Asante kwa kumleta nanga chuma Chao ... Ni🔥 🔥 sana .
@khalfanijuma8793
6 ай бұрын
Kaka joti umejua kujua......nanga ndan ya nyumba 💪💪.....na 2024 mpaka waseme
@ndayikezaoscar3467
6 ай бұрын
YANI SIJAWAHI KUKOMENTI HAPA. Ila asante sana Joti kwa kuwaleta watu wengine muhimu hapa. NANGA ni muigizaji mzuri sana wa Comedy.
@RamaIddi-ze3wu
6 ай бұрын
Nanga mtu mbad
@amosithomas4714
6 ай бұрын
Sanaaa
@jescabwimbo8112
6 ай бұрын
Hakika. Kwenye hili kaupiga mwingi mno
@KhadijaSeleman-xp7zn
6 ай бұрын
Joti Ana mpinzani sema atutaki kukubali tuuu staili zote anacheza
@damoxybeatmaker5926
5 ай бұрын
kweli kabisa tena mi ningependa kuona video nyingi akiwepo mna uwezo wake joti akiwepo na huyu jamaa dah..! kiukwel mtuvunja sana mbavu 😂😂😂😂
@naturelle1097
6 ай бұрын
Mwalimu Mkuu is quite an actor😂😂😂
@shyfettymtunda4619
6 ай бұрын
Umegundua na wewe eeh???😆🤣😆🤣🤣
@fathiyahmuzney7367
6 ай бұрын
@@shyfettymtunda4619 Nimekumiss fetty😀
@shyfettymtunda4619
6 ай бұрын
@@fathiyahmuzney7367 Hahaa!!Miss you too kipenzi.Leo waomba like umewasamehe????😆🤣🤣🤣
@mitikasitv7326
6 ай бұрын
Mzee mkeka umechana
@geofreyukason
6 ай бұрын
Nanga namkubali sana, hongera joti kwa kuongeza nguvu kwenye crew yako! 🔥💥🔥
@jescabwimbo8112
6 ай бұрын
Kabisa kabisa kabisa
@evajackson2328
6 ай бұрын
Joti kumleta huyu mkuu umecheza kama wewe, namuelewa sana huyu jamaa toka enzi za serious funny 😅😅😅 anajua sana huyu jamaa
@bennylove6021
6 ай бұрын
Mkuu ni kichwa kingine, true comedian
@MkasyswallehsaidSwalleh
6 ай бұрын
Mjomba nanga part ya mwalimu mkuu ilivyompendeza hongereni team joti😅😅❤❤❤
@user-mo7iq2fd8g
6 ай бұрын
mwalim Nanga unajua sana, hongera io kipande ya mkatisho wa bara bara nimeipend..ila mungemuach t andunje ale chuma😂😂
@user-hd4hp4ej1y
6 ай бұрын
😊
@petersopi1180
6 ай бұрын
Nimefurahi kumwona nanga.. ameft vzr kabsa 🔥
@salma_6j975
6 ай бұрын
Huyu nanga ni bonge la msaniii....na nadhani muda wake ni sasa....big up jot kwa kumleta huyu kijana...ni mkali wa wakali
@khalifasultan2677
6 ай бұрын
Piga Kazi Na NANGA Mzee Joti✊🏾🔥
@HopepeterNinde-hq2xz
6 ай бұрын
Nanga ndani ya mjengo,hapa mambo yatakuwa mazuri mno🔥🔥
@kasimmohamed7075
6 ай бұрын
Joti umetisha sana kumuweka huyo Nanga
@shyfettymtunda4619
6 ай бұрын
Mwalimu Mkuu,umeitendea haki hiyo nafasi.🔥😂🤣
@official_Nanga
6 ай бұрын
🙏🙏🙏
@senkolink
6 ай бұрын
Nanga ndani ya joti tv anh sio pw😊🎉🎉🎉
@Dullyman_Classic
6 ай бұрын
Aah😂😂 NANGA kaingia mzigoni😅😅 kivumbi Leo
@mukarimstaarabic908
6 ай бұрын
Mungu weka mkono wako wa baraka kwa @NANGA azidi kuonekan kutuburudisha na kumtimizia ndoto zake kwa hii kazi anayoifanya kwa juhudi hikika ni muda mrefu toka SERIOUS FUNNY mpka now nilikuwa na kiu kubwa ya kuona kuwa anapata nafas nyingine kama hii ya kutuburudisha kwavile upo na MTAALAM #JOTI bas nasisi tupo nyuma yako wanao kutoka #TANGA @KAREEM ❤
@kiondosaimon6149
6 ай бұрын
Ila Nangaaa, joti unajua kwenda na bitiii Nangaaaa mtuuuu sanaaaa 😂😂😂😂😂
@Edsonchima-fb6qb
6 ай бұрын
Joti tz toka original comedy hezi zilee 🎉🎉
@zicomgravity4897
6 ай бұрын
NAMKUBALI SANA NANGA... TANGU ILE CLIP YA "SOLO... PALA" WAKAONA BASTOLA WAKALOA.
