Mama leo umeukosha moyo wangu mh magufuli mungu amrehem huko aliko
@ericksonmuhulo1570
Жыл бұрын
Daaah sijui nikupe like ngap maana kila nikibofya unapata moja tuu
@devothafredrick8093
Жыл бұрын
Atleast bado kuna watu wanaokumbuka mchango wa JPM.... Ubarikiwe mama kwa kunena ayo.. RIP JOHN POMBE MAGUFULI
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Hata isiposemwa ukweli uko pale pale kwa kizazi hiki magufuli was magnificent
@kassimrajabu56
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 alikuwa muuaji tu
@benisobenjamin1373
Жыл бұрын
@@kassimrajabu56 alimuua nani?
@kassimrajabu56
Жыл бұрын
@@benisobenjamin1373 baba ako
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
@@kassimrajabu56 wewe unasema hivyo
@ketonymbedule5363
Жыл бұрын
Wewe pekeako ndio unajua umuhimu wa mhemiwa magufuli Asante makinda
@emmanuelmayunga1518
Жыл бұрын
Mama Leo umeupiga mwingi,,SEMA mamaaaaaa hata wengine wakinyamaza wewe SEMA tu JPM is the best of all time
@ngwegwenurdin4318
Жыл бұрын
Seeemaa usiogope sema. Mama sema, seeema usiogope sema RIP MAGUFULI. TAIFA HILI BILA KUFANYA KAZI. TAIFA HILI TUTARUDI NYUMA KWELI.
@ngwegwenurdin4318
Жыл бұрын
Pamoja KI R.I.P J.P.M
@brysonmalongoza5422
Жыл бұрын
HAPA KAZI TU!
@wazirimlogi-pz9mc
Жыл бұрын
Ahsante sn mama kwa maneno yako yenye ukweli wote wa hasilimia 100 na mungu akuongezee urefu wa maisha,na mwisho R.I.P magufuli naamin mungu kakupokea🙏😌
@kasianimakolo3036
Жыл бұрын
Wewe mama Anana Makinda upo mpaka leo una afya njema kwa sababu wewe mama sio mnafiki mungu akulinde
@faumahona5769
Жыл бұрын
Kwaiyo waliokufa ni wanafiki au?
@godsonishengoma5378
Жыл бұрын
@@faumahona5769 n kwa 7b penye ukwel anasema.. S km wengneo wanomponda na kufifisha kaz za JPM alzozfanya.!
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@faumahona5769 Zwazwa😆😆😆
@AliAbdullah-oy6yo
Жыл бұрын
@@faumahona5769 🤣🤣🤣
@VenaEliki
11 ай бұрын
We unasema mashamba we umekuwa mbunge miaka 40 wengine wangefanya lini ubunge
@sabbob574
Жыл бұрын
CCM wamekuwa wanafiki sana. Lakini Mama nakupa heshima zote.
@patrinraura1397
Жыл бұрын
ASANTE sana Mhe Mama Makinda Tutazidi kumuenzi Hayati Mpendwa wetu Magufuli kwa mema yote
@Hancymtembo
Жыл бұрын
Millard hayo mashamba yako wapi?
@georgeshigela3643
Жыл бұрын
Mama umegusa moyo wangu ahsante kwa ulichokiongea
@marianmartin7483
Жыл бұрын
Asante sana mama Anna Makinda, RIP JPM mwenyezi MUNGU akuweke mahali pema peponi. Amina.
Asante mama Makinda wengine wamejificha kumsemea kwa hofu ya kutenguliwa.wewe una jiamini.Mungu atakulipa.
@saidimandala8342
Жыл бұрын
Legendary never die 💖we still remember J, MAGUFULI TRUE SON OF AFRIKA 🖤♥️
@augustuss4503
Жыл бұрын
Indeed, well said, gone but not forgotten.
