Nakuskiliza kutoka Cape Town lakini kama unataka eti kumdhalilisha kwakumkosowa Sheikh Qassim Mafuta Allah amuhifadh hakuna litakalo kusaidia kwasababu kukosea nikawaida na yye sio wakwanza kukosea hate wewe hapo kiarabu sio lugha yake nakukosea lazima utakosea .kwakumalizia tunapata faida nyiiiiingi saana kupitia Sheikh Qassim Mafuta
@Saaid-yv6bg
TUNAKUSIKILIZA TUKIWA SOUTH AFRICA CAPE TOWN MAASHAALLAH huku south africa Sisi ni twarika damu.
@AbulqassimAshirazy-yd7th
Masufi ni watu wapotevu na wajinga kazi yaonkupiga maadufu kina wakicheza .hayo meyatoa wapi kama nyinyi si wazushi .ivi maswhaba walikua wakiimba kina wakicheza kama mnavyofanya nyinyi .Alimam shafy rahimahuaalah anasema" mtu hawezi kua sufi asubuhi na akapambazukiwa na jioni isipokua anakua mpungufu wa akili ".
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
14 күн бұрын
Din ya kiislam ni nzur lkn inaalibiwa na wapuuzi Wachache kama nyinyi alaf mnaweka kweny media hapo wasiokuwa waislam wanawaelewaje? Huo ni upuuz na ushenzi na hii kukosoana hakutawapeleka pepon labda kama mtaenda pepo yenu wajing nyie kila kukicha mnatengeneza mijadalah mimpy kuptosh ndio kazi yenu
@khadijaaliy9263
Badala ya kujadiliana vpi mtaikoa jamii tufanye vp tupate dola ya kiislam ati unamkosoa sheikh kassim nyinyi mmemsoma Mtume (saw) naona hawa mashehe wetu kukosoana2 ndo wameona ndio dini
@abdallahmoussa614
Nilizani utaleta hoja zamsingi et unakosowana lugha wemwenyewe kiswahili unaweza kukosea tuache mbali kiarabu. Allah azidi kumuhifadh Sheikh wetu mpendwa Qassim Abul Fadwl na azidi kuitetea haqi na alhamndulilah watu tumeshaelewa mengi na dawa salafiya inazidi kuenea Africa ya mashariki na ulimwenguni pote
@SalehSonda-bz3hl
21 сағат бұрын
Hakuna shek wa kikhurafi anaeweza kumrudi shekh kassim bin mafuta Allah amuhifadhi
@othmanmasoud1672
Wee shekh acha ujinga wako kama mtu kskosea mwite umuelekeze kwa hayo unayo yafanya ni ujinga hata wewe unaonekana mjinga
@IssaSimbilla-hw9ev
Hahaa eti anafundisha huku unakodoa macho chini uliza shekh alikua na kitab
@alimohd5307
Wewe ustz kanzu huyo kakosea na wewe unakosea zaidi maana fanyeni daawa kwa ajili ya waislam sio kushindana
@salimakida95
21 күн бұрын
Mashalwah, Mafuta amkosoa mpaka salim barihyan, Asante shekh Mafuta kaumbuka
@aliabdullahi9200
Mashaalah ❤️ ❤️
@user-iu3me2sm2h
لا يفصل بين فاعل والمفعول.
@eliaihoo77
Ila wewe inaonekana ni mwanafunzi mzuri wa kassim mafuta. Inaonekana wamfuatilia ssaana. Na ikiwa kwenye lugha ni hayo tuu uliyoyaona katika mengi uliyosikiliza, basi jua kuwa hiyo kosa 1% na kupatia 99%. Hapo ndio ulipokosea tuu wewe mwenye chuki zako. Halafu waumia roho sana kwa kuwa umepuuzwa kwa kitambo kirefu saaaaaaaana. Kiufupi umepuuzwa na umepuuzwa na umepuuzwa. Pole sana muislamu mwenzetu.
@KhatibBahorera
mashekhe iyo siyo dini muogepene Allah amjengi bali mnaharibu siyo dini hiyo wallahi
@abdul-rahmanfakijuma1879
Maa shaa ALLWAH
@Modyb
Zama hizi mutakalimiim wengi na huyu ni miongoni mwao. Kuteleza kiligha sioni kama ni makosa ya kufanyia radd. Allah amhifadhi Sh. Qassim Mafuta.
Пікірлер: 457