@JamaliiNamangayah
3 ай бұрын
Uko vizur broo jot nakubar sana kazi zako🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@makingmoneyonlineeasy
6 ай бұрын
Naanza mwaka na joti,Like moja kwa JotiTV
@teacherkaligodottonjige
6 ай бұрын
Nimekuwa wa 894 kuview
@salumsaid5369
6 ай бұрын
Hahaha eti we Mwl gani unaitwa Nanga, huyu mzee kweli jeuri
@evaristimramba9047
6 ай бұрын
Like kama unamini joti ni best comedian
@chilomswazi3056
6 ай бұрын
Nimefurah kuona maingizo mapya, huyu jamaa namkubali sana
@dezainermedia1035
6 ай бұрын
Uyu Nanga anajuaaa sana asee 😂😂😂
@rodgersmwagu239
6 ай бұрын
Unyama sana chuma kipya ila mlewa asikosekane 🔥🔥🔥💯
@mlewazitotv
6 ай бұрын
Nipooooo
@akiliidijoslin7392
6 ай бұрын
Nanga ni mzuri sana, hongera sana joti kwa hilo
@adrianorayner6551
6 ай бұрын
Nanga kwenye team 🙌
@JamaliiNamangayah
3 ай бұрын
Uko viziri brooj🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@mustafaosman1838
6 ай бұрын
Safi sana joti kuchukua jembe langu nanga
@amonpaul7359
6 ай бұрын
Viktaza ahhh 🔥
@FINISHER564
6 ай бұрын
Apo kwananga familia nakubali sana kazi zako broo joti ila ulivyo mleta na nangaaa apo unyama 😂😂
@rukaka_jr4514
6 ай бұрын
Umemchukua nanga safi sana kiufupi jamaa anajua
@salymking1892
6 ай бұрын
Nangaaa😂😂 bigup joti nanga tunamkubali
@bedabenson6576
6 ай бұрын
Nanga weeee❤
@Intertainment_896
6 ай бұрын
Nakosa ht Cha kucoment jmn uwii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ hii chemistry Haina mpinzani 😂😂😂😂😂😂😂
@andrewraphael3098
6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkono wa mwalimu mkuu 🎉 Njanuary 😎 Nishaiii
@mlekwankwabi8051
6 ай бұрын
Atari sana 🔥🔥
@JumaJuma-bo4zm
6 ай бұрын
Big up
@user-oq3dd5xj9m
6 ай бұрын
This school now need to be mentioned and if possible shu'd get some funds from Joti TV. 😂😂😂
@BONGOSTARMEDIA
6 ай бұрын
nanga😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@Charleskulwa-hp5ow
6 ай бұрын
Hongera sana brother kazinzuri 😂
@amanchuphichuphi4725
6 ай бұрын
Safi Sana joti Nanga hoyee
@mpenzisamaki9488
6 ай бұрын
Nanga we ni fire bhana hakuna ka ww
@joelwarioba5144
6 ай бұрын
Mi nasubiri miyeyusho na nishai na nanga..
