The best combination ever, ntafunga WiFe home niwafatilie Jack & Witness am very inspired with you guys
@Witnessvlog
2 ай бұрын
This was my best interview as well. Thank you
@annamussa185
Жыл бұрын
Wity sisi wasukuma wajanja bwana harafu wa kaka wa handsome wadada kaka mimi warembo hatari😍💐💐💐
@Witnessvlog
Жыл бұрын
🤣🤣 Mnajitahidi sana
@mohamedismail2662
Жыл бұрын
Moja ya watu nawakubali sana jack ni moja ya vijana ambao wanapenda kuwaonyesha njia piya sana vijana wenzao
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Hakika yani 🙌🏾🙌🏾
@gaspermadumla5800
Жыл бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ambaye nimekuwa nikikufatilia Jack muda mrefu. Ubarikiwe
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Nimefurahi sana kujua
@AMOSJOHN-ln8xq
4 ай бұрын
Dada@@Witnessvlog
@nurupaje9041
11 ай бұрын
Jack nampenda sana nilianza naje akiwa na 10k
@nassinassor872
Жыл бұрын
Marekani haina good social benefits kama inchi zingine za ulaya.kwa mfano canada,Norway,Denmark, Sweden, Finland, Germany, nertherland, Belgium, France, Austria, Ireland, UK, luxembourg, Switzerland, austalia,newzealand. Hizo ndo ichi za kutafutia maisha ndo inchi za kuishi,acheni kutafuta maisha ya kinamarekani,marekani ningumu sana ku survive.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
I agree hapo kwenye social services. Europe is good hapo
@habibarnabas
Жыл бұрын
Ni kweli kabsa nchi za ulaya ziko powah sana
@rich.kizza10
Жыл бұрын
lakini Canada haipo Ulaya
@peterlupandisha
Жыл бұрын
Bills ni wewe mwenyewe na sifa zako, unless otherwise bills nyingine zote ni zile zile kama za Tz, OYA MTZ UKIPATA CHANCE YA MAREKANI USIACHE watu tuna 5 yrs tu, ila tumepga hatua za ajabu
@chapamoko3067
Жыл бұрын
Hapo german ni mtumbwi wa vibwengo bora urusi hao wagerma n wabaguz knoma
@upendolema9809
11 ай бұрын
Namfatilia sana Jack❤❤❤
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm
10 ай бұрын
Noma sana aisee
@vicentjohn
11 ай бұрын
Nice enterview Jack
@WaweruG
Жыл бұрын
Kiswahili ya huyu Mwamba Jack wa USA huwa top notch.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Hatari🔥
@Tiffany340
11 ай бұрын
Binafsi napenda sana kumfatilia jack,huwa nakuelewa na kujifunza kwa maelezo yako.🙏💖
@Witnessvlog
11 ай бұрын
He is amazing
@seffsamwel5649
10 ай бұрын
@@WitnessvlogHabari yako dada yangu samahani vp kuhusu visa nataka kuja marekani naomba msaada kwa hilo please🙏🙏
@gasparlubaga5866
Жыл бұрын
This is your best interview my sister🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Aw it is. Thank you so much
@amanimyolo1478
9 ай бұрын
Mashaalah alhamdulilah
@nassinassor872
Жыл бұрын
Wanajitangaza sana wamarekani kwa sababu media nyingi nizakwao
@nassinassor872
Жыл бұрын
Marekani ina uchumi mkubwa lakini uchumi wa marekani hauna faida kwa watu wake,nguvu kubwa ya uchumi wa marekani umeishia kwenye kulijenga jeshi lao.
@edwardmkwelele
Жыл бұрын
Siyo kweli FANYA tafiti za kutosha
@carlmax2221
Жыл бұрын
Mimi ni raia wa Kenya 🇰🇪 natazama hapa Rome Italy 🇮🇹
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Nimefurahi sana kujua. Salaam Rome
@nassinassor872
Жыл бұрын
Dada yangu witnesses achana na mawazo ya marekani ila kama unataka kwenda kutembea siyo mbaya lakini siyo pakuishi,icho kiwanja ulichopo dada yangu nikiwa bora sana kuliko marekani.
@nassinassor872
Жыл бұрын
Denmark is among of the best country to live my sister witness,be proud of Denmark that beautiful.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thanks and i am happy that i am here. Maswali nayouliza ni kwa faida ya wengine pia
@Eng2460
8 ай бұрын
Nice interview,Hongera witness🤝
@Witnessvlog
8 ай бұрын
Asante sana Davis.
