Umenisaidia sana ktk somo lako hili.kwa ss mahusiano yangu yanaweza kuboreka.
@fikikenya1401
Жыл бұрын
Thanks sana Kaka
@SilasShopinvestment
3 ай бұрын
Anataka pesa ambayo anajuwa hauna umfanyej xx
@saimonijonas1471
3 ай бұрын
😂😂😂
@Officalmomo-v4u
Жыл бұрын
Najifunza
@timothmarko132
7 ай бұрын
Role of giving
@patricerehema7045
Жыл бұрын
Betrece rehema all comets is good resons
@judithnjunwa6668
5 жыл бұрын
Jamani hiyo ponti ya pili nimeipendaa,(APPRICIATE)MUNGU BABA tusaidie
@roselineombati670
Жыл бұрын
Yote yanasaidia Bro
@paulsimon9171
2 жыл бұрын
Joel nashkr snaa kwa som nzuri nimeipenda kbs
@josephatybennedictor5396
2 жыл бұрын
Kaka uko vizuri sana na nimependa Jin's unsvyo elekezaa👍👍👍👍
@judithnjunwa6668
5 жыл бұрын
hahaha ati mahusiano kama mko polisi, no jokes,,,,,,hiyo kali tubadilike jamani wasomaji
@meshackngadango6855
5 жыл бұрын
Kabisaaa!
@bernadetachari7648
Жыл бұрын
Asante kwaushauri wako kwaninajifunza kupitia kwako mambomeghi sana mughu akubariki
@mkundemfinanga2150
2 жыл бұрын
Asante
@beninowariro1380
3 жыл бұрын
SEEK TO UNDERSTAND IS HELPFUL FOR ME
@successpathnetwork
5 жыл бұрын
Great job my brother Nanauka. Kwamimi ningetilia mkazo sana hilo la "MOYO WA KUSAMEHE" kwani nahisi jamii ya leo imevurugwa sana kiasi kwamba wengi wanajikuta tu wanakuwa watu wa visasi na kuishi na vinyongo "automatically". Lakini mambo yote sita ni full package ndugu yangu. Let's keep this spirit moving. One love
@fatumaally3266
5 жыл бұрын
Yeah actually
@joshuachristopha6910
2 жыл бұрын
Nimepata mengi sana. Ko sina budi kushukuru kwa mafunzo yako.tatizo langu ni Moja najikuta napenda kufwatilia mambo madogo ya mwenzangu kiasi kwamba yananikosesha amani Hadi siku mbili bado sijaweza kumsamehe. Naomba ushauri wako.
@kizazijeur7518
2 жыл бұрын
Shukran san mr "JN" somo limenijenga sana
@ramadhanalmashamza3458
Жыл бұрын
Asante sana brother kwa elimu nzuri kwangu mimi njia zote naona ni njia nzuri na naimani zitanisaidia ....ubarikiwe brother
@abdullatifomar111
2 жыл бұрын
Kwa upande wng yte yamenisaidia katik kukuza mahusian yng
@alikhamis6326
2 жыл бұрын
Shukran sana kaka masomo yako vizur hongera kwa hilo
@madusadusa4851
3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Mungu akupe Maisha malefu
@DamianJulius
6 ай бұрын
stay connected about at least 15 min nimeichukua hiyo
@paskomnara9004
2 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka hongera nimekuelewa
@keshenimoshi9113
5 жыл бұрын
Barikiwa Sana Kaka mkubwa, unajua hiyo n5 kwa kweli, inaumiza Sana mwenzako anakukosea then haoni kama kakosea, anaona yupo sawa. Hata akiomba msamaha yaani the way anavyoomba msamaha haikugusi wala haioneshi kweli anajua kakosea anajutia kosa lake na anaomba msamaha kw dhati. Utazikia "basi nisamehe" au "si nishakuomba msamaha" inaumiza Sana kwa kweli.
@valishagetrude203
2 жыл бұрын
Thanks Joel this has helped my day
@esteralex6408
Жыл бұрын
Mbona mm nakuwa na hasira sana KWA mtu ninaempenda nikaona tuu hanijibu jumbe ninazomtumia yaani nawaza mambo mengi sana sijui napenda sana mm kupitiliza sijajua hebu nisaidie hapo
@saimonijonas1471
3 ай бұрын
Unatakiwa usaidiwe kwenye Saikolojia yako ya mahusiano.Unadalili yakuwa ulisha umizwa sana.
@raheemaaaaa3156
11 ай бұрын
Zote kaka nimezisikiliza ila mpenzi wangu hana hata moja ,,,,, jee kaka nifanyeje na mm nampenda❤❤
@ramadhanhamis4839
8 ай бұрын
Hahaha
@saimonijonas1471
3 ай бұрын
Mwisho wa yote ishi nae hivyohivyo madamu unampenda.Mengine hayo ninyongeza.Siku upendo ukikuisha hautauliza unafanyeje.
