Innahlillah wainnah ilayhi rajiun. Allah awaongoze in sha Allah. Sheikh Ramadhan Allah awafanyie wepesi palipo pazito tuko pamoja in sha Allah
@tawhidislam4418
2 жыл бұрын
subhanallah kufru iyo ni kufru bin adam kweli wame potea Alhamdulillah sisi ni wa islamu ni zawadi kubwa sana Allah ka tupatia kua wa islam
@estatekisombola9251
Жыл бұрын
Mimi ni mkristo but huyu jama watongarene anawapotosha ...watu sana ...... nafikiri kusilimu kwasababu ramadhan ana make sense na mahubiri yake ya kieslamu Love from Australia 🇦🇺. 🇨🇩
@eusterusaji1920
2 жыл бұрын
Ramadhan wewe na team yako mko kwa duaa zangu Allah Awazidishe. Huu ni msiba huyu jamaa alitumiwa majini ndio yanamvuruga na la kushangaza ana wafuasi wa Akili timamu Subhana Allah!
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
Nakwambia hehehe, anaulizwa wewe ulikua na mapenzi na Magdalena
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
Aamin
@eusterusaji1920
2 жыл бұрын
@@habibasalim3092 😊 na Yesu mwenyewe hamtambui magadlena
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
@@eusterusaji1920 hahaha, huyu mzee hata anasikutisha na anasinya Hasaa
@eusterusaji1920
2 жыл бұрын
@@habibasalim3092 mimi alinishangaza nilibaki kunywa wazi 😊ati yesu
@husnanancyatieno2391
2 жыл бұрын
Subhanallah... Mashallah Tabarakallah Shekh Ramadan Allah Taallah akuongoze Kwa hii elimu Mashallah.. Allah awafungue macho ya ndani Ili wapate kuelewa huyu si yesu ni mtu Stafflillah.... Allahamdulillah Mimi ni Muislamu..
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@D-Man.B-Free
2 жыл бұрын
SubhanaAllah!!!ndo maana tumeambiwa tusome,hivi hawa wanaikaa na kusema wameikaa na mtume Issa(Yesu)??? Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un,na Anajidai eti ni Mungu,ebu peleka watoto shuleni wakasome ya dunia na Wasome Madrassa
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
MashaAllah Tabaraka Allah, Allah akulipe kila la kher fill Dunia wall akhera sheikh Ramadhani Kuria. Kz mnayoifanya walah ni kz ngumu. Bt Allah awafanyie wepesi katka Kaz ya Allah
@medinacheronohildah7933
2 жыл бұрын
Nko na mjomba wangu wa Shona na alinihubiria akaniambia yesu alirudi kitambo 20 century na aliingia through the horn of Africa and he's now preaching the gospel at Zimbabwe na anaangamiza uislamu ...aki Mimi nlicheka adi akanifukuza juu nlishidwa yeye kichaa Nini kwanza huabudu akielekea zimbabwe
@saidyssaley1509
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mohameddhidha6633
2 жыл бұрын
Kkkk
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
Chizi kabisa 😂😂
@bibah-h2133
2 жыл бұрын
MashaAllah tabaarakallah sheikh Allah akutilie ktk Harakati zako. Subhanallah ndugu zetu wanahurumisha Allah awaonyeshe nuru.
