Mkongwe Master....Kushoto ameka kuliya ameka kati kati pia....maoni nimengi
@AbuuMussa-pd1xo
3 ай бұрын
Yan nimesikia stroy nyingi lakin hii ni matukio ya hatar lakin msimuliaji anachekesha sana hhhhhh❤
@mwanaidimussa
3 ай бұрын
Watu wazaman walio sacrife maisha yaoo , wakiwaa wanasimuliaa wanaona kila kitu ni kawaida yaaan huyu amekutana na kila jaribu ndoo maan haogopiii na anaona kawaida tu
@aminmohammed4249
3 ай бұрын
Huyu jamaa ana stori tam kichiz😂😂 kuna episodes zake dereva mkongwe
@abdulshamte
3 ай бұрын
Kuna kitu sijakielewa kwa huyu mzee alisema ameanza kazi ya udereva mwaka 1984 kwa hiyo mpaka hii 2024 ni sawa na miaka 40. Na yeye umri wake kwa maelezo yake ni 48 kwenda 50. Ina maana alianza udereva akiwa na miaka 8 au 10.
@gilbaleticia
3 ай бұрын
Hata mimi nimejiuliza hivyo. Kwa stori zake ana umri wake sio chini ya miaka 55
Huyu Mzee sikubali kua ana miaka 48 hapungui 55 na kuendelea .
@rasulihamadi9733
3 ай бұрын
Kaanza kazi 87 sikiliza interview yake wasafi tv kaeleza kila kitu
@abrahammichael642
3 ай бұрын
Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana
@deven.oauditx7547
3 ай бұрын
Story teller!
@rosekiria7986
Ай бұрын
Uyo mtekaji Carlos mbona kama ni wa nyumban kibosho uyo
@ErickChisanza
3 ай бұрын
Caros, mtu mbadi sana kipindi hiyo. Maisha bhana.
@MultiBice
Ай бұрын
😂😂😂😂😂nimekupenda bure dereva mkongwe
@simbarajabu4157
3 ай бұрын
Ongera sana mkpngwe
@MIKAJR14
3 ай бұрын
Mzee up smart xan😅😅😅
@Ryannkae
3 ай бұрын
M23 ni wanyarwanda waliyo ingia congo kama wakimbizi ila leo wanajiita wacongo na ndo waliyo aza vita Congo . Mfano wakimbizi waliyo toka congo walete vita tanzania ndo walivyo fanya hao watu andi leo tokea 1996 andi leo vita aviishi
@GeraldKamanzi
3 ай бұрын
Kwan ww iyo issue nan kakuuliza ufafanue hiyo issue ya m23 kawatoe uko congo kama unaweza
@chandeyusufu9570
3 ай бұрын
Mkongwe nakukubali sana mpambanaji unanifanya nami niwe jasiri
@Hillary_Daudi_Mrema
3 ай бұрын
Asilimia kubwa huyu dereva mkongwe anaongea ukweli. Nakumbuka miaka ya 2000 pale Mkoa wa Simiyu Bus la Nchambiz, Allystar na Mohammed Trans walikuwa na ushindani sasa Mohamed Trans akaleta Scania 95hp Marcopollo Andare wakumuwekea chumvi rejeter jamaa walikamatwa wakafungwa miaka 60 kila mmoja
@Brilliant-k2k
Ай бұрын
Kipindi icho Mohamed Trans ndio alikuwa amekamata njia hizo baadae akaja Mombasa Raha
@ngayaimkwe5175
3 ай бұрын
Stori yake inatusisimua sana
@KitangariGenerations
3 ай бұрын
Mzee anafurahisha sana huyu
@theresiamwandara7990
2 ай бұрын
Wanaume mnapitiaga mengi sana kiukweli
@aminathaabubakarmasoud565
3 ай бұрын
Anachekesha 😂😂😂😂😂nimempenda sana huyu dereva 🎉
@lumistarboy8499
3 ай бұрын
Ni hatari sana
@derickdboy2207
3 ай бұрын
Dah mzee anaongea Kama masihala lakn ni mateso ya udereva 😂
@hassanmsangi6432
3 ай бұрын
Jamaa angeandika kitabu ingekuwa vizuri sana
@MichaelTemba-n3p
3 ай бұрын
Mzee napenda stori zake sana mwamba kabisa
@fredyjunior6961
3 ай бұрын
Dere ana mastery very interesting
@hamzachiute619
3 ай бұрын
Huyu jamaa anajua San .. kila nikimchek namwona Sky mtupu ..
