WAZIRI Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ameimwagia sifa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na kuwataka watendaji wa makao makuu, mikoa, wilaya pamoja na wasimamizi wa miradi ya Umwagiliaji inayoendelea kutekelezwa maeneo mbalimbali nchini kusimamia ujenzi wa miradi hiyo kwa weledi na uaminifu mkubwa ili thamani ya fedha zinazotolewa na serikali zitumike kuwanufaisha wakulima ambao ndio walengwa wa miradi hiyo.
Mhe, Majaliwa ameyasema hayo mara baada ya kushuhudia utiliaji Saini wa mikataba 20 ya ujenzi, ukarabati, upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kati ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wakandarasi 11 walioshinda Zabuni.
..............................................................................................................
#01trending #tanzania #umwagiliaji #kilimo #kilimobiashara #kilimochaumwagiliaji #MAKALA #story #storybook #ikulumawasiliano #DktSamiaSuluhuHassan #Rais #agriculture #agranews #agranewstoday #agricultural #agronomia #agroecologie #agriculturelife #agriculturalmachinery #kilimoufugaji #agrieconomy #kilimo #trendingtanzania #ikuluzanzibar #ikulutanzania #ikulu #ccm #ccmtz #chamachamapinduzi #agrfilms #agrf2023 #cnbctv #cnbcnews #kbcchannel1 @TBC_Online @ikulutanzania255 @globaltv_online @kilimotv1730 @millardayoTZA @uhondotv5210 @WatchTanzania @Channeltenonline @CLOUDSMEDIA @chamachamapinduzi-official2767 @CNBC @CNN @bbcswahili7924
Негізгі бет NIRC YATIA SAINI MIKATABA 20 UJENZI MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI
Пікірлер: 1