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
Eee nakwambia mimi hadi roho yatetemeka,naona ningekua brother Ramadhani nis8ngekua na subra ,hawa hata wanasinya
@mariamkhaikachitechi6552
2 жыл бұрын
Yesu aongea lugha Gani jamni...ofakato...mungu awalipe kheri Kwa kazi yenu na awaongeze nguvu umr na afya
@tumajunior6080
2 жыл бұрын
Kweli wachungaji ndio wanao poteza umma wa Allah huyu anayejiita yesu wallahi Allah amsamehe na amuongoze amtie hofu ajutie kwa anayo yafanya
@maherzain615
2 жыл бұрын
Ameen. Maana mwenye kujiita mungu adabu yke mbaya sana kwa mungu
@liyanahilwa9666
2 жыл бұрын
Brothers Wallahi yu're doing great job indeed. Allah awajalie wepesi kila lilo ngumu na awalinde dhidi ya maadui dhahir na walio jificha.Pia Allah awakinge na wale wenye chuki ambao lao kubwa ni ku interpret niya Safi ya masheikh wetu wa kuelimisha watu kipi Dini ya Haqq na kuwabandika lisilo kwa niya yakutaka kuwa nyamazisha,kuwatia hofu ili Uislamu usiweze kueneya.Japo kamwe Nur yake Allah halitozimwa na mwanadamu abadan
@nakundwamkubwe7823
2 жыл бұрын
Wale wahadhiri wa kikristo Ndacha, Yohana Omar , Daniel na mapadire wote na wachungaji wanajua kuna Yesu mweusi huku 😃😆. Embu waje wamwage povu huku waache kumtusi Mtume wetu Muhammad na Mungu wetu Allah subhuana wa taala ( Mwenyezi Mungu mmoja asie na mshirika).
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Hahaaa hunimtihani
@duniawadunia4824
2 жыл бұрын
Ndacha yupo kibiashara
@maherzain615
2 жыл бұрын
Wao wanamsubiri aje awachukue kumbe yupo tayari amewaletea ma avocado😁😁😁
@sturbbornvideoz8547
2 жыл бұрын
Kwanza huo mda hata wanao? Ukweli wanaujua lkn wanajitia hamnazo tu
@nuruyusuf3237
2 жыл бұрын
Hahahah aregeshe punda😄
@kawtharalbarwani1337
2 жыл бұрын
MashaAllah sheikhe Ramadan Allah akubariki zaid na zaid inshaAllah Allah awaongoze hawa watu na awatowe gizani inshaAllah Hivi mtu kama huyu anaejiita hivo na kudanganya watu anajihis vp anajiona kweli yesu subhanallah mtihani wallah
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
Huyu mtu ni mjinga kweli aaaa hahaha 😂 😆
@suheilahsuheilah4968
2 жыл бұрын
Subhanallah mashaallah sheikh Ramadhani Allah akulipe kheri fidunia wal-akhera subhanallah Allah awaongoze wasilimu wote
@nikizaanociata4730
2 жыл бұрын
Yesu wetu tunamujuwa vizurisana usizalilisha imani yetu Yesu hawezi kuwaweye atakidogo Mungu akusamehe .
@mussasualehe7146
2 жыл бұрын
Yesu alikua muislamu kwaiyo hajadharirishwa Yesu bali anafuatwa
@fredrickgitonga1972
2 жыл бұрын
Uyo ni mwongo sana, YESU KRISTO Mwana wa MUNGU akija kila mtu ulimwengu woooote atamwona, na kila jicho litamwona, uyo ndiye YESU KRISTO tumsubiriye sisi wamwaminio na kumfuata,
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Rahman ndugu zangu wa straight path Allah awa hifadhi na awape nguvu mu endeze kuigombania dini ya haqi. Allahumma ameen yaarab
@jamalathman6219
2 жыл бұрын
Subhallah sifa zote ni za Allah(s.w) muumba mbingu na ardhi alietakasika asiyekua na mshirika yarwab waongoze hawa waja wako wakujue wewe na watie nuru nyoyoni mwao waijue dini ya haki uisilamu
@naimaabuualii578
2 жыл бұрын
Amin
@aishahazary4097
2 жыл бұрын
Huyu kaka anajitahidi kujieleza sio yule malaika wa wanyonyi.Ndio maana wajinga wanamuunga mkono.Ila Ramadhani unajua kuongea nao.Una busara na lugha ya upole.In shaa Allah siku moja watauona ukweli na huenda wakasilim.