@allyfarahani3029
Жыл бұрын
Hakika
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
@@allyfarahani3029 Hakika bwana Alli Magu alikuwa ni mwizi,Muuaji na muoneaji dhidi ya raia zake wanyonge.Tujadili.Magu alifukuza watu wenye vyeti feki lakini alipombiwa mbona MaKonda ana cheti feki alimtetea kinafki na hakumdukuza kazi.pia na Ben Saa Saa Nane alipomwambia Magu na wewe mbona una cheti feki PHD yako ni feki kama si feki twambie chuo ulichosoma,na Lectural wako ni yupi badala ya kujibu na kujisafisha matokeo yake alimteka Been Saa Nane na kimuuwa jee hiyo ni haki? Unafukuza watu kwa vyeti feki ukiambiwa na wewe pia unacho unaua.Hatari.Tuje kwenye rushwa kafukuza watu kwa rushwa.Lakini mpigaji wa mahesabu ya serikali CAG alipopiga hesabu ikulu akakuta ufisadi mkubwa wa Rais Mgu unajua ni kiasi gani upotevu wa hela ulioonekana ni billioni elfu moja na mia tano sawa na trilioni moja na nusu.hela iliotoka hazina kuu ya serikali na kuja ikulu.Hela hiyo ilipofika ikulu ikayeyuka yaani haikuonekana matumizi yake yametumika kwenye nini.Baada ya CAG KUWEKA WAZI UPOTEVU HUO MKUBWA WA HELA ,CAG ALIFIKUZWA KAZI TENA KINYUME CHA UTARATIBU.Unaonaje hiyo?Ni haki?Tundu lissu kapigwa risasi kisa kusema ukweli tujhawakumtibu wala kumlipa haki yake ya ubunge jee mtawala huyo ni wa wanyonge kama anavyojiita au ni mtawala katili na muonevu?Achilia mbali makundu ya kishenzi na kinyama ya watu wasiojulikana aliyoyaanzisha kwa ajili ya kuwashuhulikia wanaomsema na kutoa siri ovu za serikali yake.Na ndio maana alilifungia bunge sisi wanyonge tsione wala kusikia maovu yake vyombo vya habari havikua huru tujiulize havikua huru kwa nini?Bwana Ali usisapoti wala kusikiliza tu kila unaloambiwa.kuwa mtu wa kuhoji na kutumia akili yako.Usiburuzwe tuNi hayo tu.
@josephvenus3259
Жыл бұрын
Magufuri is in our hearts! We will still love him, even if we don't see him on fresh body!
@sheryphamwenevalley6124
Жыл бұрын
hakika mnyonge mnyongeni haki yake. mpeni Magufuli mpk ss hakuna wakumfananishe nae Tutampenda na kumkumbuka daima RIP jembe letu❤❤
@boniphacembus4192
Жыл бұрын
Huyu ndio mama anafaa kuwa kiongozi tena wewe ndio ulitakiwa uwe .......wa nchi
@zakaliajoseph7705
Жыл бұрын
Kabisa alkuwa mtu wa watu tulimpenda mnoo Ila watu wenye roho mbaya ndo ivyo wamemtanguliza 😭😭😭
@AmbroseGeorge-sm7ni
Жыл бұрын
Yesu akubarki sana mam kwakusema ukweli
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
Miaka 40 ndani ya ccm huo ndiyo umri wangu , na Nimelisikia jina lako ni kiwa mdogo mpaka dakika hii unavyoongea kuhusu jpm nahisi machozi yananitoka na ubongo kama unachemka jinsi nilivyokuwa nampenda jpm r.i.p jpm wetu mzalendo
@thinktwice7176
Жыл бұрын
SAWA JIWEE
@florianakhweso5749
Жыл бұрын
Asante sana mama kwa kuweka wazi kwamba tulikuwa na maraisi wawili tu ni Baba wa taifa na Magufuli tu wengine wote walichokifanya wanajua wenyewe
@emanuelbalama-el2jd
Жыл бұрын
Mwamba 1 JPM forever...!rest in power...., yaani mama umenibariki saana,,,kweli kinywa cha mzee hakisemi uongo.
@femmachroots2041
Жыл бұрын
Greatest of all time Rest In Peace ❤️
@andrewkaswagula3367
Жыл бұрын
Hakika ujio wa Magufuli ilikuwa ni siri ya Mungu... R.I.P John Pombe Magufuli
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
Ujio wa Makufuli ilikuwa ni siri ya Mungu? Mungu yupi huyo unayemzungumziya wewe?Maana Mungu ni mmoja tu na wa haki na wa upenda,huruma na wa pekeee. Tujadili sasa hivi kupigwa risasi Tundu lissu na kutotibiwa na kulipwa haki zake za ubunge kisa kusema ukweli tu kuiambia serikali ukweli hukumu yake ndio hiyo?Mungu wa aina gani anafurahishwa na uonevu na dhulma anayoifanya kiongozi dhidi ya raia wake? Jee ni Mungu gani anayeridhishwa na mambo ya kinyama wanayofanyiwa waja wake na vikundi vya kinyama na kikatili vya watu wasiojulikana kuteka watu,kuwalawiti,kuwabambikizia watu kesi za ugaidi,uhujumu uchumi na kuwauwa watu kimya kimya na kwenda kuwatupa bichi pwani wakiwa wametiwa ndani ya viroba ni Mungu yupi anapendezwa na hayo? Watu wameibiwa nafasi zso za udiwani na ubunge kwa nguvu ya dola,watu wamenyimwa haki zao za uwakilushi kwa viongozi wanaowataka badala yake mtawala Magu akawaita anaowataka yeye Mungu anapendezwa na hayo?Ukiwa unampendamtawala dhalimu na muonevu mpende tu mwenyewe usimshirikishe Mungu na Mtawala muuwaji na muoneaji.Yangu ni hayo tu.