@kimodonaa
6 ай бұрын
Shule yng nliyosoma jmn Tandale magharibi❤❤
@erickmidomsodock8716
6 ай бұрын
Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂😂
@BIGbone.9422
6 ай бұрын
Nanga ndani ya Joti family, mambo shwari
@hassanmussa7664
6 ай бұрын
Nanga the best one..jamaaa anajua mpaka anakera....pamoja na zito
@user-rp1xg3oj1p
6 ай бұрын
Teacher nanga ishi sana😅😅😅
@jumamussa133
6 ай бұрын
Nimemuona Nanga tu nikaanza kucheka 😂😂😂
@1czay
6 ай бұрын
Nanga kama nanga❤❤🎉🎉
@starlonejadamskp8224
6 ай бұрын
Never disappoint jotiiii 😅😅😂
@hassankarume5058
6 ай бұрын
Mjomba wa VIGWAZA ndan ya mjengo,,,,,,asee ni bonge la USAJILI💥💥💥💥💥💥
@jacobmazziwajr6221
6 ай бұрын
Mkeka wa milion 5 😂😂😂😂😂
@erickmidomsodock8716
6 ай бұрын
From Japan Kuma Moto I love you YANGA bingwa 😃😊
@bonifacemulisa8059
5 ай бұрын
Nanga anajua sana kuigiza yan
@abdulhamidomar8638
6 ай бұрын
Huyo Nanga ni comedy tupu😂😂😂
@ashwaqhasni
6 ай бұрын
Wawooo umeongeza kichwa kingine nanga
@kadabramoses8467
6 ай бұрын
Nanga in the house
@josephatkazaura5442
6 ай бұрын
Teacher mkuu katisha sana
@johnyusuph2678
6 ай бұрын
Nanga awepo mwaka mzima wote huu, tutaburudika
@kalongolakisendu9618
6 ай бұрын
Nanga unajua kaka
@zephaniamwangu9857
6 ай бұрын
Daaaah mtaalamu Nanga ndani ya nyumba sasa series itanoga balaa
@parishlawal3034
6 ай бұрын
Joti mchkue nanga uwe nae in your team he is very talented ❤
@k.o.n.g8925
6 ай бұрын
Ada 2024 🌝
@StephanoAkyoo
6 ай бұрын
Hilo kekaa wakuu mmeliona lakini😂😂😂
@dangomc_niger
6 ай бұрын
uyu Nanga yuko on fire umetishaaa
@user-qj4rh2wh5v
6 ай бұрын
Good work
@kelvinisdory4980
6 ай бұрын
Nangaa🔥🔥🔥 uko vizuri
@bensonmwananchi7701
6 ай бұрын
Mjomba wa vigwaza ndani ya nyumba
@misheckslider7333
6 ай бұрын
Leo wa Kwanza😃
@mlyambisipaul8399
6 ай бұрын
Nimependa kumuona nanga
@NUH23
6 ай бұрын
😂😂 Buenos días,me sacas sonrisas a pesar de las circunstancias difíciles 🕊️💕🙏🇦🇷viajan besos 💋💋💋 Tanzania 🇹🇿 y cariño .😂😂 Humor sano gracias 😊😊
@aishafrancis7714
6 ай бұрын
Kumekucha kumekucha kumekuchaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
@user-qd6cs1hw8s
6 ай бұрын
Nanga ni noma
@jaykashindi806
6 ай бұрын
always from USA 🇺🇸
@user-bc1jc9ec3i
6 ай бұрын
nanga namkubareee
@marypatrickmrina4909
6 ай бұрын
That awkward moment mwanafunzi kati ya mzazi na mwalimu busy kuongea wewe unabaki unasmile tu😂
@QueenJamila1
6 ай бұрын
WE NANGAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA NAKUPENDAAAAAAA😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-qd6cs1hw8s
6 ай бұрын
Jotii ,,Nanga n kichwa usije mpiga chini mzee
@clevalupakisyo7460
6 ай бұрын
Nanga ni fire😂. Usajili mzuri
@wamichapotz9530
6 ай бұрын
😅😅😅 Dawa kupiga pin tu walimu wasione raha zetu kwenue status zangu 😅😅😅😅😅
@tiffahtiffahbaaby6161
6 ай бұрын
Hicho kibegi Cha andunje changamotroooo
@keitatv9219
6 ай бұрын
Nanga kazi imeanza
@edsonmunuo7112
6 ай бұрын
😂😂😂😂,..baada ya likizo ni muda sijashughulisha mbavu leo,.mbavu zanguuu dah
@abdulkhalifa1352
6 ай бұрын
Uyu Jamaa nanga namkubali sana majayanti
@RjdEfuNny
6 ай бұрын
Great 😂😂
@aureliadidas1531
6 ай бұрын
Jotiii kumuweka huyu jamaa umenifurahishaaa😂
@hckcode8768
6 ай бұрын
Nanga 🔥🔥🔥🔥
@user-zr8be7ep4g
6 ай бұрын
Nanga ndani ya nyumba
@bahatijuma6769
6 ай бұрын
Nanga safi umetuletea uyu mtu safi sans
@charlesshemlimda4493
6 ай бұрын
Umefanya vizuri kumchukua nanga ni mtu ana kipaji sana
@GabrielSky64
6 ай бұрын
Pere limepata mkunaji . Nanga. Ndani ya mjengo 😂😂😂
Пікірлер: 276