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
Jamani hasa nyinyi wakenya musibaki kumpongeza na kumpa moyo sheikh ramadhani na ku like tu mpeni mchango ( pesa kwa ajili ya daawa) muwe miongoni mwa wanaopeka dini ya uislam mbele me natamani niwe Kenya niungane na masheikh wa kenya na Mimi nitafute pepo kwa njia hii Ila Mimi nipo Zanzibar yani izi daawa hakuna kabsa Yani ukiristo uko huru kuliko ata uko kenya
@samxx411
2 жыл бұрын
Kama upo Zanzibar hata sisi waislam tunahitaji daawa usitake hadi uonekane sio lazima vuta japo watu wawili lingania utakuwa umefikisha nenda katika mabaa, nenda viwanjani na sehemu tele tu zanzibar tunahitaji daawa, shekhe unakosea katika kufikisha, fikisha japo aya mbili na sio lazima tv au redio au watu wengi. salaam alaykum
@samxx411
2 жыл бұрын
hivi tunasubscribe kumsupport yeye ndo uwezo wetu sheikh
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
@@samxx411 hauku nifaham me nimekusudia nyinyi muliopo Kenya mumsapoti kwa kumgaiya michango ya kwenda vijijini kufanya dawa Mana yeye sheikh atafute risk ya kula atafute na nauli ya kwensy daawa so watu wamsapoti sio kwa kulike mtandaoni tu wamsapoti na fedha pia sadaqa hii watu watakayo toa ni kubwa Sana kwa Allah
Naona simuelewi tu anaulizwa nakujibu tofauti yupo timamu huyu kweli
@almascomprime1351
2 жыл бұрын
Nawafuasi wake hawaoni kama niuongo .nashukur San kuzaliwa katika uislam
@salmasalim6055
2 жыл бұрын
Tuliisubiri kwa hamu Allah awabariki masheikh wetu
@aishaibrahim1613
2 жыл бұрын
SubhanALLAH ALLAH awaogoze.. shukran sheikh Ramadhan
@shadyaadam8919
2 жыл бұрын
Innalilah wainna ilayhi rajiuun Wallah huu ni msiba, Jaman huko Kenya kuna maajabu ya dunia. Nilijua haya yaliishia kwa firaun kumbe mpaka Karne hii kuna miungu watu? Wanyonyi mwenzio alijiita mungu lkn cha ajabu alikufa, je mungu anakufa? Na ww hapo ulipo unajiita ni yesu na watu wanakuabudu Baba tubu dhambi zako, na umrudie muumba wako, Acha kupotosha watu, je utamwambia nini aliekuumba ww?. Sheikh Ramadhan mashaallah Allah akulipe Wallah mnafanya kazi ngumu sana, Sheikh rama ungemyuliza ana mke hy yesu? Na je ana watoto. Huu ni msiba
@ummohamed4404
2 жыл бұрын
Yaani hii channel nimejifinza vitu vingi.na nimeona mambo ambayo sijategemeya kuyaona.Allha awabarikisaana Mashekh wetu.
@SalmanMughal-lq5lt
4 ай бұрын
SubhanaAllaNyieKhee
@SalmanMughal-lq5lt
4 ай бұрын
TenahawaogopiWanamsujudia
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab, Mwenye Enzi Mungu awa hidi hawa watu awa onyeshe njia ilio ya haqi
@almascomprime1351
2 жыл бұрын
Assalam alaykum masheikh wetu ustadh kuria napenda San njisi unavio mtega huyo yesu .nakufatilia San kutoka German. Yaan unaviomliza anajibu tafauti kabsa huyo unjanja insha'Allah ataonakweli
@husha6372
2 жыл бұрын
Astaghfirullah Astaghfirullah Astaghfirullah Mungu awaongoze kwenye njia ya haki
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
Amiin
@SalmanMughal-lq5lt
4 ай бұрын
InshaAllah
@nakundwamkubwe7823
2 жыл бұрын
😃😃😆 Mwenyezi Mungu anakazi kubwa na sisi Binadamu.
