Namuombea mtoto wangu Johnson nanyeye awe kama nyie kaomba aende semenari ya mauwa
@joyceandrea2476
10 ай бұрын
Nawakumbuka fltr wa familiay takatifu ya kahama seminar wakiimba tukienda kuwatembelea nawapenda sana tena sana ❤❤❤❤❤mungu awape hitajila miyoyoyenu watoto wazuri
@iliwawenauzimamedia1806
9 ай бұрын
Asante, Tunaomba usisahau ku-share, ku-like & subscribe kama bado
@edefridalivigha6049
7 ай бұрын
Mm kila nikijarbu kuudownload unagoma
@alphoncemahinya6068
3 ай бұрын
Pongezi tele mwambie Organist afike pale dukani Achukue Pepsi nitawasiliana na Bwana Du😀😀😀😀😀. Grateful for updates and congrats to the brothers
@iliwawenauzimamedia1806
3 ай бұрын
Asante sana Br, hili goma sio la nchi hii
@williadiusbuberwa6730
5 күн бұрын
Hakika Utume sio utumwa Utume ni wito
@joyceandrea2476
10 ай бұрын
Hongereni sana jamani naupenda sana huu wimbo umebadili mashayangu
@user-zp4ds4uv4h
8 ай бұрын
Hongereni sana Jamannn naupenda sana wimbo uwo unani barik sana ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@PadriGray-fs2dg
3 ай бұрын
Hongereni sana wimbo mtamu kwanza aliye kwa kinanda Mungu ambariki
@CalistusGesaka-tp7cj
8 ай бұрын
May Good lord give you strength courage and perseverance in his vineyard
@christinebaraza7026
2 ай бұрын
Wimbo uliobora, Mungu awabariki ndugu zangu🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@renamalima5558
6 ай бұрын
Ooooh Masokola G.... sensational talent
@iliwawenauzimamedia1806
6 ай бұрын
No doubt
@lydiaalex5137
4 ай бұрын
Mwanangu halali bila ya huu wimbo Mbarikiwe sana Nimejifunza ni wimbo ambao unatafakarisha sana
@violetrwechungura3657
Ай бұрын
Mungu awabariki Frt kwa majitoleo ya kueneza injiri
@juliusbedda4405
10 ай бұрын
Congratulations to you brothers!!
@user-mf8ry1yg5g
8 ай бұрын
❤🎉❤❤❤ongereni sana ukweli kanisa letu limeba likiwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@marcoemmanuel3342
9 ай бұрын
'Bis Orat qui cantat' pongez kwenu kwa sababu Sala inayosemwa kwa wimbo ni 'waridi' la upendo na Imani.
@iliwawenauzimamedia1806
9 ай бұрын
Kabisa kabisa
@LeynahRespicius
10 ай бұрын
Kuna baraka hasa kupitia uimbaji, hongereni sana 🎉
@iliwawenauzimamedia1806
9 ай бұрын
Asante sana, Tunaomba usisahau ku-share, ku-like & subscribe kama bado
@tempochoir
12 күн бұрын
Hongereni sana kwa utume Mungu awalinde 🙏🙏🙏
@pancratiusmocherenyamira9679
2 ай бұрын
Wimbo mtamu kweli,...Leta full #Tuwasikilize
@rachellyoba3703
10 ай бұрын
Nice song! Glory to God
@MiriamMilanzi
Ай бұрын
Mungu wa mbinguni awabariki sana watumishi wa Bwana
@merinachalinze-rn2cc
7 ай бұрын
Natamani hata ningepata mtoto wa kuwa kama nyinyi
@AndreaKasoliwe-kd1zt
3 ай бұрын
😅😅nipo hapa
@jacqulinebetrod804
Ай бұрын
Hongeren Jesh la Mungu👍
@almachiusrweyongeza270
4 ай бұрын
Brother Masokola🎉
@ediuskatamugora4052
6 ай бұрын
Masokola yuko na kipaji
@iliwawenauzimamedia1806
6 ай бұрын
Ni next level aloooo
@ZipporahMoogi
2 ай бұрын
Wimbo mtamu Sana mungu awabariki
@joyceandrea2476
3 ай бұрын
Mm ni mtumishi wa bwana
@MerinaMgunda
2 ай бұрын
❤️❤️❤️much love to catholic😊
@TeddyMrosso
3 ай бұрын
❤❤❤ so nice God bless you ❤❤❤❤❤❤❤
@MoraahOyagi
Ай бұрын
Pongezi 🎉
@LightnessAloyce-vg3bi
Ай бұрын
Tunashukuru Sana kwa utume ❤
@Andrewswela
22 күн бұрын
mwamba masokola nakubali
@AncillaMayo
Ай бұрын
May the.Almighty God bless you all🎉
@MARYTEMU-ri9dz
2 ай бұрын
Mungu awatunze mafrateri wote
@judithngusi7119
4 ай бұрын
May God bless u
@mbairevirginia6009
Ай бұрын
Beautiful song
@ambroselugezi2187
3 ай бұрын
Mbarikiwe sana
@TeddyGwao
3 ай бұрын
Nawapenda sana
@LAURENTPILIMINI
Ай бұрын
Wimbo umenisusa jamni
@rosemarydioclee8973
5 ай бұрын
Nice song
@deodatachaboma
Ай бұрын
Nic song❤❤❤❤❤❤❤
@Suzana-l7n
6 ай бұрын
❤❤❤❤
@oliverwabwire2836
5 ай бұрын
Safi sana ❤
@Samsonmarco784
3 ай бұрын
Vizur
@alfonsimwalongo942
2 ай бұрын
Nikiw seminary ya kilocha nilipenda sana kuimba wimbo huu😂😂😂😂
@piusnkwale
Ай бұрын
Hizi nyimbo zilikua zinainua sana wito. Nakumbuka lighano seminary siku ya kwanza tuliimba ule mwingine nimtume nani
Пікірлер: 58