@Directorsunga
Жыл бұрын
Actually this is most valuable interview I have watched 🎉🎉❤❤
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Say that again🙌🏾👏🏾👏🏾. Sure it is. Thank you for the feeback
@DIEUDONNEAMISI-ex4dl
Жыл бұрын
jack jieshimu kigoma tuwajanja wewe unachezea mwisho wa reli wewe lakini wote wa tanzania ni utani tu na mimi niko USA
@Witnessvlog
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣si ndioo. Habari za uko
@lightnessabdallah2340
Жыл бұрын
waooh kaka jack
@Witnessvlog
Жыл бұрын
👏🏾👏🏾
@msengasikaonga3039
Жыл бұрын
Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Habari za kitwe? nashukuru sana
@deusntobi1450
Жыл бұрын
Jack home boy kabsa. Chali mjanja sana na kuna kitu ndani yake Mungu awe nae na hata akatimize yote yaliyomatarajio yake.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Amen! yuko vizuri sanaa
@williamkeita1519
Жыл бұрын
Respect from 255
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you William
@swaijames
Жыл бұрын
Wow. Congratulations dada
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you kaka
@amosmahona433
7 ай бұрын
OK
@nduwimanaLaziz
Жыл бұрын
Good interview
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Habarini ndugu . Subscribe kwenye channel ya jack 👇🏿 youtube.com/@jackwausa?si=N3NYrNlsCCnQTWYm Pia Naombeni usubscribe kwenye channel yangu ya pili ya kingereza youtube.com/@witnessvlogenglish?si=ut-wRUSgEPFfvfSi Asante
@Ajome_Family
Жыл бұрын
Interview imetulia
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Asante sanaa
@nassinassor872
Жыл бұрын
Watu ndo wanaopendaga kuipambia marekani,na marekani yenyewe inajitangaza sana kwamazuri lakini ina mabaya mengi
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Yes! power of branding. Wanajua kujibrand
@MulumeBaragizi
7 ай бұрын
Guanini Willis she also making my community
@MrPaulNyamhanga
Жыл бұрын
brother Ako anaye anaye fanya vulgo Russian account yake ya KZitem inaitwa je
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Sijaelewa
@msafirisaimoni9561
Жыл бұрын
Watz n wachache L.A Lakin niliona pamoja na uchache wao lakin walileta hamsha hamsha Kidogo
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Kabisa they were so loud
@MulumeBaragizi
7 ай бұрын
You have a panda sound like Tanzania me navigate
@nassinassor872
Жыл бұрын
Marekani inashindwa sana na inchi zingine za ulaya kimaisha
@majutoeliasi
Жыл бұрын
Marekani ni nchi imbayo inajipenderea sana
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Inajipromote sana
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm
10 ай бұрын
Saivi umetusaliti mkali unabonga english tu hutúambii kwa kiswahili mkali
@Witnessvlog
10 ай бұрын
😂🙌🏾
@ahazimzebo9086
Жыл бұрын
Interview ni nzuri
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Shukrani sana kwa kuangalia
@nassinassor872
Жыл бұрын
Mshahara wote mkubwa utakaoupata marekani utaishia kwenye bills,wana bills za ajabuajabu sana,kilakitu kwao ni pesa.
@lucksonomari4999
Жыл бұрын
Wewe mwenyewe uko Bongo haulipi bills, stima, maji, takataka, shule hulipi Karo na hospitali unatibiwa bure?
@devidjav3583
11 ай бұрын
Izi vitu kama nyumba ambazo wanajenga Africa iyo hela wanatoa wapi?
@Witnessvlog
11 ай бұрын
@devidjav3583 Ukipokea pesa in USD ukiileta bongo inathamani zaidi kuliko huku. So ni rahis kuendeleza home
@JeannetteManirambona-o6m
Жыл бұрын
Jacque umedili lisha
@Directorsunga
Жыл бұрын
Watu wangu wa nyumbani kabisa mlimhola ghete 😊
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Mhola sana
@khadijaismail2000
Жыл бұрын
Mhola sana ong'wese
@nassinassor872
Жыл бұрын
Alafu kitu kingine haina usalama hata kidogo,kupigwa bunduki au kuchomwa kisu marekani ni mambo ya kawaida,ujambazi nimambo ya kawaida,ukabaji nimambo ya kawaida,utekaji nyara nimambo yakawaida,yani mabaya yote yapo marekani lakini hawayaoneshi kwenye TV.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Kwakweli that part is scary
@AllyMwaugali
Жыл бұрын
Kila sehemu kuna matatizo yake kama UK karibu kila siku watu wanauana Kwa kuchomana visu,Jana tu binti wa miaka 15 alikua anaenda shule kachomwa kisu kafariki
@Witnessvlog
Жыл бұрын
🥹🥹That is very sad kwakweli. Ni kuomba Mungu atuepushe na majanga
@MichaelSimba-nk7mu
10 ай бұрын
Ukiwa na Utashi
@charlesjaphet5768
Жыл бұрын
Nipo Tanzania nawapata vizuri
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you charles
@dictarchelsea
Жыл бұрын
witness ko wasukuma ni washamba Sisi??🙄😂 tutawashangaza
@Witnessvlog
Жыл бұрын
🤣🤣🤣nisameheni jamani
@thomasadriano4191
Жыл бұрын
Nakupata vizuri kutoka kahama,kagongwa
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Salaam Kahama
@thomasadriano4191
Жыл бұрын
@@Witnessvlog zimewafikia saaana wasalimie huko ulikoooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@thomasadriano4191 Shukrani sana
@oliviaseth4652
Жыл бұрын
Niko USA 🇺🇸 ni pazuri na pesa ina patikana vizuri tu.