@bailla8504
2 жыл бұрын
😂😂😂
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allah atuhifadhi
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
Mungu hashindwi na kitu kazi kubwa ipo kwa sisi binaadamu kufikisha ujumbe kwa Hawa watu mpk watu elewa
@Awatee
2 жыл бұрын
@@اللهأكبر-ذ7ث3س Swadakta Allah anafanya analo taka hashindwi na kitu chochote
@maherzain615
2 жыл бұрын
Allah ni kun faya kun hana kazi yyte anacheki tu nakuwapa mda.atakapo watia mikononi kama firauni hapo watajua hawajui
@aishawangui6635
2 жыл бұрын
Subhanallah..makubwa haya ndugu zetu waluhya wamiini kila kitu audhu billahi
@tumajunior6080
2 жыл бұрын
Mashaallah jazzakallah khairan shekh ramadhan Allah akupe afya njema na ilmu zaidi akuhifadhi popote ulipo ameen thuma Ameen
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@salmanassor8732
2 жыл бұрын
Subhannalwah yaani ivo anavyo sema mbingu ilifunguka kama kawaida tu
@naimaabuualii578
2 жыл бұрын
Wapili jaman like zenu 🙏😂napenda sana hii chanali mm
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Shukran jazeelan
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
Mashallah 🇹🇿 Allah awahifanyie wepesi I love you IAM from Tanzania
@yuskahajj1623
Жыл бұрын
Peace be upon you Ramadan Masha Allah kwa kazi nzuri na m. Mungu akupe umri mrefu sana ...na huyu mtu anajiita yesu tongoren mbna Kila swali anafungua vitabu c ajibu na kichwa kama yy ni yesu
@khalfanmbaroukmohd4943
2 жыл бұрын
Sasa yesu mwenyewe anasema yesu asifiwe sasa n yesu yupi na wakati yy ndio anajiita yesu subhana allah allah awaongeze katika mstari ulio nyooka
@SSs-fn4hs
2 жыл бұрын
Mara yy ni mungu halafu mungu mwenye anafunuliwa sasa nani anamfunulia tena kwani ni mungu wangapi this is madness a beg 😂 🤣 😆 😅 😂
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Subuhanallah Subuhanallah Duniani binaadam tuna visa kuliko Eti Yesu hahaaaaa Allhamdulillah kwakua muislam
@ummuabdsheikh9581
2 жыл бұрын
Allah akupe killa la kheri ndugu Ramadhan Allah akuhifadhi na killa baya akupe maisha marefu mazuri Uzidi kupeleka dini ya hakki .mbele
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@jafarykahera1727
2 жыл бұрын
Shegh allah awalipe kila la gher katika puruani allah aliahidi ataleta wengine nikama wewe kutokea katika ukiristo na kufanya kazi ya allah heri kwako inshallah allah akuongoze
@aliabdallah8456
4 ай бұрын
Kwa wakristo wanapenda kutoa hushuhuda wa uongo kwa nini mnala nyinyi kwa kumuudhi Mungu hacheni huo ujinga kila mtu atoa hushuuda wa uongo mwengine anadai amekutana na Yesu akampa funguo kuna huyu dada naye anadai ameenda mbinguni kaitwa na Mungu imani yenu imejengeka kwa uongo mwingi na kumkufuru Mungu
@berylvall723
Жыл бұрын
Ata ruto pia ulimwaona binguni weeh 🤣🤣🤣🤣🤣ww dawa lako lachemka binguni si hapa duniani
@maherzain615
2 жыл бұрын
Sub han Allah. Kule mungu baba wanyonyi kafa huku mungu mwana bado ako hai. Wakristo....... Wakristo......قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ تَعَالَوْاْ إِلَى كَلَمَةٍ سَوَاء بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ أَلاَّ نَعْبُدَ إِلاَّ اللّهَ
@oman7710
2 жыл бұрын
Subhanallah Allah akujaalie afya njema sheikh Ramadhan na Allah awaongoze hawa ndugu zetu katika Adam, Amiiin
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@wamugimohammed3848
2 жыл бұрын
Kwani huyu yesu asahau mambo 😂😘😂😂 subuhana Allah,huyu ni kichaa
@arafat6810
Жыл бұрын
Audhubilai min sheitaan ragim......dunia inaaisha ewe ALLAH utunusuru
@halimahamis3742
Жыл бұрын
Mm nimwisilamu,,,,,napenda Sana Imani yng yakweli kwadini hii ya mungu yn uisilam,
@nakundwamkubwe7823
2 жыл бұрын
Tuacheni utani uyu baba ni mgonjwa wa akili na wanao muabudu pia ni wagonjwa. By theway iyo ya unakumbuka kile kichapo imenichekesha 😃😆.
