Haki yako i karibu mungu atoe majibu ju ya kilio hiki nimefuatia sana maneno yako yamejaa haki tupu inatosha !!!!
@bishopaugustinempemba4561
3 жыл бұрын
Subiri Part 4 ili usikie zaidi
@allybihay9924
3 жыл бұрын
Wewe ndio ulikuwa unataka kuleta balaa Tanzania kwenye radio yako Kwa neema fm
@allybihay9924
3 жыл бұрын
Pesa zilikutia kiburi na ulipokusanya mke na watoto wako kampala na kukimbilia marekani tulikuwa tunakufuatilia sana
@ciciandjojo7701
3 жыл бұрын
MUNGU wetu ni mwaminifu saana. Yeye ndio JIBU; husiwe na wasiwasi Askofu. Atatenda HAKI tu. Tuendelee kuomba. MUNGU anasikia na anajibu maombi yetu🤲🙏
@fadhililihinda6491
3 жыл бұрын
Kwa mazungumzo haya kama ni kweli then mchungaji Mutashi anatakiwa ajipime kama anatakiwa kuendelea na utumishi, hi ni mbaya sana kwa mchungaji kumzingizia mchungaji mwenzake. Wakuu wangeutafuta ukweli ili haki ya huyu mtu ipatikane, hi habari ya kutaka hadi nyumba yake izurumiwe haijakaa sawa but again wachungaji including mzee Mutashi, tujue kwamba kuna mbingu pia zinatazama hili jambo, jambo kama hili halileti utukufu kwa Mungu hata kidogo, linadhalilisha kazi yake
@smarty1064
3 жыл бұрын
Haya mambo ya dini kuna watu wana fikra fupi sana, mbona kitimoto wanachinja wenyewe wakristo na wajua wap wakanunue kwann hakuna utata? hata hizo nyama za kawaida wapewe nafasi na bucha zao watu watajua hii imechinjwa kwa namna hii na ile imechinjwa kwa namna ile wote wakaishi vizuri tu!
@allybihay9924
3 жыл бұрын
Wewe ndio ulikuwa kinara ukawa unaitukana mpaka serikali
@cheupemwanga3326
3 жыл бұрын
Ohhjj
@allybihay9924
3 жыл бұрын
Kula pizza tu ugali na sato utazisikia tu
@jofreymusa4974
3 жыл бұрын
Mungu yu pamoja nawe m2mishi
@shadrackkavoi4514
3 жыл бұрын
Bado nafuatilia !!
@kennedyjohn6788
3 жыл бұрын
Nadhani kwahapo dola inatakiwa itende haki na mali ilizoshikilia iziachilie zikiwemo nyumba maswala yakuchinja nimatakwa yawananchi wenyewe
@allybihay9924
3 жыл бұрын
Kaa huko huko
@edmundykusena9728
3 жыл бұрын
Duh! Yaan hii serikali hii mmh sijuitufanyeje maana watu
@thomaskiponda9704
3 жыл бұрын
Kuchinja nini mtumishi?
@bishopaugustinempemba4561
3 жыл бұрын
Wanyama
@zuleyvendor6577
3 жыл бұрын
Tanzania hakuna haki.... October 28 tukampigie kura lisu tunataka mabadiliko kuna watanzania wengi sana wamekimbia nchi yao wako nje kwa sababu ya uonevu mbalimbali.... Munishi pia alisema amekimbia tanzania ni kwasababu alisema CCM imechoka basi ikawa shida serikali ya CCM imeumiza wengi sana
@msafiramos6905
3 жыл бұрын
We ni mpumbavu mfate sasa aliko wenzio wanaitamani Tanzania we Unaongea ugoro pamoja na uyu braza unaejiita asikofu mpemba
@katelembasha1526
3 жыл бұрын
Tunamwaminia sana rais magufuli bila shaka hili atafatilia na ukwel utabainika tu.rais magufuli ni MTU wa watu, tafadhali mhe, rais msahidie huyu askofu
@zuleyvendor6577
3 жыл бұрын
@@msafiramos6905 mpumbavu ni ww uliyekuja ku reply comment ya mpumbavu
@msafiramos6905
3 жыл бұрын
@@zuleyvendor6577 mnatafta kiki kwan Raisi ndo anakubaliana na huo ujinga wenu na mpemba bora mmfunge midomo yenu
@zuleyvendor6577
3 жыл бұрын
@@msafiramos6905 mm sijamtaja rais ndugu nimesema CCM imechoka itoke madarakani ni mchaka mchaka tu this year
@doreenkissia1087
3 жыл бұрын
Tunafatilia baba askofu.
@shadrackbudodi43
3 жыл бұрын
Tuna zidi kupata ufafanuzi wa ukweli uliojificha kwa muda mrefu nilitamani sana kuujua ninge furahi sana mawakili wenye kupenda haki wafungue mashita juu ya Mutashi mbivu zijitenge
@msafiramos6905
3 жыл бұрын
Fungua wewe na uyo mpemba we kama akili zinakutosha tangu aanze kuongea huo ugoro wake anaemsemea mwenyew hana muda nae kaz kujicholesha tu ama kweli usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake Mutash baba piga kazi ya Mungu mpaka kieleweke na mbinguni tunaendaaaa
@samsonrichard4670
3 жыл бұрын
Msafiri unaandika upuuzi
@fadhililihinda6491
3 жыл бұрын
@@msafiramos6905 Kwa ushahidi huo anaoutoa askofu bado uwe mbishi basi huenda unaongozwa na chuki badala ya facts
@ciciandjojo7701
3 жыл бұрын
Mungu ni jibu. Anaona, anasikia na kujibu
@allybihay9924
3 жыл бұрын
Sasa kukaa kwako huko marekani unatamani kurejea nyumbani Lakini unaogopa Kwanini ukimbie kama ulikuwa huna tatizo a cha unafiki
Пікірлер: 31