1.Nataka kupokea baraka yake Mungu, nataka kubatizwa kwa Roho ‘takatifu. Ju’ ya ahadi yake napumzika sana, aliahidi mimi kupata Roho yake. Sawa na bahari, sawa na bahari ni neema yake anileteayo. Anayenijaliza, anayeniponyesha, ni Mwokozi wangu. Asifiwe sana! 2.Kanisa lake Mungu linaipata mvua, vijito vya baraka vinamiminwa sasa. Furaha ya uzima ni kubwa kati yetu. Tuimbe haleluya! Tumshukuru Yesu! 3.Mawimbi ya wokovu yanatujia sasa. E’ Mungu, tunaomba: Ujaze sisi sote! Watakatifu wako watakasike sana! Tuimbe haleluya! Tumshukuru Yesu! 4.Mawimbi ya wokovu yaliyofika kwetu, E’ Mungu, uyatume ulimwenguni mwote, maelfu kati watu wapate kuokoka, waimbe haleluya, wamshukuru Yesu!
@godschild3720
9 ай бұрын
Amen mawimbi ya wokovu uyatume ulimwenguni mwote maelfu waokoke hallelujah
@faithnyaboke9872
2 жыл бұрын
Amina Amina.... Kwa hakika ni Neema yake anileteeaye... Hallelujah... Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@nelsonsalumu3064
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zako
@gracemd2072
4 жыл бұрын
Me too nataka kukupokeya mungu wangu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾be blessed David ❤️❤️
@lucyjafari9410
3 жыл бұрын
Ameena San 🙏🙏🙏😭😭😭
@mugisha.mugisha
3 жыл бұрын
amen
@nimmohnderitu
9 ай бұрын
Halleluyah
@kalisamichel6623
Ай бұрын
I love you David. GOD bless you!!
@muchirihenry3732
9 ай бұрын
Mungu awe nawe daima
@kalisamichel6623
Ай бұрын
Mungu akupe balaka
@angemugisha7056
Жыл бұрын
Hallelujah Amen Amen
@sifauwajeneza77
3 жыл бұрын
Amena hallelujah hallelujah
@raissabash
4 жыл бұрын
Na barikiwaka sana Kila mara nasikiyaka Mwimbo za Wokovu, ina inaimbiwa na weye. Mungu akubariki piya vile sana
@esperancefatu6487
4 жыл бұрын
Amen amen kaka yangu mungu atujaze zote🙏🙏🙏🙏🙏
@rafrafiki2585
2 жыл бұрын
Nakumbuka ningali mtoto iyo ndio nilikuwa na penda imbisha nyumbani wakati wa mahombi nyumbani. Nime barikiwa tena sana
@justusmutinda1870
2 жыл бұрын
Psalms 66:18-20 If I had cherished sin in my heart, the Lord would not have listened. But God has surely heard and answered my prayer. Praise be to God who has not rejected my prayer or withheld his love for me!
@akilikarafura6791
4 жыл бұрын
God bless you my brother Mtama kweli ume nibariki
@mugisha.mugisha
3 жыл бұрын
AMEN
@khalidnuru7985
Жыл бұрын
NI wimbo mzuri sana wa kumwabudu MUNGU
@wordsoflifeprogram7542
3 жыл бұрын
Nawaombea Baraka ZAKE Bwana! Upako wa Bwana na Uwezo wake Roho Mtakatifu viwe kwenye maisha yenu
@remigiuschilumba4685
4 жыл бұрын
Machozi yangu hayawi mbali nikisikiliza nyimbo za rohoni zikiimbwa na mtu wa rohoni
@emmahbooooo
3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeeeen🤝🤝🤝🤝🤝💪
@mbongoamini2648
3 жыл бұрын
God bless you dear David Imani !
@amitielukogo.2508
4 жыл бұрын
Amen men
@valorrugubira6016
3 жыл бұрын
Amen
@utafitiimanitv6641
2 жыл бұрын
Good
@bediansmunung1063
3 жыл бұрын
God bless you
@immaculeechance4844
6 ай бұрын
Mungu akubariki saaaana baba
@godschild3720
9 ай бұрын
Oh woow hallelujah this is powerful. Glory to you Lord Jesus
@daudmakolo5244
3 жыл бұрын
Glory,glory,gloooooory to Mightly God,halleluuuujah.
@jeromew.3720
4 жыл бұрын
What a wonderful swahili song!
@carolinemunene4673
4 ай бұрын
🙏🙏
@zephaniekambale7404
4 жыл бұрын
Asante sana nimebarikiwa sana Mungu akukumbuke
@shabskato593
4 жыл бұрын
Amen amen
@augistinchristophe3976
4 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka yangu David
@stevemunyao8227
4 жыл бұрын
Amina ndugu katika Kristo...Barikiwa.
@benyshematsi2821
Жыл бұрын
🤲🏽♥️💐
@emmymatigula4870
2 жыл бұрын
Halelujah Halelujah🙏🏾 🙏🏾🙏🏾❤ Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU BABA ALIYEHAI....
@jamesmuriithi6469
3 жыл бұрын
The song is powerful the holy ghost at work ,,,,,napokea sasa
@raymondcharles2550
2 жыл бұрын
VERY POWERFUL SONG!!!! GOD BE WITH YOU.
@amitielukogo.2508
4 жыл бұрын
Amen baba ubarikiwe sana
@manmsafi
4 жыл бұрын
Hallelujah
@apez8794
4 жыл бұрын
Amen 🙏🙌😇
@elvosmgang3790
3 жыл бұрын
Glory to God... Powerful
@brownangeldancers9563
2 жыл бұрын
Please where is your church located..am in Mombasa,Mtwapa. Be blessed.
Пікірлер: 60