@shushu8105
2 жыл бұрын
Subhan Allah waislam tujivuniye neema ya kuwa mwislam pia Allah atwepushe naukafiri Allahuma amiin
@ayadehila4932
2 жыл бұрын
Alhamdulilah kwa kuzaliwa muislam tunakuomba Allah tufe tukiwa waislamu amen yarab
@bibah-h2133
2 жыл бұрын
Ndiyo huyu yesu aliyemtabili Mtume wetu Mohammad s.a.w, sasa mbn hawafundishi hao wafuasi wake aliyokuja nayo Muhammad s.a.w
@nooroman2535
2 жыл бұрын
Inalilai walnalilai rajiuni kazi ipo Allah hatuogoze tufe tukiwa waislamu
@naimamuktar9028
2 жыл бұрын
MashaAllah sheikh Ramdan pia mm nimekuaddicted na hii chanel ....walahi mnafanya kazi kubwa na InshaAllah jaza yenu iko kwa Allah
@yabdul1782
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂kumbavu na yeye mwenyewe hajui bibilia kwa kiroho n lugha ya yesu mwenewe. Na lazima wasome bibilia.
@jumanjenga7682
2 жыл бұрын
Masha Allah Ustaz.kazi iendeleee Kutoka ujahilia.
@ukhtyhalima8896
2 жыл бұрын
Tushaona mungu na yesu sasa imebaki roho mtakatifu 🤔. Astaghfirulah.
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
😂😂 huu ni msiba lakini inabidi mtu acheke
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
Dalili ya kuja kwa yesu ni haitasalia jiwe juu ya jiwe isipokua litamoshwa katika msikitini wa Jerusalem sasa uo msikiti umeshabomoshwa? Masihi kashakuja? Vita havijapigwanwa mbona , yesu aliondoka aliopokua na miaka 33 mbona kaja yy kizee? Ndo miaka 33 iyo yesu alikua hajui kusoma kajifunza wapi? Yesu ni mweupe mbona saivi kawa mweupe mbona Kenya watu wajiita Sana Mungu? Allah atusitizi?
@faridbashuu
2 жыл бұрын
Jazakallah kher, kazi nzuri Ust.Ramadhan. Very interesting 🤣
@jamilaomari2444
2 жыл бұрын
Huyu hana lolote ni hadith za paukwa pakawa na njaa ya sadaka😂😂😂
@medinacheronohildah7933
2 жыл бұрын
Wallahi
@saidkhalid6745
2 жыл бұрын
Brother Ramadhan,Allah akuzidishie hekima na subra Kwa yote.si rahisi kulingania Dini watu waliochanganyikiwa kiasi hiki,inahitaji hekima kubwa
@naimaabuualii578
2 жыл бұрын
Subuhana Allah et tutaongea lugha Gani ? Kiswahili 😂😂😂😂aaa apo umetudaganya
@wamugimohammed3848
2 жыл бұрын
Masha Allah! Shekhe Allah akuzidishie ujasiri Amin Amin! Allah awaongoze hawa watu
@duniawadunia4824
2 жыл бұрын
Nacheka utafkiri ni mazuri? Shuk'ran Allah kwa kunifanya kua muislam Dini zengine ni vituko na vichekesho.