@frankmsangi
Жыл бұрын
Unasoma sana broo Mungu akubariki sana 🙏 duuh sio poa haya mambo hayapo kabisa darasani lakn tunayapata kutoka kwa broo Joel Aisee kusudi lako linagusa maisha yetu broo
@teddytonny2182
5 жыл бұрын
Mawasilino yamekua changamoto Sana kweny mahusiano yang Af mwenzang hajar najskia vibaya sana
@saimonijonas1471
3 ай бұрын
Dadaangu umenichekesha sana.Mahusiano mazuri ni ya mtu na Mungu. Mengine haya tunaishi kwa Imani tu.tena imani ya mashaka .Pole sana.
@johnmagubo4269
Жыл бұрын
Bro Joel mm yotee yamenikuta aswa swala la kusameh mwenzangu ni ngum San kusema samah .
@linahlymo7285
5 жыл бұрын
Good kaka joel unanikuza vema tufundishe nn wanaume wanapenda kaka
@LaoMeddy
10 ай бұрын
Yote 6 ni yakuzingatia uko sawa kaka mkubwa
@abdulhassan5529
2 жыл бұрын
Hiki ni kichwa kingine..
@iamadritoh7345
2 жыл бұрын
BE FRIENDS is one of the best for me bcoz kwanza mahusiano yanakuwa matamu sana pia mnakuwa na uhuru fulani ivi na unakuja "automatically" tu na mnaishi kwa furaha sana.........THANKS BROTHER NANAUKA📢
@halimajuma4211
Жыл бұрын
Duh nimejifunza kitu maan mwenza wangu Ni mtu wakukumbusha vitu vya nyuma mm hua sipend
@hidayakisensi2747
Жыл бұрын
Ya 1 broh🙏🏻
@mnazaretinemi4203
5 жыл бұрын
Asante sna mwalimu wangu ninae kuelewa sana...vipi jinsi yakufufua mahusiano yaliyo vunjika na huku mmepeana ahadi yakuto kuingia tena kwenye mahusiano na mtu mwingine kwajili yakuumizwa
@zuhuraabdillah6941
5 жыл бұрын
Seeking understand is hard for me bt i will work on it to change my attitude
@valishagetrude203
2 жыл бұрын
I will seek to understand him more
@saidomari5909
5 жыл бұрын
Kweli kabsa Kuwa free ni muhimu kwa mke wako kaka Joel
@michaeljordan2558
5 жыл бұрын
haya yote ni sahihi kaka kama wanandoa wanataka kifo tu kiwatenganishe...live long.
@mwajumamwishehe3423
5 жыл бұрын
😃😃😁poris nafungwa 🙏🙏Asante kaka somo zuli
@deviijackii1293
3 жыл бұрын
Yaaan Joel mm kunamda nkifatiliaga makala yako nahic unanijua
@gedgermgema5686
5 жыл бұрын
ahsante na hongera ujumbe ni mzuri
@frankmsangi
Жыл бұрын
Asante Sana broo MUNGU akubariki sana kweny carrier yako Aisee unafanya mambo makubwa sana broo sijawahi ona Asante san kwa somo zuri My brother joe🙏
@editordominick6879
5 жыл бұрын
Yote yananiusu asante sana kwa somo zuri very proud of you and your team
@erickbakamaza8114
5 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tmuJtIarg3WLlo4
@msengisimoni2087
5 жыл бұрын
kuwa wamoja na kuwa marafiki,hii ndio njia sahihi
@wilsonkitundu8835
2 жыл бұрын
Me nmekuelew cn buroo asant kwa elem inayo wasaidi na wengne
@nevernicodem8420
5 жыл бұрын
waoooh asante sana brother,Mungu akubariki
@floramsacky3929
5 жыл бұрын
Ahsante sana Kwa Ushauri ila Kwa wale ambao wanaishi kama police na mfungwa tunafanyaje hapo
@tumainbeatus3282
5 жыл бұрын
nimejaribu kua mtu wa mambo yote hayo sita bt mwenzangu hajari lolote...nmeamua kumuacha ila moyo wang bado unamhitaji....sijui nimefanya jambo lisilo jema!???
@hadasuleimanhaji7823
Жыл бұрын
Kuomba msamaha
@hadasuleimanhaji7823
Жыл бұрын
Pindi ninapomkosa mtu
@faithkariri3213
5 жыл бұрын
Asante sana kaka. Mafundisho mema. Napenda kukusikiriza.