@raphaelrespiciusi1127
Жыл бұрын
@@maulidimuhammed7851 uhujumu uchumi na ugaidi vipo tangu kipindi Cha Nyerere
@lupimokageba5577
Жыл бұрын
Magufuli was a gift to us from God.
@mselumonica3046
Жыл бұрын
Ahsante sana mama makinda mungu akubariki wewe ni msema ukweli na msema ukweli siku zote ni mpenzi wa mungu tumekuelewa
@modestamakoye9319
Жыл бұрын
Asante Mama hujaogopa kuusema Ukweli ni zawadi kutoka kwa Mungu tuliyaona mengi mazuri
@jitabojilala6162
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mama
@JoelKahuya
Жыл бұрын
True Magufuli kafungua ubongo watanzania wengi
@lydiagodfrey5959
Жыл бұрын
nimekupenda bule Mama maana umekosha moyo wangu kuhusu magufuli
@sundaydiga9296
Жыл бұрын
Rest in peace jpm.. nenda baba nembo yako itabaki daima
@josephatkiliko2546
Жыл бұрын
RIP JOHN POMBE MAGUFULI
@benjaminjoseph1747
Жыл бұрын
JPM forever kwakweli. Mama ameongea nimependaaa. JPM ametufungua macho. Well said. Ahsante mama Makinda kwa kuongea ukweli. Rest in peace John Pombe Magufuli
@angelamamboleo2204
Жыл бұрын
Mama makinda umeongea kweli kabisa
@mwanduelizabeth2282
Жыл бұрын
Umeongea pointi Sana Anna Makinda hakika Mungu alituletea Rais wa kuja kuvumbua yote yaliyokuwa yamejificha Mungu amlaze mahali pema peponi 🙏
@sallysafisanakijanakazibut1688
Жыл бұрын
Asante mama ana kwa kusema ukweli. Raising Magufuli alikuwa amechaguliwa na Mungu. R.I.P.
@marandoruzali1946
Жыл бұрын
Kweli mama umenena Rip Jpm
@allyfarahani3029
Жыл бұрын
Safi sana mama hakika umenena maneno muhimu sana, maana Kuna machawa Sasa wanajipendekeza Kwa mama Kwa kusahau mazuri ya Magufuri.
@alexmatt9504
Жыл бұрын
Hongera mama kwa hotuba nzuri sana na yenye maneno yenye mantiki,hizo kweli ni nondo hasa kwa vijana wetu.
@kambamazig02024
Жыл бұрын
Mama Makinda, tunakushuru sana kwa kumkumbuka na kumsemea vyema aliyoyafanya mtoto wa mwana wa Mungu ambaye ametutangulia mbele ya haki. Alale pema peponi na mwanga wa milele umwangazie.
@allyfarahani3029
Жыл бұрын
Maana serikali iliyopo naona inampango wakuipoteza Na kutotambua kabisa yote yaliyofanywa Na Magufuri.
@aishamtwana1323
Жыл бұрын
Msema kweli mpenzi wa mungu akubariki mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi amiin
@latwifsued3316
Жыл бұрын
Mama nimekupenda bure, umesema ukweli na umemtendea haki hayati magufuri,make wanamponda tu lakini kafanya kazi kweli. Mimi natamani mwezi wa tatu kila mwaka siku aliyokufa magufuri iwe siku ya mapumziko ili tumuenzi huyu baba vizuri. Asante sana mama.
@valenakomba9218
Жыл бұрын
ASANTE MAMA ANA MAKINDA. KWA KUONGEA UKWELI.
@daudimichael7338
Жыл бұрын
JPM "KATUFUNGUA MACHO" kauli ya Ana Makinda. Sawa.