@Brilliant-k2k
Ай бұрын
Me nimehisi ni mdogo wake maana anamfanana sana sura mpaka na kuongea
@ngayaimkwe5175
3 ай бұрын
Hii intaviuuu tumekubali sana rudieni
@YudaGerard
3 ай бұрын
Huyu kasahau au kasema kaanza udereva mwaka 1984 na sasa anaenda miaka 50 inamaana alianza kuendesha mabus kama alivyosema akiwa na miaka 10!?
@SalmaBinyaga
3 ай бұрын
Mnapenda kuwa serious na Miaka ya watu😂
@mcback4384
3 ай бұрын
Muongo kichizi
@jeconiamlonganile2443
3 ай бұрын
Dereva mkongwe huyo wa Lukumburu anaitwa MTALIKIDONGA😂😂😂😂
@aidanmbilinyi8184
3 ай бұрын
Mnawek na tuvinywajiii
@capatinaugustingatari
Ай бұрын
Wewe acha uwongo hao wanajeshi wa M23 walikuteka lini?
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu
3 ай бұрын
Nilikuwa nabishana naye,akiwa mtaani. Kumbe yuko huku
@mzamilyginga7321
3 ай бұрын
Mungu amuweke huyu mzee amfungulie rizk
@muregofelix8328
Ай бұрын
M23 sio kweli waombe maandazi na mchele hao ni FDLR magaidi! M23 sio magaidi hao ni jeshi la Congo kaka na marafiki zao wauaji
@stewartmsamila5691
27 күн бұрын
duh yupo vizuri sana😂
@giftpeter9118
3 ай бұрын
Sauti kam y dj ommy
@Odundochristian
2 ай бұрын
Wapi season 2 bana?
@vediowkiritasi3163
3 ай бұрын
Huyu jamaaa ni Story teller mzuri
@Brilliant-k2k
Ай бұрын
Ana kipaji cha hali ya juu sana
@HamisSaid-fs9ev
3 ай бұрын
Good 👍
@zanlec7357
3 ай бұрын
SNS muko vizuri mno katika mahojiano Tz hii hamna mpizan. Kwanz hamueki sauti yyte ya Music hivyo hata sisi watu dini nafsi ziko na Amani sana kusikiliza bila ya kupata Maudhi yyte. Pili mnahoji vizuri mno
@sarahdeograthias9097
3 ай бұрын
Waooooooh
@fabicshofficial
3 ай бұрын
Kali hii 254❤
@ZiyandaMhlana
3 ай бұрын
Jama namwaminia
@KurusumuMatola
3 ай бұрын
😂😂😂😂dah huwa mafurahi na kicheko sanaaaaaa napomsikiiza huyu mzee
@MwalimuMachariaT.v
Ай бұрын
Watching from Kenya though can't get all Swahili used 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@alextz5877
3 ай бұрын
Dahh uyu ding serikali imwangalie kapambana Sana changamoto nying
@alsam4881
3 ай бұрын
Huyo dereva anasema alianza kazi ya udereva kuanzia mwaka 1984 ni miaka 40 iliyopita ,na sasa anasema ana miaka 48 ina maana alianza kazi ana miaka 8???
@ernestjophreymalaba3374
3 ай бұрын
Mzee ana miaka zadi ya 48 huyo , nadhani lengo ni kulinda ajira yake tuu 😂
hapo kidogo ktk umri kuna utata ameanza udereva mwaka 1984 na sasa anasema Ana umri miaka 48 inamaana amekuwa dereva na umri miaka mi8 kweli ah mzee fix
@kassimayoubmohd6313
3 ай бұрын
Umri wake utakusaidia nn
@SalmaBinyaga
3 ай бұрын
@@kassimayoubmohd6313hata me nimeshangaa
@Brilliant-k2k
Ай бұрын
Watu wa zamani walikuwa hawajui miaka yao wengine wamezaliwa majumbani hata makadi ya kliniki hawana so take it easy
@saliieking7279
3 ай бұрын
Huyo ndio ba mkongwe
@wycliffatambo3614
3 ай бұрын
Hey. Napenda similitude za Babu sana. Nipe number yake nimsalimu.
@stewarthoulreennasri4159
2 ай бұрын
Ana jina la stance za karate😂😂😂 dereva mkongwe nouma
Пікірлер: 382