Kalima ya utangulizi baada ya kifo cha sheikh Abuu Mua3wiyah Hassan bin Awadh (Allah amghufirie na Amrehemu). Kalima hii imetolewa na Sheikh Abuu Mus'ab Attanzaaniy kutoka Masjid Daarul Hadith Ununio, Dar es salaam Tanzania.
Sheikh ameongelea mbalimbali yanayohusu kadhia ya kifo cha Sheikh Hassan Awadh (Allahu yarahamu) na pia kutanabahisha juu ya wanaomsema vibaya sheikh Hassan wa Zanzibar kabla na hata baada ya kifo chake.
Sheikh amezubgumzia nukta kuu nne (04) kama ilivyo anuani ya kalima hii ambayo katika nukta hizo kumezalishwa nukta hizi zilizosndikwa kwenye yaliyomo.
Yaliyomo
➖ Someni kwa walimu wenu kabla ya kuondoka kwao
➖ Fanyeni subra kutokana kuondokewa na Sheikh wenu Abuu Mua3wiyah (Allah amrehemu)
➖ Waliodhania kuondoka kwa Abuu Mua3wiyah Allah amrehemu ndio mwisho wa da'awah wamekosea pakubwa
➖ Msijalie usalafi kuwa ni hizbu kwa ta'asub kwa masheikh zenu
➖ Mnafurahia kwa kufa ndugu yenu enyi Masalafi?
➖ Msione nimenyamaza mkadhani siwezi kusema, msidhani kuwa mmeshukwa na mzigo kwa kufa Sheikh Abuu Mua3wiyah (Allah amrehemu).
➖Hiyana zinazofanywa na masheikh wa kisalafi wa Tanzania
➖Na mengineyo mengi yaliyomo humo...
Sambaza clip hii, waislamu wote wabainikiwe na haqi.
▬▭▬▭▬▭▬▭▬▭▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
dhuic.org
BAARAKALLAH FIYKUM WAJAZZAKUMULLAH KHAYRA
Негізгі бет NUKTA NNE ZA UTANGULIZI BAADA YA KIFO CHA SHEIKH ABUU MUA3WIYAH | SHEIKH ABUU MUS'AB ATTANZAANIY
Пікірлер: 80