Linapokuja suala la mwanamke kumtii mwanaume, wanawake wanakuja juu kwamba huo ni utumwa. Na linapokuja suala la mwanaume kumpenda mwanamke, wanaume nao wanakuja juu!! Usipompenda mke itakuwa vigumu kwake kukutii! Mwanamke yuko china yako, wewe ndo unatakiwa uoneshe upendo kwake kwanza na bila kutazamia chochote kutoka kwake. Hapa ndio kuna mgogoro mkubwa!
@user-gy5hu5fx8q
11 ай бұрын
Umesema Kwa mafunuo mpendwa Bwana Yesu akubariki Sana
@alicejumaa89
8 ай бұрын
Uko sahihi
@user-hx9no2bf8o
4 ай бұрын
Super
@madamfarajakigula8423
4 ай бұрын
Point sana
@elizzywhyte5496
Ай бұрын
Wow you're right
@mercyetago4020
9 ай бұрын
Bora wasameheane na warudiane.
@tausimwinuka
8 ай бұрын
Iko spirit kwa hiyo Beba mzigo kwa ajili Yetu Tuombee sana kwa kweli 😢
@stellarjovitas5473
8 ай бұрын
🧔:swali gani upendi?! 👩🦰:Qn about marital status 🧔:So can you tell me your marital status🙄
@SamweliFelix-ij2pc
6 ай бұрын
Nahitaji kuonan na wew mm samwel
@DaimonMwapelele
2 ай бұрын
Mashetan wanawamaliza wanawake wanaoim a nyimba za injil za kuzim pumbavu kabisa mnavaa kishenz kishenz pumbavu zenu nyie mnafanyoaa bongo move mwenyez mungu pumbavu kabisa umalaya
@heavensent2526
Жыл бұрын
Kuna kitu kiko nyma ya waimbaji kwani Wakisha anza kuimba gospel wanakosana na waume zao something is wrong in the realm of spirit
@laurentraphael5470
10 ай бұрын
Wengi waabudu mashetani, waliovaa mavazi ya kondoo. What a tragedy.
@mercyetago4020
9 ай бұрын
Pride. Pride. Tuwaombee female gospel singers.
@alicejumaa89
8 ай бұрын
The devil will fight pple who oppose him not secular musicians.
@Jacklinjohn-cr4vs
7 ай бұрын
Lucifa alikua muimbaji MBINGUNI akaanza kujiinua juu ya Mungu kiburi kikapanda..so sie waimbaji kiburi
@nuruanafisoo4220
2 ай бұрын
Kweli
@upendojoseph7912
Жыл бұрын
Ukutane na mtu sahihi dada bella wangu
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Mtu sahihi hayuko duniani, hajazaliwa na hatazaliwa. Kila mtu ana mapungufu yake, kubwa ni kutafuta namna ya ku deal nae, baadae anaweza kuwa mtu mzuri kwako na si duniani, maana akienda Kwa mwingine Bado ataonekana ana mapungufu.
@upendojoseph7912
Жыл бұрын
@@salvinahassan8778 WA mapungufu anayoyaweza bella kuabeba
@barnabazawadi9433
Жыл бұрын
@@salvinahassan8778uko sahihi kabisa…. Watu wanafikiri mtu sahihi, hatokuudhi wala kukupinga kwa chochote.
@fadhilibarnabas3438
Жыл бұрын
Daaa!! Why gospel singers, pole saana dada . Mungu akusaidie ufike alipokupangia. But naumia saana hii kwa waimbaji asilimia 90 ni hivyo.
@jaligawesa
Жыл бұрын
Vita vya kiroho...pia watu wanaolewa au kuoa watu wasiosahihi
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Ni huduma kubwa lkn wahusu wake wanaona unaweza kufanya bila hata kuwa na maombi ya kutosha, just talent. Wengi wao wanakosa watu sahihi wa kuwaongoza na kuwashauri, tayari wameshakuwa ma super ⭐.