@hawahabibu3881
Жыл бұрын
Nilivypkuwa mdogo nilikuwa naskia watu wakiimba Anna Makinda Likamandoo nilikuwa sielew maana yake big up mama🦾
@mashirimathias6006
Жыл бұрын
Huyu mama huwa na mpenda sana kwani huyu mama ni mkweli sana nakupenda sana mama yangu tangu nimeanza kukusikia mpaka kukuona sio mtu wa kubadirikabadirika
@salimalaquimane3077
Жыл бұрын
Miss you papa still love you papa I will love you forever papa 😭😭😭😭😭😭
@RobbyDejan1234
Жыл бұрын
Sad😢😢 r.I.p John
@Lewinglovbi6699
Жыл бұрын
Msema Kweli mpenzi wa mungu. R.I.P mzee wangu magufuli 😭😭😭😭
@stanleyamlima2085
Жыл бұрын
Mama samiaaaaa jembeeeeee
@adamdaudi6191
Жыл бұрын
Mama ameona isiwe taabu, kama ni noma na iwe noma, nadhani ndo kiongozi mwandamizi aliyeamua kumsifia JPM.
@angelaangelass9752
Жыл бұрын
God bless magufuli forever 🙏
@lidiasilwimba6759
Жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Asante mama Makinda kumuenzi baba yetu mpendwa.
@zikirination6769
Жыл бұрын
Hizi story Kuna watu hawapend kusikia SEMA ukwel utabak ukwel JPM is bulldozer ❤huwez shindana na JPM kbs ukubali ukatae level ya performance aliyo fanya ni big legacy 😊
@fredrickerasto349
Жыл бұрын
He will always live to us. May light lighten our country
@emmamga5495
Жыл бұрын
Hongera mama wewe sio mnafiki
@margarethsolomon9823
Жыл бұрын
😂Naisikia sauti "Nchi hii ni tajiri, sisi sio maskini, sisi tuna uwezo wa kuwakopesha wanaotutaka tukope".R. I P. Jembe Magufuli, aliyekumaliza ametuweza. Ulimgusa pabaya, leo yupo kazini kwa mgongo wa nyuma. Mungu anamuona. Tumerudi nyuma tulikotoka. Mama Samia pole sana, fanya unaloweza kwa msaada wa Mungu. Pesa tutaziacha lkn Nchi itaendelea kuwepo. Mungu atuhurumie. 😭😭😭
@didimhutila8985
Жыл бұрын
We acha tuu,mie sirudi Tanzania tena!jpm alikuwa mtu!bi kidude anazingua tuu!yaani anachota maji kwa kutumia pakacha?eti mie nakopa tuu pumbavuu zinakinga!😂😂😂
@mwanaishamande8880
Жыл бұрын
umeongea kwauchungu ukweli wako my
@latifachilala2015
Жыл бұрын
Umeongea wote samia yupo kwenye tabu
@marystambuli8045
Жыл бұрын
Asante Yesu, kumbe bado Kuna watu wanaotambua kazi alizofanya Magufuli. RIP JPM. Siyo Kama wale waliojaa lawama wanapambana na kivuli chake.
@liannsambu7264
Жыл бұрын
Wala hajatuweza kajiweza mwenyewe maana PUA zake hakuzigeuza kuangalia juu Bali zilibaki zikiangalia Chini , Niswalabla muda TU nakujakikishia majibu yaja ndugu , Tuendelee kusubiri na KUOMBA
@mathiasmanonga3939
Жыл бұрын
The hero was fallen nitamkumbuka sana magufuli bravo mr president RIP hero of Tanzania
@khamisbk8569
Жыл бұрын
MamAngu unasema maneno ya hisia sanaaaaa tena sanaaa....Ila angalia Kwa makini tunakupenda mamaetu
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
Ongea ukweli mama unaniliza Kwa speech yako
@saidramadhan71
Жыл бұрын
Mama Asante Sana mama umeongea mambo ya hekima ubarikiwe sana mama ana makinda
@anoldmkella
Жыл бұрын
Much respect JPM
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Mi nashangaa mnaomdharau MAGUFULI , kafanya KAZI kubwa sana kikwete ameongoza miaka kumi kafanya nini
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Alimpigia kampeni Magufuli kwenye uchaguzi huenda asingeshinda kuwa Rais angebaki mbunge tu usijitoe ufahamu kwa hilo kuhusu Kikwete halafu usiwaone waliobaki na watangulizi kuwa hawakufanya kitu maendeleo aliyakuta na ameyaacha ingekuwa hivyo wakoloni wasingeondoka tungewang'ang'ania kwa sababu walijenga reli, Barbara,Shule,hospitali, nk tuwaenzi na wao Hugo mama anasahau kuwa hiyo elimu yake aliipata wapi na wakati gani kwa gharama gani nani alimgharimia
@clarencemasaki4223
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mama Makinda
@davidmpiluka5224
Жыл бұрын
Sawa Mama. Tunamkumbuka JEMBE wetu JPM.
