Sameerah ametuelezea safari yake ya mahusiano kutoka Malaysia alikokua anasoma mpaka kufika Australia na kufunga ndoa na kuanzisha maisha huko.
Ametuelezea juu ya kupata ugonjwa wa LUPUS ambao ulimfanya mwaka mzima kua katika hali mbaya kiafya mpaka kuja kuweza kugundua ugonjwa huo. Anakwambia unaweza sema umerogwa Kumbe ni mambo ya kisayansi.
Ameelezea wa Austria kiujumla wakoje na maisha ya Australia.
Thank you Sameerah for allowing this to be online
www.oda.international
Негізгі бет NILIFIKA AUSTRALIA NA KUUMWA MWAKA MZIMA| LUPUS NI UGONJWA UNAOWAPATA WAAFRIKA| MARUFUKU KUUA NYOKA
Пікірлер: 139