@LinahRwambali
Жыл бұрын
Duh mnatuchanganya sasa embu wewe wa marekan tupe picha kamili mwaya,pesa ipo au haipo,na kama ipo ipo kwa non professional jobs au professional jobs?
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Nashea experience za watu na kila mtu ana experience yake.
@happymaimu4330
11 ай бұрын
Mm natamani kuja huko KUSOMA postgraduate nifanyaje ndugu?
@devidjav3583
11 ай бұрын
@@happymaimu4330apply Kwa shule direct
@denissilver3551
Жыл бұрын
Watanzaniaaa mpo wachacheeee
@laurentedward1081
Жыл бұрын
Nili fatilia china na marekani kwenye miji na vijiji daaaa China iko juuu Zaid
@kwisa4899
Жыл бұрын
china hakuna kazi kwa wageni
@amoskagika8884
11 ай бұрын
@@kwisa4899kabisaaaa
@nickylyanga2139
Жыл бұрын
Ngoja niweke bando kbs wooou🎉😢😅😅😅😂
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Haswaa🙌🏾👏🏾
@umelamedia
Жыл бұрын
All in all Tanzania 🇹🇿 tuko poa
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you so much for watching
@nassinassor872
Жыл бұрын
Marekani ni jina tu,lakini ni inchi ya kipumbavu sana,siyo inchi ya kuishi
@ahmedjuma397
Жыл бұрын
marekani ni ngumu sana kama hutokua mpambanaji na kama hautoheshimu na kufata sheria zao ila kwa kipato mimi sitaki kwenda nchi nyengine mana najua sitopata kama ninavopata hapa watu wengi wavivu hukimbilia canada kwenda kulelewa na serikali 😅 by the way majembe tu ndo tunaweza kuishi USA nyie wengine bakini uko mulipiwe kodi na serikali
@MaingwaAbdalah
Жыл бұрын
From tz no problem Jack wa U S A Niko zangu home chekanao village kiteto manyara nakufwatilieni Na my ccter witness
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank your bro
@zuli.comedy.
Жыл бұрын
Wa nyumbn kbc matui me nipo namibia
@MaingwaAbdalah
Жыл бұрын
@@zuli.comedy. Allah atulinde sote ndugu yangu
@NeemRamadhani-j8h
8 ай бұрын
Mambo from Daresalam vip uko manyara
@Salumchiwili2023
Жыл бұрын
Uko na mwanangu jack mzee rodeo drive 😅
@Witnessvlog
Жыл бұрын
😊 He is good
@ruthmukami7573
7 ай бұрын
Sababu ya homeless ya watu weusi ni history yao ya discrimination, Jack kasahau hiyo.
@Witnessvlog
7 ай бұрын
It might be a reason but not necessarily. Thank you for your comment
@ruthmukami7573
7 ай бұрын
Hey there kaka Jack... ok tuingie kwenye debate basi... you ever see parts of the county in a state like Mississippi that have alot of minorities... check out their services there.. go to that Walmart or another store. Compare to a Walmart in Hollywood or with a huge caucasian people. Very different. Prices, items etc. Clinics, day cares, even hospitals they are quite different in terms of their services they provide depending on locations. Now having said, I completely agree with you that it may not be a direct reason why people are homeless but it's definitely a contributing factor. It makes it harder but not impossible for a black or minority person living and competing on unequal territory. Think about it? nakupenda bure lakini !!!and (by the way you are talking to an educated lady with a Masters Degree in Social Work attained at Howard University....lol. one day would love tuongee face time on how allocation of resources in this country is a huge contributing factor to homelessness..