@naimaabuualii578
2 жыл бұрын
Hujanishinda mm bro😂😂😂😂
@duniawadunia4824
2 жыл бұрын
@@naimaabuualii578 mimi nacheka na nauzunika
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Alhamdulillah
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣nyote hamunishindi ,nimecheka
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah mimi pia nacheka na nahuzunika
@sturbbornvideoz8547
2 жыл бұрын
Sheikh Ramadhan Allah akuzidishie in sha Allah 🤲🏻
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@Najdi358
2 жыл бұрын
🤣🤣huyo yesu hasa anachekesha, alipo ulizwa ulisulubiwa saa ngapi mbona hakutaka kujibu, ukweli anaujua maana anajua akijibu na wafuasi wake wapo ataadhirika maaana maandiko yamekuja tofauti tofauti
@mariamsefukhamissi8809
2 жыл бұрын
SubhannaAllah innalillah wa innalillah raji'un Allah atujalie mwisho mwema atujalie shaada
@habibasalim3092
2 жыл бұрын
Hahahahaaa anaongea ma Avocado 🥑 hahahaaa
@saidirajabu7863
2 жыл бұрын
Yesu anasema nilishangaaaa
@hythamhashiem4458
2 жыл бұрын
Ni maana hayo maneno siya mungu sababu mitume iliyo peta wanapo onyeshwa miujiza walikuwa wakifwata tu Sam'an watwaa'an lakini yesu huyu kila asema nilishangaa!!!! Bimana yeye si mtume wa mungu bal washetani
@saidirajabu7863
2 жыл бұрын
@@hythamhashiem4458 sawiya mkuu
@hazars563
2 жыл бұрын
Wallah Kuna mambo yatendeka na yote niukosefu wa kukosa kumuogopa Mungu na Elimu😭😭maana huu ni msiba
@johnyema3360
Жыл бұрын
Ila wakenya hahahaaaa akili zenu banaa
@liyanahilwa9666
2 жыл бұрын
Bhangi tupu...waluhya hao wako down tu Sana. Malaika mwenyewe kusoma nshida tupu jameni and at her age... it's unfortunate & a great disappointment. Alhamdulillaahi kwa Ne'mah ya Uislamu. Allah kwa Rehma zake twamuomba Kwa unyenyekevu awaongoze hawa wanadamu wenzetu na wengine wote ambao wako gizani... Aameen Yaa Rabbal aalamyn
@Islamicvideos-ee5lp
2 жыл бұрын
Wafuasi pia wanaskia hayaa uongo anaosema leader wao 😂😂😂😂
@duniawadunia4824
2 жыл бұрын
Waislam tusipigane vijembe tena hii ndo Da'wah hilio bakia sio adi kuweka mkutano kwenye holi kubwa? sasahivi ni Da'wah mitaani au Da'wah kanisani basi
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
Big up brother nacheka natamani nilie pia haaaaaa
@duniawadunia4824
2 жыл бұрын
Kweli kbs
@nuruyusuf3237
2 жыл бұрын
Sheikh Ramadan wawachekesha hao watu ...hahahahha
@mgenibwanamdogo2826
2 жыл бұрын
Inalilah waina ilaihi rajiun kisha wengi ni wanawake subhanallah mwenyezi mungu a waongeza njia iliyo sawa inshaallah
@naimaabuualii578
2 жыл бұрын
Kumbe niwatatu 😂😂nilikua sijaona vizur kwenye comment
@maherzain615
2 жыл бұрын
Sheikh Ramadan suala zuri umemuulza kuhusu miungu mitume kuwa waluhya. Kenya katika makabila waluhya ndio kabila lilokosa muelekeo wa dini.
