Ni sawa Joel my best,mtoto wangu alipokufa nilikataa tamaa Sana lakini namshukur Mungu nilikutana na wewe youtwib,
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
Kwa,hakika hicho kipengele cha pili umenigusa mimi namshuru mungu nimekivuka salama na sasa nina furaha kuliko mwanzo kwa hakika namumtegemea mungu kwa yajayo
@johnmawazotz
2 жыл бұрын
Hapa umenigusa mpaka ndani ya moyo, mimi ni dereva wa gari za abiria, siifurahii kabisa hii kazi napenda kufanya biashara na pia nina uwezo mkubwa wa kuandika nyimbo na kurap sasa hapa kwenye kuacha na kwenda napopapenda pananisha kwa miaka mingi. Je nifanye nini niweze kuvuka hili daraja
@mshigilakarume4425
2 жыл бұрын
It is not what you are that holds you back, bt what you think your NOT that holds back
@nelsonjonas7334
2 жыл бұрын
Brother I noted, God bless you.
@davidernest5428
2 жыл бұрын
Joel asante Mimi ninashida naomba ushauri wako nmekufatilia San nmesoma sana vitabu vyako lakini Mimi kila nikitaka kufanya maamuzi kwenye maisha kuna Kuwa na uzito kwenye moyo chochot kwang ni kigumu naumia san kuna wakati hadi nalia
@annakisiga889
2 жыл бұрын
Haswaaaaa usichokipenda achana nacho
@abdulazizichacha3776
Жыл бұрын
Tumezipitia sana tuu
@baracklomayani9811
2 жыл бұрын
ni kweli kabisa asante mungu akulinde na akuongoze
@Aviero_07
2 жыл бұрын
Shusha NONDO MKUU..
@nurdinchilambo1486
2 жыл бұрын
Brother hii umepgilia msumali kwa nyundo' keep in couching
@joyceLukumay-lw1gi
2 ай бұрын
Tangu nifiwe na baba Mzazi nahisi nimeloss control ya kutolerate pain Yaani ule ugumu wa kuvumilia Maumivu niliokua nao awali haupo ni kama nakata tamaa
@grancebeuty2443
2 жыл бұрын
Bro ur so proud ,God Bless u
@nurdinchilambo1486
2 жыл бұрын
kuna mda unakutana na changamoto kwenye maisha ya kila siku nasema ngoja nikaskilize vdeo flan ya Brother Nanauka
@davidcharlo463
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Power message 👌🏽
@cloudswai307
2 жыл бұрын
Nashukuru kwa mafundisho mazuri yananisaidia sa mungu akubariki
@richardmadede9974
2 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa somo hili mm nyakati ambayo ninaiptia kwa sasa na kutopata matokeo ktk wazo langu la biashara na kwa sasa nkiwa nmpoteza kila kitu daaah so painful
@lwangalantogwa5761
2 жыл бұрын
Blessed Blow 🏃 let GOD GIVE IT ALL
@hamisichaka6875
2 жыл бұрын
Mi nimeajiliwa nalipwa Laki na nusu ila iyi kazi siipendi ila ninamika 7 kwenye kazi iyi ila siipendi pia sipendi kutumikiswa 😭😭
@deodatiemmanueltarimo6714
2 жыл бұрын
Jitahidi uanzishe biashara yako .au fanya unachokipenda mpendwa
@shukranjulius5910
2 жыл бұрын
Pia jitahidi kuweka japo kiakiba kidogo kidogo ili upate mtaji
@ndobeheshija4176
2 жыл бұрын
asantee sana brother be blessed 🙏🙏
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Mashaallah bless you Ameen
@aishaaisha4549
2 жыл бұрын
Asante sana
@elirehema325
2 жыл бұрын
nimepoteza ninae mpenda tena nimemfanyia makubwa sana nimedumu nae kwa miaka9 tulifanikiwa kupata mtt1 kwasasa niko na mwanang kwa somo hili nimepata dawa iliyokamilika shukran zije kwako mkubwa j''nanauka
@happynescostat7420
Жыл бұрын
Pole Sana ata Mimi nilipatwa na Hali Kama yako tusonge mbele na tumtangulizeMungu,
@dorisilukinja4507
2 жыл бұрын
Truu
@charlesfaida1515
2 жыл бұрын
God bless you my Bro 🙏🙏your my life coach🤝
@joelnanauka
2 жыл бұрын
Ameen
@esthermutua1287
2 жыл бұрын
Good topic
@nevagasmsamba5060
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa Mr.nanauka
@Bahatigabriel50
2 жыл бұрын
Nakukibali sana
@stanleyandrea5153
2 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri
@venturebown6983
2 жыл бұрын
Bless up Bro
@geftmjema6106
2 жыл бұрын
🙏🙏
@hammyyombe5229
2 жыл бұрын
🙏
@farajhassan1775
2 жыл бұрын
Ahsante kaka 🙏
@nicolousmvungi9993
2 жыл бұрын
Good brother
@j4boy205
6 ай бұрын
Nilikuw naitaj kujua nafanyaj
@aliseliusliziki1332
2 жыл бұрын
Thanks
@aidanmbilinyi8184
2 жыл бұрын
Asante
@johnsonvalerian8798
2 жыл бұрын
Bro unatupea nondo za kuelekea kuwa bora
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Yote yapo kwangu
@mathayomosses1698
2 жыл бұрын
🙌🙌🤝
@j4boy205
6 ай бұрын
Brooo m naelewa san story zako sema nn bad m npo kweny mitihan sn nifanyaj
@jescamenard4560
2 жыл бұрын
Dah😫 nasoma chuo naingia mwaka wa tatu lakin kitu nnachosomea sikipend hata kidogo napenda kusomea mambo ya saloon yan makeup nashndwa kuchukua maamuz kwa sababu ya mzaz wang em nipen ushaur
@shalua8337
2 жыл бұрын
Fanya unacho kipenda ,furahisha maisha yako but sio kumfurahisha mtu mwingine ,ili kuepuka stress zisizo za msingi
Пікірлер: 52