@barnabazawadi9433
Жыл бұрын
@@jaligawesawala hata sio vita ya Kiroho! Tunamsingizia sana shetani hata kwa vitu ambavyo hahusiki. Ni ukosefu tu wa maarifa sahihi! Kama ni Shetani kwa nini usimpinge? Maana Biblia inasema “mpingeni, naye atawakimbia..” na kama hajakimbia ukakimbia wewe, maana yake ni kwamba wewe ndio unashida! Sijui unaelewa!! Ndoa nyingi zinazovunjika, ni kutokana na ukosefu wa maarifa sahihi, kwanza kuhusu ndoa, pili kuhusu neno la Mungu. Biblia inasema “kama upo kwenye ndoa halafu ukaokoka, lakini mwenzako hataki kuokoka na anataka kuendelea kuishi na wewe, maandiko yanasema usimuache…” hakuna kusema kwamba hakuwa mtu sahihi. Kwani usahihi wa mtu hupimwa kwa mambo gani? Je, ni kwa kutokuwa na changamoto kwenye ndoa? Hapa kuna utata wa kutafsiri usahihi wa mtu…
@ezekielmichael9431
9 ай бұрын
Ni kwa nini wanawake wengi waimba injili wakitoka tu kimziki..,ndoa zao zinavunjika?
@blandinamyinga9489
Жыл бұрын
eti kazunguka ili apewe majibu kirahisi
@zuberimohamed43
Ай бұрын
Kwani si hakunaga kuachana huko au??
@vincentonsomu8372
2 ай бұрын
Msameane na murudiane
@patricklaurent3741
9 ай бұрын
Bella mbona mkubwa hvyo hijaoa bado
@laurentraphael5470
10 ай бұрын
Huduma imevamiwa na waabudu mashetani.
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Bella, don't feel proudly to mention you're single. Kwa watu wa MUNGU sio kitu kuzuri, lkn pia inaondoa utukufu, sijaelewa Kwa nini unaeleza kitu kibaya lkn in a good way, 😭😭, nilikuwa nasikia utukufu ndani Yako lkn Sasa nasikia uzuni, unapoteza ushuuda na nguvu za MUNGU pia
@esupatthomas5881
Жыл бұрын
Hakuna baunsa wa mahisiano na ndoa
@preneruth5110
9 ай бұрын
Watu Kama nyie ndo mnafanya watu wajiue... sasa kwa nn asiseme akatoa lililo moyoni kwanni mtumishi wa Mungu ni malaika hakutani na yanayowakuta wengne
@salvinahassan8778
9 ай бұрын
@@esupatthomas5881 inategemea unachukuliaje, ndoa it's a big examination na Kwa mtu wa Mungu lazima u pass, haijarishi unapitia changamoto zipi. Baunsa wa mahusiano ni YESU ambae anafanya kazi ndani yetu. Nimesema hivyo Kwa sababu, ukiwa na huduma inayotafutwa ni huduma iliyo ndani Yako, ukishapigwa inakuwa ngumu sana kumwambia mtu matendo ya YESU wakati ameshindwa kutenda kwako
@alicejumaa89
8 ай бұрын
Uko sawa
@benjaminshayo32
Ай бұрын
Kwaiyo Paulo hakuoa, Kwa maneno ya kisasa-sasa alikuag single, we Hilo unalionaje?
@josephmpanda306
11 ай бұрын
kama ilikuwa ndoa kweli natamani utengeneze na mwenzio, maana nafasi ya ndoa nyingine kibiblia inakosekana
@dominicdwaax3736
7 ай бұрын
kaka ubarikiwe na Bwana wakristo wanatakiwa kusikia hili hasa hawa wapentecoste maana wanaanza kufungisha ndoa wake na waume za watu … Mungu atusaidiee🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙏🏽Tuonee ya ndaniii kabca
@opukjaboda7839
28 күн бұрын
I am a big fun from Kenya but this I can tell you without fear will bring you down. God hates divorce. go back to your man and submit before you preach to us. Dont let the devil take over you
Пікірлер: 40