@hamissuche6576
2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni chizi amechanganyikiwa, na anawapoteza wenzake,. Eti yeye ni yesu
@liyanahilwa9666
2 жыл бұрын
Asalamu alaikum wa Rahmatullaahi wa Barakaatuhu my Precious Brothers.... Our love, Du'a & support with yu all moments
@lileoh3893
2 жыл бұрын
Hahahaaa shetani anamfundisha majibu
@rahmakorir1120
2 жыл бұрын
La hawla wala quwatta illa billah.
@Islamicvideos-ee5lp
2 жыл бұрын
Nabii kasahau 🤣🤣🤣🤣 shukran ndugu ramadan
@rosemaina4500
Жыл бұрын
Huyu jamaa siku ya mwisho atajitetea akiwa pande gani??? 😂😂😂😂😂. Ulimi hatari...
@naimaabuualii578
2 жыл бұрын
Shekh Ramadan kuria ww kweli chizi et utatuambia wali kukumuta 😂😂😂😂😂😂nimecheka duuu jaman mapk natamani nilie na hivi vituko Hawa watu wanao abudu
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Walimkung'uta vibaya sana kama walivyoandika
@abuukishkiassalafiyyukishk6211
2 жыл бұрын
Plz dada ucmuite ustadh chizi ni makosa makubwa sna wallai ucrudie tena kumwambia hivyo ustadh Ramadhan
@abdulysufiani3387
2 жыл бұрын
Mungu awaongoze
@newonezik8611
2 жыл бұрын
ASALAM ALAIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATU YARAB ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA YAARAB AMIIINN MA CHEKH WETU ALLAH AWALIPE JANATUL FIRDAUS AMIIINN YAAARAAABB
@hythamhashiem4458
2 жыл бұрын
اللهم آمين
@am_fashabi3888
2 жыл бұрын
Msomee aya za Qur'an za adabu ya Allah huyo yesu mweusi amche Allah na insha'Allah Allah atamtia khof
@saidyssaley1509
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 yesu mweusi
@Salachou
2 жыл бұрын
Inna lilah wa ina ilayihi rajiun. Allah atupe mwisho mwema.
@thechairmanbarrybenson6312
2 жыл бұрын
Mambo ni live western kenya...alhamdulilah feenihmatul islam
@uwesusaid5334
2 жыл бұрын
Dawa hii Kali aise Mungu MTU 🇹🇿
@اللهأكبر-ذ7ث3س
2 жыл бұрын
Subhanalla jamani waislam tunakazi kubwa na jukumu kubwa kwa Allah SW .....hee uyo ndo yesu jamani? Mbona uyo yesu wa uongo anabibilia chakavu na mbovu? Mbona uyo yesu kawa mweusi jamani? Ulikuaje ata awe mweusi? Hee mitihani
Innah lillah wa innah lillah rajiun, Ramadhan Allah awaongoze.
@imansaid8020
2 жыл бұрын
Yaaan maswali ya ramadhani kwa yesu kwa kweli mpaka Mimi naona hayaa!! maana ni magumu!!
@gangmore9091
2 жыл бұрын
Yesu naona anatamani maswali yamalize😅🤣
@hythamhashiem4458
2 жыл бұрын
Huyo yesu hajuwi hata kusoma hio bibilia, naona Sheikh Ramadhan anatowa ayah na manabii wa yesu wasoma lakini yeye yesu mwenyewe huwa hajuwi ni page ipi wala hajuwi ni namba ipi
@shifaazawadi4438
2 жыл бұрын
Aulizwalo silo ajibulo
@wamugimohammed3848
2 жыл бұрын
Huyu hajibu anayo ulizwa ?😂😂😂
@binmakka8693
2 жыл бұрын
*Allah Tupe Mwisho Mwema Amiin😁😁😁*
@aminaomar3807
2 жыл бұрын
Astaghafirullah subhanallah mmmmh afadhali ucheke sheikh ramadhani maana ni msiba huo..Allah awaongoze insha Allah maana wapo kwenye giza
Пікірлер: 271