@mwanamkasihabibu9915
5 жыл бұрын
Sh Kaka nmefarijika kwa somo zur
@marrytofas8037
2 жыл бұрын
God bless kushukur u
@sikudhaniidrisa9220
5 жыл бұрын
We shall see each other at the top
@rkatotorkatoto8454
3 жыл бұрын
Asante nimekuelewa
@judithnjunwa6668
5 жыл бұрын
LOO! hata mimi na appreciate kwa mwl JOEL KUTUFUNDISHA MAMBO MAZURI HASA KATIKA SOMO HILI LA MAHUSIANO
@abdisuleiman5022
4 жыл бұрын
Hayo yote ni mazuri Sana nitayafanyis kazi
@johnluhwa8342
5 жыл бұрын
Sawaa kaka joel tunaenda sawaa
@petronyereresaliboko4047
2 жыл бұрын
Well
@sabatomjungu9727
5 жыл бұрын
Nimerejeha darasani , ahsante bro kwa somo zuri
@Ronaldo519
2 жыл бұрын
Boss Joel nakuelewa sana
@emmanuelodundo251
5 жыл бұрын
Mafunzo yako yameshaniongoza sana katika kazi zangu....big up sana kaka
@raheemamkambha6013
5 жыл бұрын
Asante kaka nimekuelewa, barikiwa sana
@samiajoseph4340
3 жыл бұрын
Hiyo no 5 na 6
@tinamlay3371
3 жыл бұрын
Pamoja sana professor joe
@nailaniyonkuru2560
Жыл бұрын
Interesting ❤❤❤
@emmanuelsebastian9630
3 жыл бұрын
Nimejifunza na nimeelea haswa na 3,4,5
@faithkhalima2798
Жыл бұрын
kushuru
@blaisenyangi8859
5 жыл бұрын
Nice 👍 video same like me in love
@sb-ey2sk
5 жыл бұрын
Nimekukubali Kaka upo vizuri
@janeflorencesajjabi1545
Жыл бұрын
GOD BLESS YOU
@jumaramadha3539
5 жыл бұрын
Thank you so much brother Joel nanauka.
@omarimusa2073
5 жыл бұрын
Aise..kiongoz wangu . somo zur ila katika mahusiano yangu..mm na perform yote lakin mwenza wangu..mambo matano ukitoa la kwanza huwa ndo anayo sana kama vile umemsema yeye. .duuh
@masanjamatinde8837
5 жыл бұрын
Kuwa marafiki inasaidia san
@atuenemsalilwa2548
3 жыл бұрын
kingine kujenga mahusiano sacrifice kumfanyia mwenzako mambo Mazuri anayoyafurahia ila yasiondoe utu wako
@judithnjunwa6668
5 жыл бұрын
jamani hiyo pointi ya 3 ni nzr,be blessed Joel
@manenolugendo6396
5 жыл бұрын
Mahusiono yasasa yanakua mabovu pale Wanawake wanapotaka haki sawa hujifanya wako buzy sana nakazi kuliko familia
@charlessulle8361
5 жыл бұрын
Umeongeoa jambo zuri kuhusu kwenye mahusiano na mtu mmoja kujiona kuwa yuko sahihi hataki kuelekezwa yaani ndiyo yuko sahihi especial some women. Imeshanikuta san hiyo. Ubarkiwe na Mungu.
@charlessulle8361
5 жыл бұрын
Japo kwa upande wangu naona hata ya kwanza nayo inatumika san
@issaamir7894
3 жыл бұрын
Huyu ni mm.ntabadilik now mn mm.ndo simuelew mwenzang at anigombeze vp
@jellyanna2790
2 жыл бұрын
Keep it up my broo
@estajustinian5585
3 жыл бұрын
Mm jambo lililonisaidia Ni kuomba msamaha
@rahemahrahemah2719
5 жыл бұрын
Nikweli Kaka Joel m2 akikukosea hata kuomba msaha hawezi anakaa kimya tu hii inaniumiza Sana
@davidedison4450
3 жыл бұрын
akinyamaza achana nae
@eliezermtokoma2057
5 жыл бұрын
asante saana kaka
@nassraomar144
2 жыл бұрын
Mm nakuoa moga sana ninapoongea nae yaan nashindwa hata kuongea zaid ya neno nakupnda sjui unawez ni saidia kwa hili
@nemencembale5641
5 жыл бұрын
Very helpful....God bless you
@stephahObimo
5 жыл бұрын
Nikweli my brother
@kelvinbernard5453
2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu
@eriakimumarwa4413
3 жыл бұрын
Maneno mazuri sana
@mariamerasto1740
3 жыл бұрын
Nakukubari sana
@dannymziwanda6944
4 жыл бұрын
Asante sana
@issabosha835
4 жыл бұрын
Kushukuru
@blessedman1163
5 жыл бұрын
Be blessed sana brw Joel
@alimambabazi3666
5 жыл бұрын
asante sana kaka Joe .😁
@khadijajuma7142
5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka kwa kuendelea kutupa chakula cha ubongo,ila Duuhh kuna watu hawa siosamehe kwa haraka pia hua na tabia ya mawasiliano mabovu yaani , mawasiliano kwake sio lazima na tuko mbali mbali.AISEEE nimeamua kuchukulia kama ndo udhaifu wake.
@aishamohammed1957
5 жыл бұрын
Karibu mambo sita yote nayatumia na mahusino yangu yako strong sana naomba mungu yafike mbali zaid.....💕💕💕
@elizabethjohn7006
3 жыл бұрын
Kusamehe
@priscillahlemma7760
5 жыл бұрын
Thank you so much
@williamraymond3667
5 жыл бұрын
naitaji msaada mahusiano yangu mala kwa mala m simpendez mwenzangu asa namuingiaje ktk mambo hayo sita
@sesiliasanka5907
3 жыл бұрын
Mchumba wangu ana moyo mgumu wa kusamehe xijui nifanyaje
Пікірлер: 152