@marympango9247
Жыл бұрын
Yani nikiona neno magufuri...nasikia kulia tuu......munguu ampumzishee daimaa.......😭😭😭😭😭😭
@latifachilala2015
Жыл бұрын
Sio pekeangu Yani Kama tumefiwa na babaatu mzazi
@marympango9247
Жыл бұрын
Ni zaid ya baba mzazi..mungu anisamehe..sikufuru....ila basii........
@jarnskorelly464
Жыл бұрын
We never forgot you magufuli forever😢❤
@hamadsaburi3569
Жыл бұрын
Sema kweli mama ❤
@maswamills3161
Жыл бұрын
KWELI MAMA ,JPM Alikuwa SIRI YA MUNGU.!!! Dah!!!!! RIP SHUJAA.♥️♥️♥️♥️♥️
@goodmark1336
Жыл бұрын
Love you JPM💕❤️
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
Still love you brother💕💕
@janemisso9722
Жыл бұрын
Asante sana Mama Anna Makinda kwakuelezea ukweli huu, Mungu akubariki mno 🙏🏾🤔🤔
@fransicmushenyera9302
Жыл бұрын
mama nimekupenda bure wengine waogopa kutaja jina LA JPM asante mama
@jgraciousjo8429
Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki kwa hili kila binadamu anamabaya yake sababu sisi sio malaika mpaka tusikosee lakini..ukweli siku zote utabaki kuwa ukweli Magufuli aliitenda kazi na kwa mda mfupi ata watoto walitambua mabadiliko umeongea kweli tupu . Leo yanaendelezwa yale aliyo hayaacha japo wanayapiga mawe wakishabikiwa na wenye upofu wa akili..Asante Magufuli mwendo uliuchapa na kazi ukaimaliza. Ujasiri, ukweli na uchapakazi wako vitsishi mpk kizazi
@zachariamagesa7230
Жыл бұрын
Mama uko sahihi kabisa,watanzania kumpata KIONGOZI kama MAGUFULI mpka muujiza Wa MUNGU, wanaomdharau MAGUFULI hawana akili hata kama wana PHD. Mzee momoja alikaa America miaka 9, alisema ,kama tungepata maraisi kama MAGUFULI miaka 20 ilopita tungekua ni ulaya ya Africa. Ukwl utabkia kiwa ukwli,viongoz wote wapiga hela, MAGUFULI katuonyesha pesa inapokwenda ,lkn nchi hii ni tajri. Mama uko swa kabisa
@lucasmanyama2892
Жыл бұрын
Ni kweli kaka, elimu tulizonazo PhD, na zinginezo zimetupa ujinga tu vichwani
Asante sana mama umesema ukweli jpm pumzika kwa amani amina
@erentjohn8793
Жыл бұрын
Yani hapo hujaongea umehubili ukweli wa Mungu, hata mimi mdogo nimekuelewa Ubarikiwe.
@princebuganzilut2047
Жыл бұрын
Anna unafeli 40 years ubunge hujui pesa zimetoka wapi?? Rejoice with our Ancestors in our ancestral home JPM. Your light will never go Dimm
@richardnott4403
Жыл бұрын
Asante mama 😢bado huwa tuna umia sana na huu ufisidi wa leo
@reginarobert1914
Жыл бұрын
Ongera sana mama nimekupenda
@ikrissaidrissa8613
Жыл бұрын
RIP ❤️
@boniphacembus4192
Жыл бұрын
R .i.p
@thadeusmarkiminja2282
Жыл бұрын
Mbona uuko vzr tu usijisikie kuwa umechoka unaweza kuendelea kuchapa kazi mawaidha yako na maneno yako yanakubalika mama hongera sana.
@jasoniddi
Жыл бұрын
Nakubali 💯
@naslee1010
Жыл бұрын
I love you mama rest in peace jpm 😭
@augustinejobmkongwa7599
Жыл бұрын
Hakika Mama umesema Unashangaa Kwa nini Kuna wanasiasa wanabeza hayo yote.
