Ahsanteeeeee sana Makonda. Ubarikiwe sana na Bwana Yesu.
@HebronMwakyambiki-uq6cf
10 ай бұрын
Makonda nakufananisha na Baba magufuli nakupenda bule kaka mungu akusaidie
@gloriamwalongo3661
7 ай бұрын
Barikiwa sana makonda
@alexanderdustan8872
10 ай бұрын
Ata mimi naapa sitamsaliti Magufuli Jpm alinifundisha mengi kuhusu maisha. Yaani kiufupi alinifundsha kujiamin
@mushumbaeric4916
10 ай бұрын
Naungana nawewe kwenye kiapo sitamsaliti Magufuli nitampenda mpaka siku ya kuhama
@NgunoSangano-j2q
15 күн бұрын
Makonda hakika unaweza uko zaid ya kaz uliyo nayo mungu atakuinua zayid hakika wewe uwe rais wetu
@gloriamwalongo3661
7 ай бұрын
Asante makonda
@JacobWilson-q9c
9 ай бұрын
Asante sana
@Worldunite
10 ай бұрын
Kamanda kuna watu walijisahau na waliamini kuwa umeshatoweka, yaani walikukana na walikusakama sana wakati ulivyochomoka serikalini hadi walitaka kukufungulia mashitaka, Sasa ni wakati uendeleze mapambano dhidi ya wabadhirifu na mafisadi na uwatie adabu waliokuwa wanakusakama
@nyandaephraim4039
10 ай бұрын
Asante sana kututembelea na kumkumbuka mwamba wetu dr JPM❤
@MsumalAloyce
2 ай бұрын
Ww ndo mwanaume
@user-ni9zc3gx5t
5 ай бұрын
Uyo ndo mwl wko na tunakupendaa kwa sabbu ya Hilo ww ndo magufuri no 2 tuna Imani na ww
@lutegobusweru5949
10 ай бұрын
Naungana na wewe hata mm nitakuwa wa mwisho kumkana JPM 😭😭😭
@jofreysaimoni4964
10 ай бұрын
Unasemaje kuhusu bandali magufuri namama yetu samia
@jacksonstephano8570
10 ай бұрын
Makonda Taifa hili hua lina maajabu hasa watu wake ushauli wangu hakuna haja yakuwa na vyuo maana eti mutu hutoka chuo kikuu anakuwa mwizi Je? Vyuo vikuu vya Tanzania hutoa kozi ya wizi.
@josephmturi6936
10 ай бұрын
Kazi ipo 2025
@RebekaWitale
10 ай бұрын
Malinda ziarabunda
@kephamapogo5333
10 ай бұрын
Uchu wa madaraka,uroho kujipendekeza,ulafi na upigaji Hata wewe wakati hujateuliwa walikusema vibaya kweli leo wanakuita mh. Waambie hiyo habari yao ya mitano tena waachane nao wasubiri fagio la chuma
@japhethsambu8687
10 ай бұрын
God bless man
@mosesmzakwe7774
10 ай бұрын
Nau Hana wewe Sitamsaliti JPMagufuri kamwe mpaka Mwisho wa Maisha yangu. Ulizaliea kuwa Kiongozi na kuwafundisha wasiojuwa kuw Kiongozi.
Пікірлер: 21