miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako
@huseinbusaba5064
Ай бұрын
🤝🤝🤝🤝
@ZakariaSimon-gp1gr
Ай бұрын
Wanauza mech wachezaji tena
@johnurio9151
Ай бұрын
Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa
@ahmedmpimbi9684
Ай бұрын
Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.
@kazembeally1619
Ай бұрын
Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.
@user-bj6lx9ss6n
Ай бұрын
Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.
@omarymwenebatu
Ай бұрын
Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.
@MoshiMrisho-e6m
29 күн бұрын
😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa
@MoiseMishenyimateranya
29 күн бұрын
Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri
@josiacharles2778
Ай бұрын
Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂
@osimtawa5392
Ай бұрын
Mzeee said 😅😅😅😅😅😅
@l.marley_2542
25 күн бұрын
Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage
@husseinmassawa7186
Ай бұрын
Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅
@PaulMuasya-z8c
Ай бұрын
Timu nzuri hii
@sajigwelunogelominga2446
Ай бұрын
Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki
@jamesmwita2995
29 күн бұрын
Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali
@saidjuma-j3r
Ай бұрын
Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂
@ToshNester
Ай бұрын
Hiki kipindi kizuri sana.
@Kabeya410
Ай бұрын
Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa
@ElizabethLukosya-lv2vf
27 күн бұрын
Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo
@slowclimbertothetop4572
Ай бұрын
Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe
@hassansalum2572
29 күн бұрын
Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu
@kaundasutikaunda7769
Ай бұрын
Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.
@emasonindowo5321
27 күн бұрын
Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂
@user-qo6qv6mc5p
Ай бұрын
Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik
@chiddmullo3241
26 күн бұрын
Oya milaji salut Sanaa kaka
@jimmymnuano7165
Ай бұрын
Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,
@CikeTanzania
Ай бұрын
Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.
@omarymwenebatu
Ай бұрын
Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.
@bakanga1410
Ай бұрын
ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui
@jumaiddy441
Ай бұрын
Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza
@fatumasophu5855
29 күн бұрын
Huyo wa Azam bwege kweli
@user-ee8tm4du8h
Ай бұрын
Uyo anaongelea uxhabiki
@fatumasophu5855
29 күн бұрын
Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga
@IddiHassan-mr3sb
Ай бұрын
Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani
@user-xz2vl8up5e
Ай бұрын
noma sana
@jumaiddy441
Ай бұрын
Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli
@ramadhanrashidmthailand9553
Ай бұрын
Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha
@user-ui4vt9vl6h
29 күн бұрын
Mm yanga ila uy God mpl aujui
@WilfredSaidi-st3tn
27 күн бұрын
2nataka part3 dodi🎉🎉
@hassankumba6938
28 күн бұрын
Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.
@user-ui4vt9vl6h
29 күн бұрын
Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah
@enoshmhemakapaya
26 күн бұрын
Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa
@ChenchiKing
Ай бұрын
Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿
@Esterkomba-ef7eb
Ай бұрын
Unawatee Kwa sababu ww niyanga
@user-qo6qv6mc5p
Ай бұрын
Xavi mtupu
@ElizabethLukosya-lv2vf
27 күн бұрын
Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha, Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu
@BibeLunangela
Ай бұрын
Hakuna rushwa niku zidiwa
@ElizabethLukosya-lv2vf
27 күн бұрын
Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣
@HassanRamadhanPashua
Ай бұрын
Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka
@mussahamad404
Ай бұрын
Fei anadharauliw kwasababu hana passport ya nje
@HassanRamadhanPashua
Ай бұрын
@@mussahamad404 passport ya nnje ni ipi hio
@user-hi6hf2wt1u
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kimeumana
@kaizerabilahi5958
Ай бұрын
Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu
@leeobite2507
28 күн бұрын
CJamuona mikoi kisugu hApo
@abelimaganga417
Ай бұрын
Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira
@bone102
Ай бұрын
Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira
@abelimaganga417
Ай бұрын
@@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu
@drallan6879
27 күн бұрын
waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane
@DanielChaula
Ай бұрын
😂😂😂
@KhalfanSeleman
27 күн бұрын
Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara
@abelimaganga417
Ай бұрын
Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa
@asmaSheha
Ай бұрын
Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu
@abelimaganga417
Ай бұрын
@@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako
@ahmedmpimbi9684
Ай бұрын
Acha matusi@@abelimaganga417
@sakinasakina1286
28 күн бұрын
god bwege tuu kaona simba
@bone102
Ай бұрын
Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga
@ahmedmpimbi9684
Ай бұрын
Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?
@saidabdul832
28 күн бұрын
Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki
@omarymwenebatu
Ай бұрын
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
@allymtunge5530
Ай бұрын
Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu
@bone102
Ай бұрын
Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana
@ahmedmpimbi9684
Ай бұрын
@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri
@malietamaliet
Ай бұрын
😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu
@omarymwenebatu
Ай бұрын
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Пікірлер: 78