@sebastiansalamba313
Жыл бұрын
Ukweli utabaki ukweli atakayekwenda kinyume na maono ya magufuri atakuja juta ni mwalimu kishafundisha somo limeeleweka hakuna wakudanganya Tena
@africanadastream
Жыл бұрын
Thank you, we will relay in other languages so more Africans can be aware of this.
@oscarkasalile3966
Жыл бұрын
Hakika mama nakupenda
@merckmdamu2942
Жыл бұрын
Mama watakuua hao😭😭 Ila nashukulu kwa kusema ukwerwako japo kunawatu wanaogopa kusema ukwer maana Wakisematu watafukuzwa KAZI ila wakibaki pekeyao ukwer wanajua JPM ndoalikua kiongoz bora wa nchi hii. Ila watakuua mama mengine jaribu kunyamazatu maana Taifa limebaki yatima Baba zakambo ndowanaitafunanchi kwa sasa Rip JPM shujaaa wa African 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@maswamills3161
Жыл бұрын
😭😭😭😭
@josephg.mwangamila4865
Жыл бұрын
Unaelewa vizuri sana. Hongera sana. Wengi sasa hivi wanashabikia kinafiki tu !
@eliasthomas1547
Жыл бұрын
Asante sana mama Anna Makinda.
@filbertfaustine7357
Жыл бұрын
Sijawahi kukuchukia hata kidogo 🔥🔥🔥🔥🇹🇿🙏🏾
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
Thanx my bruu l like Your comment!!!, r.l.p jpm wetu
@jumangulila6591
Жыл бұрын
magufuli tutakukumbuka daima
@oscarkasalile3966
Жыл бұрын
Hakika atakumbukwa mpaka dunia hii mungu anarudi
@jumannerajabu8259
Жыл бұрын
dah sauti ya radi imepotea wenye akili tutamkumbuka mpaka siku ya mwisho
@lianaelgomezulu2259
Жыл бұрын
Ukweli ni siri ya Mungu!! Tulipewe JP kama Rais kwa miaka sita,ashukuriwe Mungu
@theworldproof1221
Жыл бұрын
Hatoke kama Rais magufuli kwa ufanyaji kazi Jamanii hv kweli siku yake ya kumbukumbu tuliichkulia kawaida kweli ilitakawa tuiez hat kwa kufanya usafi najua kuna kiongozi siku mmoja atakuja kuenzi kisawa Sawa
@Elicesaidi-wo8cj
Жыл бұрын
Kwanza siku yake inafunikwa ili tumsahau huwezi jua ni kama hajawahi kuwepo hata cip zake hazirushwi kabisa ila ninaamini yupo mioyoni mwa watanzanzania na hali ya maisha inayoendwlea hakuna asiyemkumbuka hata wasiokuwa wanampenda
@princekagame8203
Жыл бұрын
Makinda safi 👍👍👍
@aloujouasumwisye553
Жыл бұрын
Mh.Spika staafu kweli umesema ukweli wa moyoni,nakushukuru sana mama Mungu akulinde kwa kusimamia ukweli japo wengine hawataki kusema huo ukweli
@wisehumphrey2812
Жыл бұрын
Ukweli huja polepole
@Elicesaidi-wo8cj
Жыл бұрын
Nawashangaa sana wanaoaimama kwenye vyombo vya habari nakutaka kupotosha ukweli na kutuaminisha kuwa alikuwa mtu mbaya wasitumezeshe sumu binafsi sisi wanyonge tunaujua umuhimi wa huyo mwamba kila kitu ukishika lzm umkumbuke😭
@festobosco6642
Жыл бұрын
Nimekupenda mpakabasi ningekua kalibu hakika ningekununulia milinda yabalidi umenifulahisha kabisa
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
Mirinda 2 liter anywe hiyo ndiyo itakuwa furaha Yetu r.l.p jpm wetu
@zenj1986
Жыл бұрын
Maneno yako yaandikwe kwa wino wa dhahabu. Magufuli apewe Heshima ya kuitwa Baba wa taifa wa karne.
@humphreyngallawa5630
Жыл бұрын
R.I.P .Our lovel J.P.Magufuli
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
Morogoro road ilikuwa Nyembamba kama ulimi wa nyoka, Yaan Tanzania imefunguka baada Ya jpm just for few Years
@lucasmlowezi9214
Жыл бұрын
Mama Anna Makinda ubarikiwe sana. Speech yako ni funzo kubwa sana
Пікірлер: 479