyotenda Mungu kanisani sio kwa kuwatambia au kujiunua , hapo uliposema umechelewa ibada makusudi ili wakuone sio sahihi, ndugu zangu tuwe makini tunapoinuliwa tuwatie moyo walio chini
@dianasechome8240
3 жыл бұрын
Mchungaj anasema kipind hicho alikuwa mchanga kiroho wiki mbili tu katka wokovu ni kawaida kukosea ungemsikiliza vizuri ungeelewa wala hajajiinua na anasema ukweli ili atujenge, msikilize vizuri
@ashangonyani7989
2 жыл бұрын
Grace Shayo usijifanye kiroho sana. Na uwe mwepesi kuelewa kabla ya kukomenti. Mchanga kiroho maana yake Nini.
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Wanaendasha magari ya garama na kumbe wanaua ndugu zao
@neemamfusi4446
3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kizuri mtumish ubarikiwe
@oredibonk592
2 жыл бұрын
Asante Yesu
@zengomichael8238
3 жыл бұрын
Nimekuelewa mtumishi
@israelmhada923
3 жыл бұрын
Barikiwa
@charleswambua7186
3 жыл бұрын
Nimesoma kitu ya manufaa maishani mwangu
@fredykivuyo5217
3 жыл бұрын
Amen
@mencyofficial7788
3 жыл бұрын
Somo zuri sana
@sarahnambuva3153
3 жыл бұрын
Hallelujah
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Na wakati huu Ni ngumu mno KWA WENGI WAO Ni kuua TU ndugu zao majilani zao wanaua TU utafikili hawafi
@mwalimugeshommwangomale4186
3 жыл бұрын
Naomba Namba ya mchungaji huyu
@bonifasiemanueli2708
3 жыл бұрын
Kweli mtmsh
@stephanokanyika6321
3 жыл бұрын
Amen somo zuri sana
@teresianjeru1069
2 жыл бұрын
Teresia amen thank you
@gibsonfyanino6571
3 жыл бұрын
Hakuna kinacho shindikana kwa mungu
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Cloudy Dugu awe wang daima na milele
@annahayasanday7174
3 жыл бұрын
Amen amen amen hakuna kama Mungu
@rhodaogwang5849
2 жыл бұрын
SD did she.
@philemonkavutirwamaghusa9698
3 жыл бұрын
Nashukuru sana
@magrethpetro9493
3 жыл бұрын
Amina
@revmichaeldanieltv5154
3 жыл бұрын
Neno zuri
@lucywangari6785
3 жыл бұрын
Amina
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Mung nisaidie nifungulie mulango wa biashara niuze
@neyhmrs7704
2 жыл бұрын
AMEEEN
@deborahelias3931
3 жыл бұрын
Nakuomba mung wangu nipate ela nimutumie mama ang ktk Jina la yesu kristo Amen
@jacksonmagolwa8437
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wabwna.
@masaafyamedia9317
3 жыл бұрын
Ushuhuda unajenga sana huuu ila umeishia njiani.
@rabilubinza7661
3 жыл бұрын
Tulia tuu umngoje Bwana, atatenda kwa wakati wake. Usimate tamaa usiondoe tumauni lako hapo.
Пікірлер: 138