Nimefurahi sana mimi ni askofu Rev, David Samson ndaki, Huyu ni baba yangu wa kiroho na kimwili maana amenifikisha hapa nilipofikia
@CastoryKapinga-nb7ht
Жыл бұрын
Aminaaa Sanaaa Yesu ni mkuu mno hajawahi kushindwa
@rahabnkya8276
Жыл бұрын
Kwa kweli Promover TV inatufundisha mengi. Kwamba waganga wachawi wanatesa wat u mno. Mchj HUYU amejieleza vya kutosha. Uchawi ni mbaya Mwinamila! Mchawi aliyeokoka na leo ni mchungaji. Barikiwa MTUMISHI.
@lilianachayo
Жыл бұрын
Mungu kaokota chombo chafu kasafisha kabisa, Mungu akutumie sana ewe chombo, uingie kule gizani, upokonye na kuteka upesi watakatifu walioibiwa na kufungiwa kwenyemashimo uko ulikokua awali, maana nuru uimekuanaza walelete nuruni kwa jina la yesu, aammeenn , Mungu bariki sana promova. ❤❤❤much love, from Kenya
@josephemmanuel388
4 ай бұрын
Mwina mila namjua uyu mzee kitambo sana alikuwa mganga mkubwa sana tabola isevya iyo
@laurentraphael5470
Жыл бұрын
Yesu wangu nakupenda sana. Kama sio wewe nisingekuwepo
@AlineMukunda-li8cv
Жыл бұрын
Amen Mungu apewesifa kwa wokovuwake
@maryeer6392
Жыл бұрын
Nasubiri muendelezo, hii ni kali 🇰🇪 YESU kristo anaweza🙏.
@nominetjacob8137
Жыл бұрын
Mchungaji ameeleza vizuri sana kwenye mambo ya nyota mtu ukitoka nyota yako hata kama iliibiwa ina achiwa kwakuwa upo na YESU kritor aliye hai ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@aimemuharabu3003
Жыл бұрын
😊😊
@isabellarkageha7707
Жыл бұрын
Yesu kristo ni mueza Amen
@mediavumbi9243
Жыл бұрын
Amin Mungu ni mwema kweli ubarkiwe sana
@ElipendoElias-no6ki
Жыл бұрын
Hakika Mungu akubariki mtumish wa Mungu,
@PaulDeus-jh7jn
Жыл бұрын
Amina Yesu ndiye njia nakweli nauzima
@Akinyisafi
Жыл бұрын
Amen Amen
@endlessloveofchristlovewor9991
Жыл бұрын
Yani wasaidizi wa mganga wa kiyenyeji na wanamajina ya kikristo , Paulo na Emmanuel. Kweli shetani ni mbaya
@Shempraise9947
Жыл бұрын
Amen
@mercykariithi7919
5 ай бұрын
Mwendelezo uko wapi?
@endlessloveofchristlovewor9991
Жыл бұрын
😂😂😂😂 huu ushuhuda umenichekesha sana yani nimegalagala chini na umenifanya nimpende Yesu zaidi.
@UsafiMichael-mc8kt
Жыл бұрын
Hakika halafu ni mzee kabisa ungekuta ni kijana wangesema anadanganya
Пікірлер: 22