@ruthmukami7573
7 ай бұрын
Also this one is also a huge factor that you mentioned. Mental health. In terms of Alcoholism and drugs, this is a huge factor. They continue to target the minority population on where pombe is sold. Kila kona kuna maduka ya pombe in a poor area, very sad 😿
@Witnessvlog
7 ай бұрын
@ruthmukami7573 Well said. Hata miaka ya nyuma wazungu walisambaratisha umoja wa waafrika kwa kuwauzia drugs ila wasifight against American racist system
@nassinassor872
Жыл бұрын
Na inchi nyingine nzuri kwa kuishi ni iceland
@ahmedjuma397
Жыл бұрын
ndugu nipo marekani sio miaka mingi nimeingia hapa ila watu wavivu na wasio wachapa kazi nimewapita kimaendeleo sana na wao wamenitangulia kwa miaka 5 sasa kama wewe ni mpambanaji marekani ni sehemu ya kutengeneza maisha kwa haraka sana ukijituma uhakika kwa kazi hizi za kawaida utaingiza hata dola laki 1 kwa mwaka iyo ni kazi ya kawaida endapo utakua na social ila uwe ni mpambanaji sio unafanya masaa 8 kisha unaenda kulala nyumbani na kujiposti instagram bill ni kawaida watu wanakopa magari wanakopa nyumba sasa kwanini usilipe na umekopa ok kodi za serikali za ni za kawaida ambazo zinakuja kurudi kwako baadae km hazijarudi basi zitakusaidia kwa njia tofauti
@nassinassor872
Жыл бұрын
Siyo tu calfornia yenye homeless,karibia marekani nzima ina homeless.
@dorahmcharo3083
Жыл бұрын
Wanaoongoza kwa homeless nahisi ni Philadelphia, New York upande wa chini na New Jersey. Hii miji kuna maeneo ni machafu imejaa mateja unaweza hisi haupo America.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@dorahmcharo3083 whoa! asante kwa kutwambia zaidi
@kwisa4899
Жыл бұрын
Homeless ni kawaida wanalipa rent kwa mwezi
@sospeteralex378
Жыл бұрын
Nipo mwanza
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thanks for watching
@robertnkaragano298
10 ай бұрын
Mbona km mnafanana saaana
@Witnessvlog
10 ай бұрын
🤣🤣🙌🏾
@OscarJoshua-r6x
Жыл бұрын
❤
@Witnessvlog
Жыл бұрын
❤️❤️
@juma2979
Жыл бұрын
Nchi nzr kwa kuishi ni Dubai peke yke coz hii nchi huckii mtu kauwawa kwa kuchomwa kisu au kupigwa risasi yani UAE iki vzr sana.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Ila kweli sijawahi sikia matukio ya hivyo dubai. Wako vizuri kwakweli
@SamwelJoseph-yk3cw
Жыл бұрын
Na australia je?
@anastaziamathias8861
Жыл бұрын
Waarabu Wana ubaguzi WA kazi Kwa wageni sanaaa kingine nao wanauwana Tu mfano majuzi Tu kijana kapewa adhabu ya kachinjwa sababu kamuua binamu yake yaani mauwaji NI dunia nzima Tu nchi zuri za kuishi NI ulaya na canada
@devidjav3583
11 ай бұрын
@@anastaziamathias8861Kwa usalama hakuna nchi inafika kiwango Cha UAE, very safe ila kule unaishi tu kazi za mshahara mdogo haki maisha dubai
@Arnolvel
Жыл бұрын
Mnaikandia USA lol!!! Kila mtu na priority yke
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Ni kweli kila mtu ana mawazo yake
@stannydidasy
Жыл бұрын
🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
@Witnessvlog
Жыл бұрын
🔥🔥
@gasparlubaga5866
Жыл бұрын
Ninakuona home boy
@Witnessvlog
Жыл бұрын
🙌🏾
@shentembo2513
Жыл бұрын
Dar es salaam Tanzania 🇹🇿
@Witnessvlog
Жыл бұрын
I see you😊
@soweto05
Жыл бұрын
Niko kigoma nakufatilia sana ja wa usa.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Asante sana kwa kuangalia. Hakika yuko vizuri
@tanzaleo8670
Жыл бұрын
RUDINI NYUMBANI KUMENOGA
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Twaja twaja
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌。
@PerpetuaMhanje
11 ай бұрын
Jack uko poa san
@Witnessvlog
11 ай бұрын
Yuko vizuri mnoo
@CarvinMichael
11 ай бұрын
@@Witnessvlog Jack .nakuelewa sana unaotuonyesha mitaa.kama tumefika malekan
Пікірлер: 184